Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Ndio maana tunashauriwa, tuishi nao kwa akiliHayo namuachia Mungu tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana tunashauriwa, tuishi nao kwa akiliHayo namuachia Mungu tu mkuu.
Kuna masikini yoyote, aliyeoa pisi kali?Kafanye Research tena....; Kuna watu wali-abscond hata ufalme (na kuacha Pesa) na kukimbia na mpenzi wao kwenda kuishi maisha ya kimasikini wote wawili...
Binadamu huwa anathamini kitu ambacho hana (kwahio ukiwa na pesa (kwa wengi) kwako pesa sio kigezo tena )
Vipato havitoshelezi, ndio maana ata kumiliki ndege wakati mwingine inakuwa ni ndoto za kufikirika tuNa mwanamke mwnye kipato je?? Hana haja ya mapenzi si ndiyo??
Hilo ndilo jibu sahihi; kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyeweHayupo wa kubeba mizigo yako
Wanaharakati watakuwa wamepata jibuNi rahisi mwanamke kuuvumilia umasikini wa wazazi wake kuliko umasikini wa mme wake
Hellow mtanii, uko poaa??Hello coca
Nashukuru umethibitisha usahihi wa mada; wanaobisha waendelee kubisha tuHii uzi ni revised edition ya ngapi???
Asante kwa taarifa inayojirudiarudia
Cc Smart911
Hiyo iko hivyo tangu zamani.Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Kama nani aliolewa na kapuku?Wanawake wenye pesa wanaoamua kuolewa na makapuku,wanafuata nini?
Kama hela haitakuwepo, na mapenzi hayatakuwepo; vinginevyo ukutane na mtu aliye jikatia tamaaKama anafata hela apewe hela, kama anafata mapenzi apewe mapenzi. Tupunguze maneno
Kuna wanaharakati humu wanapinga hoja, bado wanaamini yale mapenzi ya kwenye tamthilya ya tajiri kupenda masikiniHiyo iko hivyo tangu zamani.
Nakwambia kuna watu historically walioa hadi mabinti wa kifalme (tena mabinti wazuri) na sacrifice yao haikuwa uchumi tu bali kutengwa na ukoo mzima....Kuna masikini yoyote, aliyeoa pisi kali?
Wajibu wa mwanamke siyo kupenda, jukumu la mwanamke ni kutii.Kuna wanaharakati humu wanapinga hoja, bado wanaamini yale mapenzi ya kwenye tamthilya ya tajiri kupenda masikini
Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
👇👇👇📌📌📌🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Ukweli mtupu huu.
[emoji91][emoji91] CASE CLOSED [emoji119]Wajibu wa mwanamke siyo kupenda, jukumu la mwanamke ni kutii.
Na kamwe hawezi kukutii kama huna uwezo wa kumhudumia.
Unajua kwa nini Adam alishawishiwa na Eva?Nakwambia kuna watu historically walioa hadi mabinti wa kifalme (tena mabinti wazuri) na sacrifice yao haikuwa uchumi tu bali kutengwa na ukoo mzima....
Kwahio matamanio ni tofauti sana ukisema kwamba kila mtu matamanio yake ni excessive wealthy basi matajiri wangekuwa hawana matamanio au usingepata watu kama Mother Theresa kwenda kuishi na ombaomba (kwake yeye ile kwamba ame-make a difference ndio ultimate goal na sio monetary / material things)
Kwa Imani ipi ? Niambie Imani yako ili ni-qoute accordingly.., kuna watu hao Adam na Eva au hata Hawa ni watu wa kusadikika....Unajua kwa nini Adam alishawishiwa na Eva?
Sasa unatqkq afate nini? Unataka akupende kama ulivyopendwa na wazazi, wako?Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.