Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.

kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.

Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.

Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.

Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
 
Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.

Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
Hiyo tunaweza kuipa 0.0001%
 
Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.

Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
Mkuu ndio yule anafanya kazi BOT pale
 
Back
Top Bottom