Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Nasikia mpaka wanawake wa kitanga kama hujitumi kulipia watoto shule wanaanza masimango. Mambo yanaendelea kubadilika
Shida Sana mkuu, hii inssu haiusiani na kukashifu makabila ila kuna baadhi ya jamii zenye asili ya mikoa kadhaa hapa nchini wanasifika kwa tabia za namna hii including me[emoji23]
 
Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.

kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.

Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.

Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.

:AlizeePLS: :AlizeePLS: :AlizeePLS::AlizeePLS:
Mwanamke ni mtu wa kupenda dezo sasa kama hela huna atapataje vya dezo😂?

Kuwajibika hawataki!!!
 
Back
Top Bottom