Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Usicheke Coca, toa ushauri kwa kakako!🤓😁Nimecheka had mbavu zinaumaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usicheke Coca, toa ushauri kwa kakako!🤓😁Nimecheka had mbavu zinaumaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sahihi mkuuEpuka sana generalization, wengi wanaokuja kwako kwa kutaka hela kuna sehemu wanaenda kupeleka hisia,
Vitabu vya dini vinasemaje?Kuishi na Mwanamke kwa Akili…huwezi kubishana na vitabu vya dini.
Kabisa kaka usikae mbalii kuwa makini hapo soon mambo yanakuwa freshKuna mistake fulani ndogo nilifanya kumuachia mpaka leo najuta.
Kuna dogo mmoja huwa ananipa mikanda yote.
Akiwa free sichezi mbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo hawezi shaurika tena, ni wa kumuacha tyuuh.Usicheke Coca, toa ushauri kwa kakako![emoji851][emoji16]
Yaani wewe ni misogynist per se, hujifichagi, unatia kinyaa aiseeWanawake wengi miaka hii ni malaya
Malaya anachoangalia ni pesa tu
Ndio maana huwa nashangaa kuona mwanamume eti anamhudumia mwanamke
Kweli malaya ni wa kumhudumia?
Hello coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo hawezi shaurika tena, ni wa kumuacha tyuuh.
Basi tukubali tu wanachokifanyaHii inakuwa ni ngumu kwa sababu, hisia zetu wanaume huwa hazifichiki; ukipenda umependa, na unakuwa uko tayari kugharamika kwa uwezo ulionao.
😂 wahuni sio watuPenzi la afutatu kaka lile 🤣😂😁😁
😂😁🤣😂 wahuni sio watu
Hapo kwa mzee umefuata nini; leo hii akipofuka macho utaendelea kuwa naye?We kwa hali uliyonayo sasa hivi hamna utakachoelewa zaidi ya hicho ulichoamua kuamini. Kunywa maji yakutosha, kama una nguvu ya kula basi kula kidogo alafu ulie mpaka usingizi ukuchukue.
Kesho, kesho kutwa hivi ndio turudi kwenye huu mjadala.
Uchumi ukiyumba tu; utaona kila aina ya rangiHuu uzi unatugawa makundi makundi hivyo usitake kuaminisha watu wa kundi BA haliyakuwa ww ni kundi A...kundi A ni wale ambao kwa kipindi hiki wapo kileleni na kundi BA wapo kwenye sintofahamu zote ni hali ambazo kila mmoja anasema anachopitia so ww kama unateseka mkuu just relax time ya kulicover itaisha na utakula maisha na wale wanao pitia Bata wale kweli kweli cos siku zao zipo njiani tumuombe mungu atuepushe na pepo mbaya maana ni balaaa.
Ili lolote likitokea uwe umejipangaKujihami kivipi?
Sio kwa zama hizi wanawake wamebadilika sana hawana hisia kabisa. hata hao ambao waliona wanapedwa na hawaobwi pesa wameachwa vibaya sana..Epuka sana generalization, wengi wanaokuja kwako kwa kutaka hela kuna sehemu wanaenda kupeleka hisia,
Ruhusu maisha yawe na furaha, umri ni namba tuNdo naingia holy trinity third floor mwezi huu mkuu ila nna miaka 6 chamani nalisongesha sio mgeni saana. Pia ni Old soul (50+ years If u know waramean).
Aisee unakuaga mchangamfu na mtundu sana nkajua uko labda mid 30s mkuu but age is just some digit, maximum respect!