Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

Ka
zikiiisha atanikimbia, shida sio kumpea pesa ila si atanifanya nisiwe secure na maisha yangu ya kimahusiano?

naamini hata niwe na hela vipi kuna wanaume wenye hela kunizidi,akikutana nao at that time age ya kuruka na kila mwanamke imeshaniacha si ndio ataniacha nizeeke mwenyewe huyu?
Ma unahisi hautakuwa salama kwenye mahusiano,usimguse,muache aende,auu muulize kwa Nini umenikubali wakati uliwahi nikataa,majibu yake yataamua uendelee au usiendelee,
 
Ukishaunganisha tu hilo zee la pori lako na kipochi manyoya Cha huyo chuda umekwisha habari yako. Mwanamke akiwa na nyodo sana haipendezi
 
Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi,bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako...
Mkuu

Hongera sana!

Bado una moyo ambao Mungu alikusudia binadamu awe nao!!

Yaani bado una hali ya kujistahi nafsi!!

Mimi HUWA inaniuma SANA ile kujua kwamba nisipo kua na mahela mengi siwezi pendwa na dem mkali!!

Inatufanya sisi kuwa kama mashine au roboti za kuchapisha pesa badala ya THAMANI ya utu wetu!!!

Huyo kakupendea hela,we mnunue tu fanya nae baada ya biashara kuisha akianza zile mwambie we najua hunipendi coz hukunitaka tangu zamani!!

HIVYO tu man!!!

Japo inasikitisha SANA!!
 
Simple tuu ni hivi Unatumia hela zako kumfanya awe single mother alafu unapita hivi una mwacha apambane na hali yake.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
unamtesa mtoto wako mkuu,kumpa mtoto ni kummegea robo ya mali zako sidhani kama anastahili hili.
 
Ukishaunganisha tu hilo zee la pori lako na kipochi manyoya Cha huyo chuda umekwisha habari yako. Mwanamke akiwa na nyodo sana haipendezi
kwamba nisimguse kabisa mkuu? ni mzuri huyoo kumuacha hv hv hadi roho inauma
 
Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi,bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako...
Hao wee ni kuwakula tuu na baada ya kumvua kyupi mara tatu tupa kule.

Fyi..wanawake wote wapi hivyo mzee usitegemee mwanamke akakupenda eti kisa handsome. Najua watabisha but beliv me they are just pretenders.
 
Kama una mpango wa KUOA hapo achana nao kabisa.

Wanawake wa dizaini hiyo ni kuwafanya "watumwa". Kama akikuomba hela usimpe mpaka mkutane mkulane, yani hela unampa baada ya "show". No show no money. That way atajigundua kuwa yeye ni muuzaji na itamuuma (hapa kama ni kweli sio muuzaji).

Na akithubutu kufunua mdomo kuwa humpi hela mpaka "umkule" unamjibu tu mbona yeye kipindi huna pesa alikua hata salamu haitikii.
 
mimi naona wote wanapenda pesa tuh,kikubwa ni kutumia mfumo wa kumnyima muda mwingine basi
 
Kama una mpango wa KUOA hapo achana nao kabisa.

Wanawake wa dizaini hiyo ni kuwafanya "watumwa". Kama akikuomba hela usimpe mpaka mkutane mkulane, yani hela unampa baada ya "show". No show no money. That way atajigundua kuwa yeye ni muuzaji na itamuuma (hapa kama ni kweli sio muuzaji).

Na akithubutu kufunua mdomo kuwa humpi hela mpaka "umkule" unamjibu tu mbona yeye kipindi huna pesa alikua hata salamu haitikii.
Yah nilishawai mfanyia hivyo manzi mmoja nikamfanya kua mnyonge Sana kwangu coz alionesha tamaa Sana ya pesa na Mimi sikutaka kuzingua nilimpa na ahadi tele ila alipovua chupi wee nilikua kama sio yule alikua akiomba pesa namwambia njoo geto akija namla ndio Nampa akaanza nilaumu kuwa natreat kama Malaya badae akawa haombi kabisaa
 
Back
Top Bottom