Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Utu ndo nn? Oyaa ww Dunia ya kibepari hii unaleta fikra za kutaka kuonewa huruma? Wanaume hatuna mda wa kusubir hisani ya utu!Kwahio siku akitetereka kimaisha aachwe tena?
Utu ni muhimu
Hukumpenda then sasa kinakushtua nini?
Swali fyatu je mwanamke atakula u handsome wako?, ama na vingine, mapenzi yalikuwepo zamani bana. These days money speaks louder than wordsKuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.
Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).
Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.
Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.
Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.
Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.
Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.
Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..
Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.
Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.
Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.
sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?
Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.
Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?
Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?
Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Huwa wanadaka mimba fasta sana usiniulize kwanini wanawake ni wajanja sanaWee mtafune mara moja kisha mweke pembeni.
Unahitaji mapenzi kwenye biashara ya ngono?Kuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.
Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).
Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.
Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.
Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.
Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.
Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.
Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..
Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.
Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.
Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.
sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?
Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.
Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?
Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?
Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Huu ni upumbavu, hapa unamkomowa mwanamke au unajidharirisha mwenyewe kuleta Watoto wa mitaani wakati biological Father upo?Unamzalisha unamtelekeza akafie mbele
🤣🤣🤣😂😂🤣kama mwanamke kakupendea hela si unampea tu hizo hela?
Enweiz, nimejibu tu heading na mimi si mwanaume,
Ahsante in G-nako's voice..!😂
dah,n kweli lakini🤣🤣🤣umesema mwenyewe ulikuwa umepauka kisa dhiki,saiv una vihela ndo umetakata ngozi🤔nani anataka shida? hakuna mwanamke wa kuvumilia kapuku,labda kamtoe maporini huko,afu means bado unamtaka,manake muda umeenda still unamfatilia,🤣umaskin mbaya nyie,unamaliza confidence kama ulivyommaliza huyu jamaa.
Tumia akili mkuuuKuna nyakati huwa tunapitia maisha magumu sana na shida zisizo simulika lakini haisababishi mioyo yetu kuwa na Ganzi katika mapenzi, bado tunapenda na kutamani kuwa na wanawake wazuri na mpenzi atakaekupa pole na shida zako.
Miaka ya nyuma kidogo sikua vyema kipesa,nilimpenda binti mmoja mzuri sana ki ukweli lakini sikuwahi fanikiwa kuwa nae si kwamba sikumwambia ila hata kunisogelea yule dada hakutaka,na alikua akinipita ananipita kama hanioni,ki ufupi nilikua SIO TYPE yake (financialy).
Nilipogundua hilo nikawa nakula kwa macho na kila siku yule dada alizidi kuwa mzuri,ukimuangalia leo ukija kesho ni kama umeona mdada mpya,ila sio kwa maringo yake yule dada,hata salamu yangu alikua haitiki ni kama hajaisikia.
Miaka imeenda,nipo eneo lile lile yule dada akapoteaga nikawa simuoni tena ni zaidi ya miaka mi 5 mbele na mimi Mfuko ukawa si haba,maisha nayo yakabadilika.
Sisemi nina pesa ila ninaweza hudumia wanawake wenye pesa na nyodo aina zote kwa sasa,Dada yule karudi nikamuona karudi kufanya kazi ofisi ile ile niliyokua namuonaga.
Watu wanabadilika, yeye alibadilika ila kama ilivyo kawaida yake uzuri wake ulikua vilevile, kwa upande wangu SURA imekua ang'avu sina shida zile tena Nimebadilika pia.
Kwa kua ni dada ambaye alishanikataaaga nikawa nikimpita sina taim nae,napta na 50 zangu nae na zake Hakuacha nyodo zake hadi leo.
Siku 1 nikiwa nimesimama nataka kuvuka barabara,akawa nae anataka kuvuka tukawa kama wote tunasubiri gari lipte tuvuke kwa mara ya kwanza akanisalimia ila ni kama kamsalimia mtu asie mjua (HABARI YAKO) nikamjibu short (SALAMA) tukavuka kila mtu na njia yake..
Siku nikajisemea hebu ngoja nimjaribu tena Nione kama bado anamisimamo yake,Hiyo siku nilikua narudi nyumbani nikamkuta anasubiri daladala nikafika kituoni nikasimamisha usafiri wangu nikamwambia ingia ndani nikusogeze,Akaingia.
Tukiwa tunaenda nikamuuliza jina,hatmae nkamuomba namba ya simu akanipa tukafika eneo anataka kushuka nikamshusha nikaendelea zangu.
Mambo yakaendelea kwenye simu chat chat sana ila ni mtu ambae haonyeshi dalili zozote za kunijua,nikaja ingia Sound zangu, DADA AKANIELEWA 100% hana kinyongo.
sijamgusa hadi na leo hii maana nipo njia panda hivi kweli kanisahau au na mimi sku hizi nimekua mu handsome?
Au ni nini kimemvuta kwangu? Jibu nikapata ni PESA tu hakuna kingine, Sasa wanaume wenzangu hebu naombeni ushauri wenu katika hili sakata.
Huyu dada ananipenda ila nina uhakika asilimia zote kanipendea Pesa,hivi nini nifanye? Mzuri ni Mzuri sio kidogo hana chembe ya kasoro kimuonekano lakini Upendo wake juu yangu unanitia mashaka nimfanyaje?
Au nimkule tuu kisha nimkule tenaa niongeze nimkule tenaaa halafu mwisho nimuacheee,au nimpotezeee kama alivyokua akinipotezea miaka ilee?
Did she deserve my Penis? au nimuache solemba? Mnawafanyaga nini wanawake sampuli hii mnaogundua KWELI wanawapenda ila upendo wao sababu kuu ni PESA huwa mnawafanya nini hawa viumbe?
Usiiombe hii mzee halafu ukute wewe hutaki kusettle for less..Aombi Tena ela ...atakuhitaji we na c pesa