Mwanamke anahitaji kuwa na chupi ngapi na zibadilishwe baada ya muda gani


[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Shoga hawa ni kiboko.
 
[emoji1] [emoji1] Haya swahiba

Si ungeninong'oneza pembeni tu swahiba[emoji1] [emoji1]
Duuh. Swahiba ujue kuna baadhi ya maswali saa nyingine hata kumnong'oneza mtu majibu yake pembeni hayafai kabisa Swahiba. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kuna ke ni nouma shogaangu acha tuu,siku akibadili Mvua inanyesha maana hata mbingu zinashtuka haziamini[emoji23]
Hahahaaa. Kweli hapo lazima mbingu ishangae. Yaani hao hawana moyo wa kukinai nguo sababu kikawaida inafikia kipindi nguo inachosha na inahitajika kubadilishwa.

Kama hao hawaoni shida kuwa na uzi na sindano yaani kila mkanda wa brazia ukikatika anaushona kisa tu hajajipangia kununua nyingine.

Hatari sana shoga angu.
 
Duuh. Swahiba ujue kuna baadhi ya maswali saa nyingine hata kumnong'oneza mtu majibu yake pembeni hayafai kabisa Swahiba. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Swahiba nilijua tu maswali yale ni ishu kwako kujibu nami nimekuuliza makusudi tu[emoji1] [emoji1]
 
Tutumie na picha kabisa za pichu ili iwe rahisi kukupa ushauri ulio bora na wa kitaalamu zaidi....
 
Mbona chupi zimepitwa na wakati!,zinasaidia nn?waacheni wadada wajiachie kwanza joto na ndio chanzo cha fungus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…