Ni awamu ya JPM tu ambapo report ya CAG uwa inamchafua πππ yani mnafurahisha sana.Uso wa huyo Mama umebeba ujumbe mzito kuliko ripoti yenyewe ya CAG.
Hatukumkumbuka Nyerere tuje tulikumbuke jizi la chatoAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
So hamkutaka CAG asome ripoti yake ili marehemu mungu wenu aonekane alikuwa mtu safi!! Nyie watu pori vipi aisee.Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
utamkumbuka ww....Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Amebanwa na kitu balaa..anaishia kubetua lipsπmimi sikuwa muumini wa Makufuli,lakini naomba kuwaeleza kwa body luangage ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report
huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti
mtazame vizuri utagundua!
Utamkumbuka wewe na ukoo wako, Mimi kwanza hajawahi kuwa rais wangu mpk anaingia kaburini.Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Hivi wewe mbona kila nyuzi unang'ang'ana tutamkumbuka? Tutamkumbuka na nani? Kwanini utumie umoja?πAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Watu wema na waovu huwa wanakumbukwa inategemea uko angle ganiAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Awamu ya JK kuwa ilifanya ufisadi fulani haihalalishi wala haizuu kuwa awamu ya Magufuli ilikuwa ni awamu ya ufisadi based on CAG report. Kwa kutumia ripoti ya CAG Magufuli alikuwa mwizi, fisadi, kiongozi mzembe sana na asiejali maslahi ya wananchi.Ni awamu ya JPM tu ambapo report ya CAG uwa inamchafua πππ yani mnafurahisha sana.
Kama alijua hakuna madudu kwani alijitoa kwenye mikataba ya transparency? Nini alitaka kuficha?
Ingekuwa JK naye angekuwa kama awamu ya Magu hakika JK angeondoka madarakani akiwa msafi sana. Ni vile aliwaruhusu watu wajadili, vyombo vichambue, report ijadiliwe bungeni ndipo akaonekana fisadi.
Ila kikwete huyu huyu ndiye mwanzilishi wa shule za kata, umeme wa REA, kuunga barabara mikoa yote. Na ni kupitia project kama hizi ndipo watu walipiga pesa ila yeye alikuwa tayari mambo yajadiliwe.
Ni vigumu kumchafua mtu msafi..., tatizo alisafishwa sana na uchafu wote ulifichwa ndio maana huu uozo watu wanashangaa, hii yote aliileta mwenyewe kwa kuepuka transparency, na ninashukuru hii tabia haijaendelea ama sivyo tungeendelea kupigwa bila kujua na kupewa propaganda kwamba sisi ni matajiri wakati uhalisia tumepigikaAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Sidhani kama kasahaulika...atakumbukwa tuAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Unamaanisha nini? Kwamba ripoti imesema ya uwongo mtupu?Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Yaani unafagia chumbani na sebuleni halafu uchafu unaujaza uvunguni mwa kitanda... !!!! Siku anakuja mwingine anautoa uchafu huo nje, wanaanza kubisha kwamba haujatoka kwenye nyumba hiyo, KISA NJE ANAONEKANA MTANASHATI..!!! AJABU..Ni vigumu kumchafua mtu msafi..., tatizo alisafishwa sana na uchafu wote ulifichwa ndio maana huu uozo watu wanashangaa, hii yote aliileta mwenyewe kwa kuepuka transparency, na ninashukuru hii tabia haijaendelea ama sivyo tungeendelea kupigwa bila kujua na kupewa propaganda kwamba sisi ni matajiri wakati uhalisia tumepigika
Ukimkumbuka wewe inatosha... Binafsi kama ikiwa lazima sana nimkumbuke yeyote kati ya waliopita... Kuna wengine wanne wa maana kuliko huyoAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Hakuna lolote hapo mbona ya Assad waliikataa wailete na yake pia tufaye comparison au na yeye alikuwa na hila na roho mbayamimi sikuwa muumini wa Makufuli,lakini naomba kuwaeleza kwa body luangage ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report
huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti
mtazame vizuri utagundua!
Prof. Adolf Mkenda, ulikuwa Katibu Mkuu wizara ya Maliasili na utalii ,wajibika soon. Kabla hujawajibishwa.mimi sikuwa muumini wa Makufuli,lakini naomba kuwaeleza kwa body luangage ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report
huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti
mtazame vizuri utagundua!