cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23] hivi Kuna wanawake wanajitongozesha kabisa?Sisi tutaaminije ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] hivi Kuna wanawake wanajitongozesha kabisa?Sisi tutaaminije ....
Eeh lazima nimwite babe wako ashuhudie mambo yakoSasa hii ni tabia gani mdogo wangu[emoji39][emoji23][emoji23]
Ni wa wachache Sana wanaojitambua. Wengine hawako hivyo. Nilikuwa na tabia ya kuchangamkia watoto wadogo na kuwa karibu nao. Ajabu, mama zao wakaanza kujileta. Tena wake za watu.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Sisi tunakutana nao ..wengi tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Dunia imebadilika sahv Kuna mambo ya kushangaza yashaanza kuzoeleka na kuchukuliwa kawaida[emoji23][emoji23] hivi Kuna wanawake wanajitongozesha kabisa?
Dah we differ kwa kweli Mimi Kuna watu na prefer kuendelea na urafiki bila ngono maana kuendekeza kunyaduana, Sasa hao kina mama labda walifikiria unawatongoza indirectNi wa wachache Sana wanaojitambua. Wengine hawako hivyo. Nilikuwa na tabia ya kuchangamkia watoto wadogo na kuwa karibu nao. Ajabu, mama zao wakaanza kujileta. Tena wake za watu.
Kuwa cheap Sana ni kutokujielewa banaSisi tunakutana nao ..wengi tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Dunia imebadilika sahv Kuna mambo ya kushangaza yashaanza kuzoeleka na kuchukuliwa kawaida
Tupo wachache ndugu wenye moyo kazana hivyo hivyo majaribu yapo tu usianguke ktk jaribu Mungu akusaidie ushindeHabari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.
Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.
Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.
Hataki kunielewa ananisumbua mno nimemblock kwenye kila sehemu lakini bado ananisumbua coz tunaonana kila siku ofisini.
Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.
Ukute sasa umemsaidia miaka kadhaa ... mfano lift kila asubuhi Tegeta to kazini posta na kurudi.. inafikaga pahala wanawazaga huyu mbona hasemi au ana tatizo..!? Na usiposema utahisia ya mtungi kuteleza kila jogoo alitaka kuupandaAcha longolongo.
Wanawake wengi wanaposaidiwa, huishia kutoa papuchi.
Nmeshayaona hayo kwa wanawake tofauti tofauti.
Mi chichemi... ufundi wake unaonekana hadharani.... Wengine ufundi wa Mungu unaonekana kwenye nyumba ni choo, wengine kwenye majicho, wengine kene ma-lips, wengine kwenye vitembeleo.... SASA UKUTE mwingine katunukiwa sekta zaidi ya moja sasaaa...!!!!Ila Mungu fundi ati
Naomba nijiunge kifurushi hiki kuanzia mwezi ujao 😅Hao hawajielewi heri urafiki wa kukulana kumaliziana hamu zenu hivo hivo mkimisiana mnataftana sio hyo ya kuchoshana had kupigiana simu usiku mbona ni kero, unakula asali Hadi wataka kuchonga mzinga
Mipira iliokufa😅Ngoja waje wale wataalamu wa dead balls wakupe ushauri namna ya kupiga penati bila Donnarumma kupangua...😂
Mle tunda huyo mzee au toa back pass baharia niishi naeHabari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.
Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.
Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.
Hataki kunielewa ananisumbua mno nimemblock kwenye kila sehemu lakini bado ananisumbua coz tunaonana kila siku ofisini.
Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.
Kwa hiyo ukikutwa au ukimkuta anakulana na mwingine usepe kimya kimya bila malalamiko yoyote..!?Hao hawajielewi heri urafiki wa kukulana kumaliziana hamu zenu hivo hivo mkimisiana mnataftana sio hyo ya kuchoshana had kupigiana simu usiku mbona ni kero, unakula asali Hadi wataka kuchonga mzinga
Wale wafuasi wa Rickboy kwenye uzi jukwa wa kulana kimasharaNgoja waje wale wataalamu wa dead balls wakupe ushauri namna ya kupiga penati bila Donnarumma kupangua...😂
Ndio unapita kimya kimya bana ujue Kuna watu wa hamu tu no feelings attached.Kwa hiyo ukikutwa au ukimkuta anakulana na mwingine usepe kimya kimya bila malalamiko yoyote..!?
We mtoto u dnt pick up my dials wassup?Mi naona hata si kulipa fadhila ila tu amekupenda na amekuona una roho nzuri yaani you're a such a gentleman unayefaa kuwa naye🤷♂️
Yani utamu wetu unaita Uchafu aisee..Mbingu sio yako.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Ahahahahaa ukute mzigo nimeuelewa sasaNdio unapita kimya kimya bana ujue Kuna watu wa hamu tu no feelings attached.