Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Hakuna wanawake wazur kama weusi ni vile tu hawajijui , mwanamke mweusi mzur anaejipenda hauwez mlinganisha na mweupe hata kidgo , tatzo wasukuma ni wengi apa tz kura zao ni kura za taifa.

Nadhani huu ni msimamo wako, unless tuwe tumekuteua kuwa msemaji wetu.
 
😂😂😂
 
Duh ulivyowakamia mwamba

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa [emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]!!
Ebu

Nifungulie pm
 

Stolen generation
 
Kwa kweli ni ulimbukeni wa hali ya juu kudhani kwamba mtu akiwa mweupe ni mzuri na akiwa mweusi ni mbaya.
Hakuna uhusiano wowote kati ya weupe na uzuri au weusi na ubaya bali hii ni utumwa wa kifikra tu na hata jamii nzima pia ina makosa kuwaaminisha wanawake kwamba ukiwa mweupe wewe ndio mzuri na ukiwa mweusi wewe sio mzuri.
Kuchubua ngozi kwa lengo la kuwa mweupe ni ujinga tu,hao wazungu wenyewe wanaitamani rangi nyeusi ila hawana jinsi ya kufanya inabidi wajikubali tu vile walivyo maana ngozi yao inawapa shida haina tofauti sana na ualbino.
Mimi binafsi napenda mwanamke mwenye ngozi nyeusi ya asili ndio naona mvuto kuliko mweupe.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Na wewe ni team natural?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…