Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

Mwanamke aliyekupendea hela unamfanyaje wewe kama Mwanaume?

Kwahio siku akitetereka kimaisha aachwe tena?
Utu ni muhimu

Hukumpenda then sasa kinakushtua nini?
Utu ndo nn? Oyaa ww Dunia ya kibepari hii unaleta fikra za kutaka kuonewa huruma? Wanaume hatuna mda wa kusubir hisani ya utu!
 
Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee.
Zingatia hili.
Tena mgonge mara 3 afu mmwage
 
Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.

Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).

Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.

Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.

Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.

Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.

Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.

Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..

Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.

Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.

Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.

sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?

Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.

Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?

Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?

Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Swali fyatu je mwanamke atakula u handsome wako?, ama na vingine, mapenzi yalikuwepo zamani bana. These days money speaks louder than words
 
unamtia Out then unatoroka alipe mabills zake mwenyewe 🤣🤣🤣
 
Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.

Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).

Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.

Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.

Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.

Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.

Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.

Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..

Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.

Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.

Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.

sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?

Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.

Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?

Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?

Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Unahitaji mapenzi kwenye biashara ya ngono?
 
kama mwanamke kakupendea hela si unampea tu hizo hela?

Enweiz, nimejibu tu heading na mimi si mwanaume,

Ahsante in G-nako's voice..!😂
🤣🤣🤣😂😂🤣
Enewei kucheka huongeza siku
 
🤣🤣🤣umesema mwenyewe ulikuwa umepauka kisa dhiki,saiv una vihela ndo umetakata ngozi🤔nani anataka shida? hakuna mwanamke wa kuvumilia kapuku,labda kamtoe maporini huko,afu means bado unamtaka,manake muda umeenda still unamfatilia,🤣umaskin mbaya nyie,unamaliza confidence kama ulivyommaliza huyu jamaa.
 
🤣🤣🤣umesema mwenyewe ulikuwa umepauka kisa dhiki,saiv una vihela ndo umetakata ngozi🤔nani anataka shida? hakuna mwanamke wa kuvumilia kapuku,labda kamtoe maporini huko,afu means bado unamtaka,manake muda umeenda still unamfatilia,🤣umaskin mbaya nyie,unamaliza confidence kama ulivyommaliza huyu jamaa.
dah,n kweli lakini
 
Kwani kipindi kile tuliongea. Mi skukumbuki bwana mpaka uje kunianika humu
 
" Did she deserves my penis?" Ma'ke hapa n'cheke kwanza 😂
 
Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.

Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).

Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.

Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.

Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.

Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.

Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.

Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..

Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.

Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.

Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.

sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?

Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.

Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?

Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?

Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Tumia akili mkuuu
 
Aombi Tena ela ...atakuhitaji we na c pesa
Usiiombe hii mzee halafu ukute wewe hutaki kusettle for less..
Shida wanawake huwa ni wabinafsi yaani inshort wao ni material seekers
So wakiipata pesa kwako na wakaona wana access ya kuiwekea mikono yao huwa hawataki mwanamke mwingine apate hiyo access so mwanamke huyo atataka aimantain access hiyo peke yake.

Na pia usishangae akawa anapambana kuzimantain nafasi za hivyo hata zikiwa 20.per.
Yeye anawaza ubinafsi tu, thus ni rahisi kukuta mwanamke anapambana kumroga Juma mwenye kipato cha 5m per annum, John mwenye kipato kile kile, Sule nae vile vile na wewe mwenye kipato hicho hicho.

Thus tunasema mwanamke ni descent mpaka pale utakapoingia inbox yake ya message na ukabahatika kukuta texts zote za miezi hata sita iliyopita..

Na hapo ndipo baadhi ya wanaume wenye mioyo ya chuma hufumania inbox kama hizo na bado akaendelea kuwa na huyo mwanamke lakini akaemploy oppressive systems kwa mwanamke huyo like
Kumla ndogo, kutokumpa matumizi kabisa ya vile vitu ambavyo non-union issues and so on..

Kwanini? Maana mwanaume hugundua kuwa amewekwa kwa list ya wanaume wanaotumiwa tu finançially.

Imagine this: Umeona text ya mwanaume akimuita mkeo sehemu waende wakapate dinner and some drinks pamoja..
Then your wife aka-reply no problem sweet!!
Mshikaji akamtext tena kuwa but sidhani kama budget niliyonayo itatosha mambo mengi so leo sitakufanyia shopping kihivyo wala nini but kuna gauni nililiona sehemu nikatamani nikununulie ili tukiwa tunatoka uwe unalivaa utakuwa unaniamsha nyege..

Then boom manzi anamjibu kuwa ngoja nifanye maarifa sehemu, but hilo gauni hawezi kuliacha ni lazima linunuliwe ili kuweza kuitii kiu ya mshikaji..
Ambae nae anatumika pia,,
No matter how small or little you contribute but still unatumika kwa maslahi ya mwanamke..

Umekaa zako baada ya kumaliza kuzisoma zile text unashangaa manzi lako hili hapa na tabasamu pana usoni
Huku likiwa limekuvalia kibitch sana
Yaani miziwa amsha amsha hiyo imefichwa nipples tu
Chini mitako hiyo hapo na kigauni chepesi kifupi tu kinaishia nusu mipaja
Mipaja ndio hiyo imenona balaa na mimacho imelegea kama imezama yote ghafla halafu kwa mkito wa kwanza tu.

KIsha manzi anakuomba like " Babe nina shida ya 150k kuna mzigo wa dukani kwangu nahitaji kuulipia nimepungukiwa na hiyo tu"

Wewe kama mjuba niambie utatake action gani hapo??

Tukianza na mimi
" Sodoma na Gomora itarudishwa kwanza halafu ichomwe tena" No way she is getting away with that all shit.

"Ushetani na uendelee tu"
Lucha, Natafuta Ajira, Zemanda, Bush Dokta mzabzab
 
Back
Top Bottom