jikubalini kwa hali zenu. Mbona chunusi si maradhi ni maumbile tu. Ukianza ku edit na kutuma picha smooth hapa ushafanya ulaghai. Unanijengea taswira kuwa wewe ni smooth sasa ukija nikakutana na zege la uso lazima nishtuke tofauti na ukituma sura halisi najua hasa cha kutarajia.
Mbona sisi hatuweki ndizi au matango kughushi uhalisia wa vibamia vyetu.
Nyie mnaojua kutoa kasoro binadamu wenzenu Mara nyingi huwa ni wabaya kuanzia sura hadi umbo.ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja😂😂
ondoa makasiriko ndugu. Chunusi si maradhi na punguza ku ji edit.Nyie mnaojua kutoa kasoro binadamu wenzenu Mara nyingi huwa ni wabaya kuanzia sura hadi umbo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mna dhambiiii khaaaaahNi kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.
Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Kaka jamani, khaaaaahukiona demu kila mtandao wa kijamii anatumia profile picture moja tu ujue huyo ana sura ya baba na hiyo picha moja ndio katumia ufanisi wake wote wa ku edit. Miaka 3 mtoto wa kike DP hiyo hiyo whatsapp, facebook, instagram.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi Kuna Snapchat.
Akikuwekea mode ya "beauty"alafu akafotoa picha unasema Beyonce huyu hapa.
Alaaniwe aliyebuni ile app.
Shougaaaa angu nifundishee kutumia filter, kuna mtoto wa mtu nataka nimpigee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wa mtu ni moyo na nafsi ivo vingine mbwembwe tu
Nyieee[emoji1787]roho mbaya tu mfyuu[emoji22]Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.
Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
Sasa dear mavazi yetu si ni kaniki na rubega.Ila wanawake sisi waKiafrica hatujiamin hatupendi tulivyoumbwa,tunataman tungekuwa waarabu au wazungu,kujichubua ,mawigi na zile babyhair sasa[emoji23][emoji23] mtu anajiona mwarabu na ile mikope
Kwenye harusi wanavaa kihindi
Tamaduni zetu zipo wapi?zaman bib harusi walivaaje wa kiislamu sisi hatuna mavazi yetu mpaka tuvae ya kihindi
Ila wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]khaaa!!ukiona demu kila mtandao wa kijamii anatumia profile picture moja tu ujue huyo ana sura ya baba na hiyo picha moja ndio katumia ufanisi wake wote wa ku edit. Miaka 3 mtoto wa kike DP hiyo hiyo whatsapp, facebook, instagram.
Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.
Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaa km mwehu hapaaa.ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja[emoji23][emoji23]
!Nyie mnaojua kutoa kasoro binadamu wenzenu Mara nyingi huwa ni wabaya kuanzia sura hadi umbo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaaa angu umechachukaa vibayaaaaHuu uzi unafanana na uleee wa kukutana na shoga mzee[emoji23]!!!
Mbavu zanguuu hukuuuu nyieeee🤣!! Nani akubali kuonekana kiazi cherema thubutuuuu!☺️Sasa dear mavazi yetu si ni kaniki na rubega.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tuvae hivyoooo.
video call haina kupindisha, Tena ukitaka ufaidi vizuri awe kwenye jua kali ndio utaona mpaka tongo tongo.Uko sawa mwamba video call ndo solution