Mwanamke ana expire date

Mwanamke ana expire date

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,323
Reaction score
10,813
Habarini Wakuu!!

Mwanamke lazima utambue jambo hili. Ili kuendana na ulimwengu na maisha halisi kuepuka tabu na msongo ya mawazo hapo badae.

Mwanamke huanza ku-expaya siku ya kwanza atoapo bikra yake. Watu wengi hawajui kuwa suala la umri sio kigezo kikubwa kama watu wajuavyo. Mwanamke akishatoa bikra yake basi kuanzia hapo thamani yake huanza kudondoka mpaka atakapofikia expayarin date yake. Lakini mwanamke hawezi ku-expire hata afikishe miaka mia kama atakuwa na bikra.

Mwanamke ni kama bidhaa. Siku azaliwapo ndipo huingia rasmi sokoni. Na ukweli ni kuwa bidhaa licha ya kuwa na umuhimu mkubwa kuliko bidhaa yoyote hapa duniani lakini pia ndio bidhaa hatari kuliko zote.

Ni bora unywe sumu au utumie bidhaa iliyo-expaya kuliko kuishi na mwanamke aliyeisha muda wa matumizi. Wanaume wangeweza kuishi miaka hata mia mbili lakini kwa vile wengi wao huchukua wanawake walioexpire hujikuta hata miaka hamsini hawatoboi.

Mwanamke endapo atafikisha miaka 30 bila ya kuolewa na hana u-bikra basi huyo ni zaidi ya sumu kwa maisha yako. Wengi watabisha lakini ukweli ndio huo. Mwanamke afikishapo miaka hiyo tayari keshamaliza muda wake wa matumizi hasa akiwa hana alama za ubikra.

Mwanaume kama unataka kufa mapema na maanisha chini ya miaka 60 jaribu jambo hili nawe utajionea jambo nilisemalo linaukweli kiasi gani. Hivi mpaka unaoa mtu wa miaka thelasini na ushenzi ni kwamba hakuna wanawake wengine. Je ni ushamba wa mapenzi au ni kitu gani. mpaka unaamua kutumia kitu kilishoisha matumizi ni kwamba hakuna vitu vipya.

Wazee wa zamani walijua siri ya kuishi maisha marefu. Mbali na kula vizuri lakini pia suala la kuoa vitoto vidogo vyenye bikra ilisaidia sana. Wengi hawatanielewa.

Kuoa mwanamke mwenye above 30 ni sawa na kunywa sumu inayokuua pole pole na kama unamiaka 40 nakuhakikishia huwezi toboa miaka 60. Na kama utatoboa utatoboa kwa shughuli pevu.

Naomba radhi kama kuna yeyote nitakayekuwa nimemkwaza.

Povu kama lote nalisubiri
 
Siungi mkono hoja...

Haka kamke kangu kadiri siku zinavyosonga mbele ndo kanazidi kuwa kigori na kunifanya nijute kuchelewa kukafahamu...

Nikimuangalia mama yangu, na miaka yake zaidi ya 60 hivi sasa... bado ana sura angavu, tabasamu mwanana, upendo uliodhahiri na ujasiri usio na mashaka... Nitakuwa nimemtemdea Mungu dhambi, kumkosea baba heshima na kumdharau mama yangu kusema eti ameeksipaya... Lord have Mercy!

Kwangu mimi binadamu aliyeeksipaya ni maiti tu...

Salute kwenu nyote wanawake na mniwie radhi pale napowasemea mabaya. Saa nyingine shetani na pombe hunighilibu ..
 
Siungi mkono hoja


Ndio hivyo Mkuu. Wenyewe wanalijua hili. Ni ule woga tuu wakusema kwani wengi husema sio utu kusema mambo ya kweli yahusuyo maumbile, haiba, hulka na tabia za wanadamu
 
Mkuu hoja yako haina mashiko hata kidogo

Kwasababu umesema ya kuwa mwanamke asiye na bikra ni sumu,sasa ukibahatika kumwoa mwenye bikra hautamgegeda?
 
Mkuu hoja yako haina mashiko hata kidogo

Kwasababu umesema ya kuwa mwanamke asiye na bikra ni sumu,sasa ukibahatika kumwoa mwenye bikra hautamgegeda?


Soma vizuri mada Mkuu. Naona hujatimia katika uelewa. Rudia tena utaelewa
 
Hii mada ina muhusu dada zake tu walahi!
Pathetic DNA walahi
 
Mwenyezi mungu akupe kila lenye kheir na wewe na akuzidishie mapenzi na kumlea mzazi wako,hua nafarijika sana mtu akimpenda mzazi wake hasa MAMA, mwenyezi mungu akufungulie milango ya kheir na akupe ushindi mbele za maadui zako daima Ameen.
Kwa nini umesema hapo hasa MAMA baba yeye hana thamani ya kupendwa?
 
Siungi mkono hoja...

Haka kamke kangu kadiri siku zinavyosonga mbele ndo kanazidi kuwa kigori na kunifanya nijute kuchelewa kukafahamu...

Nikimuangalia mama yangu, na miaka yake zaidi ya 60 hivi sasa... bado ana sura angavu, tabasamu mwanana, upendo uliodhahiri na ujasiri usio na mashaka... Nitakuwa nimemtemdea Mungu dhambi, kumkosea baba heshima na kumdharau mama yangu kusema eti ameeksipaya... Lord have Mercy!

Kwangu mimi binadamu aliyeeksipaya ni maiti tu...

Salute kwenu nyote wanawake na mniwie radhi pale napowasemea mabaya. Saa nyingine shetani na pombe hunighilibu ..


Pamoja na sifa njema ulizozikumbuka kuzitaja kwa ndugu zetu lakini umesahau upande wa pili wa shilingi. Binafsi naelewa pande zote mbili yaani usiku na mchana juu na chini.

Mungu aendelee kuwajalia
 
Natabiri huu uzi lazima utakuwa na ugomvi huko mbeleni. Ngoja nichukue seat na maji kubwa nisubiri.
 
Back
Top Bottom