Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Ngoja tuulize swali, ripoti ni ya kweli au si ya kweli?
Tukimaliza hili tutaendelea na mengine.
Tukimaliza hili tutaendelea na mengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kweliNgoja tuulize swali, ripoti ni ya kweli au si ya kweli?
Tukimaliza hili tutaendelea na mengine.
Ndugu yangu wa faidaUso wa huyo Mama umebeba ujumbe mzito kuliko ripoti yenyewe ya CAG.
YEYE NA FAMILIA YAKE NYUMBANIHv wewe mbona kila nyuzi unang'ang'ana tutamkumbuka? Tutamkumbuka na nani? Kwann utumie umoja?😏
Ndiyo ndiyo ndugu yangu wa kudumu!😄😄😄Ndugu yangu tulipigwa!Ndugu yangu wa faida
Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Siku hizi nakuelewa sana ndugu yangu ...ndo maana ulikuwa unaumia sanaNdiyo ndiyo ndugu yangu wa kudumu![emoji1][emoji1][emoji1]Ndugu yangu tulipigwa!
🤣🤣🤣Siku hizi nakuelewa sana ndugu yangu ...ndo maana ulikuwa unaumia sana
Nmejikuta naumia zaidi yako sio kwa kupigwa huku
Hv wewe mbona kila nyuzi unang'ang'ana tutamkumbuka? Tutamkumbuka na nani? Kwann utumie umoja?[emoji57]
Mmh. Hii quote itakuambia mengi…Ngoja tuulize swali, ripoti ni ya kweli au si ya kweli?
Tukimaliza hili tutaendelea na mengine.
Hawa mataga wantulazimisha maugoro yao .Hv wewe mbona kila nyuzi unang'ang'ana tutamkumbuka? Tutamkumbuka na nani? Kwann utumie umoja?😏
Umemaliza yote mkuu kinachofanya mwendazake aonekane anachafuliwa ni mazingira aliyojitengenezea yeye mwenyewe kipindi cha uhai/utawala wake. Hakuruhusu kukosolewa, watu waliogopa kumkosoa akiwepo. Sasa hayupo kila mtu anafunguka wanajua hawezi kuwatisha na kuwafukuza tena.Ni awamu ya JPM tu ambapo report ya CAG uwa inamchafua 😂😂😂 yani mnafurahisha sana.
Kama alijua hakuna madudu kwani alijitoa kwenye mikataba ya transparency? Nini alitaka kuficha?
Ingekuwa JK naye angekuwa kama awamu ya Magu hakika JK angeondoka madarakani akiwa msafi sana. Ni vile aliwaruhusu watu wajadili, vyombo vichambue, report ijadiliwe bungeni ndipo akaonekana fisadi.
Ila kikwete huyu huyu ndiye mwanzilishi wa shule za kata, umeme wa REA, kuunga barabara mikoa yote. Na ni kupitia project kama hizi ndipo watu walipiga pesa ila yeye alikuwa tayari mambo yajadiliwe.
Hajawahi kufaaaAtachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Mkuu mimi naapa .... Over my dead Body.. Magufuli siji mkumbuka. Never.Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...
Tutamkumbuka kwa madduddu.Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...
Ipo siku...