cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ukweli mtupu huu.Epuka sana generalization, wengi wanaokuja kwako kwa kutaka hela kuna sehemu wanaenda kupeleka hisia,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mtupu huu.Epuka sana generalization, wengi wanaokuja kwako kwa kutaka hela kuna sehemu wanaenda kupeleka hisia,
Penzi la afutatu kaka lile 🤣😂😁😁Nacheka lakini naogopa 😂
Hii inakuwa ni ngumu kwa sababu, hisia zetu wanaume huwa hazifichiki; ukipenda umependa, na unakuwa uko tayari kugharamika kwa uwezo ulionao.Tukiwa tunawaambia ukweli tuache kutumia fedha kuwaweka karibu vinginevyo huu ugonjwa hautibiki.
Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Hiyo tunaweza kuipa 0.0001%Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.
Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
Mkuu ndio yule anafanya kazi BOT paleKuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.
Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
Ukitaka uwajue hawa viumbe vizuri, uzoefu ni muhimu; kama utakuwa na umri kuanzia 45+ utaunga mkono hoja.Nahisi huyu kiumbe ananipenda, ila sema za ukweli sijawahi kumpitisha siku nzima full bati 🤔 sema inakujaa hv theory ya mtoa mada
Ni bora kujihami kuliko kutokujua kabisaHilo tushalijua na tunaruka nao ki~mafia!
Aah, wapi. Huyo wa kimataifa yuko US.Mkuu ndio yule anafanya kazi BOT pale
Kumbe kaka 😂🤣Aah, wapi. Huyo wa kimataifa yuko US.
Wadada wa BOT wale ni hazina za taifa usikanyage bila kutumia katiba.
Yule wa BOT ana mwenyewe anamchunga kaa mbuzi.Kumbe kaka 😂🤣
yaan unapiga ukiwa mbali kama unapambana na koboko!Ni bora kujihami kuliko kutokujua kabisa
Muhimu kwenye mahusiano uliyopo, uishi kwa kujihami.Itapendeza zaidi wewe ukiwa ndiyo mfano wetu Equation x