Aombi Tena ela ...atakuhitaji we na c pesa
Usiiombe hii mzee halafu ukute wewe hutaki kusettle for less..
Shida wanawake huwa ni wabinafsi yaani inshort wao ni material seekers
So wakiipata pesa kwako na wakaona wana access ya kuiwekea mikono yao huwa hawataki mwanamke mwingine apate hiyo access so mwanamke huyo atataka aimantain access hiyo peke yake.
Na pia usishangae akawa anapambana kuzimantain nafasi za hivyo hata zikiwa 20.per.
Yeye anawaza ubinafsi tu, thus ni rahisi kukuta mwanamke anapambana kumroga Juma mwenye kipato cha 5m per annum, John mwenye kipato kile kile, Sule nae vile vile na wewe mwenye kipato hicho hicho.
Thus tunasema mwanamke ni descent mpaka pale utakapoingia inbox yake ya message na ukabahatika kukuta texts zote za miezi hata sita iliyopita..
Na hapo ndipo baadhi ya wanaume wenye mioyo ya chuma hufumania inbox kama hizo na bado akaendelea kuwa na huyo mwanamke lakini akaemploy oppressive systems kwa mwanamke huyo like
Kumla ndogo, kutokumpa matumizi kabisa ya vile vitu ambavyo non-union issues and so on..
Kwanini? Maana mwanaume hugundua kuwa amewekwa kwa list ya wanaume wanaotumiwa tu finançially.
Imagine this: Umeona text ya mwanaume akimuita mkeo sehemu waende wakapate dinner and some drinks pamoja..
Then your wife aka-reply no problem sweet!!
Mshikaji akamtext tena kuwa but sidhani kama budget niliyonayo itatosha mambo mengi so leo sitakufanyia shopping kihivyo wala nini but kuna gauni nililiona sehemu nikatamani nikununulie ili tukiwa tunatoka uwe unalivaa utakuwa unaniamsha nyege..
Then boom manzi anamjibu kuwa ngoja nifanye maarifa sehemu, but hilo gauni hawezi kuliacha ni lazima linunuliwe ili kuweza kuitii kiu ya mshikaji..
Ambae nae anatumika pia,,
No matter how small or little you contribute but still unatumika kwa maslahi ya mwanamke..
Umekaa zako baada ya kumaliza kuzisoma zile text unashangaa manzi lako hili hapa na tabasamu pana usoni
Huku likiwa limekuvalia kibitch sana
Yaani miziwa amsha amsha hiyo imefichwa nipples tu
Chini mitako hiyo hapo na kigauni chepesi kifupi tu kinaishia nusu mipaja
Mipaja ndio hiyo imenona balaa na mimacho imelegea kama imezama yote ghafla halafu kwa mkito wa kwanza tu.
KIsha manzi anakuomba like " Babe nina shida ya 150k kuna mzigo wa dukani kwangu nahitaji kuulipia nimepungukiwa na hiyo tu"
Wewe kama mjuba niambie utatake action gani hapo??
Tukianza na mimi
" Sodoma na Gomora itarudishwa kwanza halafu ichomwe tena" No way she is getting away with that all shit.
"Ushetani na uendelee tu"
Lucha,
Natafuta Ajira,
Zemanda,
Bush Dokta mzabzab