Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hakuna wanawake wazur kama weusi ni vile tu hawajijui , mwanamke mweusi mzur anaejipenda hauwez mlinganisha na mweupe hata kidgo , tatzo wasukuma ni wengi apa tz kura zao ni kura za taifa.
Nadhani huu ni msimamo wako, unless tuwe tumekuteua kuwa msemaji wetu.