Mwanamke aliyekaa karibu na CAG, says it all!!

Mwanamke aliyekaa karibu na CAG, says it all!!

Mimi sikuwa muumini wa Magufuli, lakini naomba kuwaeleza kwa body language ya mwanamke aliyekaa karibu na CAG inasema yote
ripoti ya CAG imejaa siri nzito na siku si nyingi tutaona kuna nini nyuma ya hii report

Huyo mama aliyekaa karibu na msoma repoti simfahamu lakini hisia zangu zinaenda mbali zaidi na kuniambia kuna kitu kwenye hii repoti

Mtazame vizuri utagundua!

View attachment 1747307

..Huyo mama ni Mheshimiwa Grace Tendega.

..yeye ndiyo mwenyekiti wa kamati ya bunge itakayowahoji wote waliotuhumiwa ktk ripoti ya CAG.
 
Atachafuliwa ili aonekane hakufaa...ila ipo siku tutamkumbuka...tukubali tukatae...

Ipo siku...
Nani anachafuliwa?

Watu wanasoma ripoti za uchunguzi wewe umekazana 'watamchafua', kwa hiyo wasiyaseme waliyoyaona?
 
Yani waibe wengine wamlaumu JPM ndo yale ya kikwete anaanzisha kitu mnakuja kuiba mnamwita dhaifu, palikuwa kimyaaa huku now midomo inafunguka tu
 
Nani anachafuliwa?

Watu wanasoma ripoti za uchunguzi wewe umekazana 'watamchafua', kwa hiyo wasiyaseme waliyoyaona?
Hawa ndo walizoea kuongopewa. hapo ni facts tupu zinatembea watu wanaona wanaonewa
Domestic birds ,think that flying is an illness
 
Awamu ya JK kuwa ilifanya ufisadi fulani haihalalishi wala haizuu kuwa awamu ya Magufuli ilikuwa ni awamu ya ufisadi based on CAG report.Kwa kutumia ripoti ya CAG Magufuli alikuwa mwizi,fisadi,kiongozi mzembe sana na asiejali maslahi ya wananchi.
Duh..ila kiukweli jamaa katandaza barabara za lami hadi mlangoni,mitaro mikubwa hakika wana yombo na kiwalani tutamkumbuka jpm..
 
Mwendazake hajui tu kwamba huku nyuma kibao kishageuka anaonekana kituko,kafisadi nchi na hiyo miradi yake feki yaani JK kwa sasa kachukua point zoote....mpira ni dk 90.
 
Magufuli ni taasisi kubwa, huwezi kumchafua ukabaki salama. Mwisho wake hauko mbali
 
Sawa,ila tutamkumbuka kwa hilo,jamaa kafanya maajabu,watu wa kiwalani,yombo na buza wanaelewa hilo na bado kazi ilikuwa inaendelea sijui angemaliza muda wake huku kungekuwa kama nyuyoki aisee..alikuwa fisadi lakini kazi zake zinaonekana,sipendi unafiki!
 
Sawa,ila tutamkumbuka kwa hilo,jamaa kafanya maajabu,watu wa kiwalani,yombo na buza wanaelewa hilo na bado kazi ilikuwa inaendelea sijui angemaliza muda wake huku kungekuwa kama nyuyoki aisee..alikuwa fisadi lakini kazi zake zinaonekana,sipendi unafiki!
Sasa kufanya kazi yenye thamani labda tuseme ya billion moja halafu ukaitumia kama chaka la kuibia wanyonge billion tatu,sasa kazi kama hiyo ina faida gani?
 
Sasa kufanya kazi yenye thamani labda tuseme ya billion moja halafu ukaitumia kama chaka la kuibia wanyonge billion tatu,sasa kazi kama hiyo ina faida gani?
Sasa ni heri yeye,je,wale waliokuwa wakiiba na hakuna kitu kinachofanyika!..anyway faida tunaijua sisi wakazi wa kiwalani, ulishawahi kuja kiwalani kabla ya hiyo miundombinu kujengwa!!!..mkuu we acha tu,wizi hauishi ila kitu kifanyike
 
Kitu kinachofanyika kama chaka la wizi hakitakiwi kufanyika!
Sawa,ila alivyofanya jiwe sidhani kama kuna kiongozi anaweza kufanya,naambiwa hapa si kiwalani, yombo,na buza tu kumbe hata huko mbagala mzee kafanya maajabu...aliwezaje kuiba na kufanya yote hayo!??..
 
Sawa,ila alivyofanya jiwe sidhani kama kuna kiongozi anaweza kufanya,naambiwa hapa si kiwalani, yombo,na buza tu kumbe hata huko mbagala mzee kafanya maajabu...aliwezaje kuiba na kufanya yote hayo!??..
Propaganda bhana!Huko mbagala kafanya nini?🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom