hazitakati Bila kusuguaOohh.. Basi hata pichu sugue taratibuuu hapo makao makuu baada ya kuloweka na sabuni ya unga, i think zitang'aa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hazitakati Bila kusuguaOohh.. Basi hata pichu sugue taratibuuu hapo makao makuu baada ya kuloweka na sabuni ya unga, i think zitang'aa tu
Hutaki au!!!
Ttizo hamzilowekihazitakati Bila kusugua
Ahahahaha[emoji122] [emoji122] [emoji28] [emoji28] za siki jiraniWengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
Wengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
Salama jirani cha utunduAhahahaha[emoji122] [emoji122] [emoji28] [emoji28] za siki jirani
Mwaka huu bado sijanunua ujue!!!Najaribu kuwaza kwa mwaka unanunua ngap
Mwaka huu bado sijanunua ujue!!!
Mpaka nikutane nazo nzuriMpk lini sasa?
HahahahahaMpaka nikutane nazo nzuri
Naomba kwanz jib weweZile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
HahahaHahahahaha
Sio mnunuaji ww mpk ukutane nazo
Kwahyo una chupi ngapi swahibaDada uzi wako umenifurahisha ujue.
Mie najionea hakuna cha idadi ila zikiwa nyingi kuanzia hata 10 ndio vizuri na pale zinapoonyesha kuanza kuchoka ni vyema zikanunuliwa nyingine ili kuepusha kuvaa mpaka ziwe na matobo au mpaka hapo katikati pawe peusi tii.
Pia sio vyema pichu zote kuvaliwa kwa wakati mmoja sababu mtu asipokuwa makini zote zinachakaa kwa wakati mmoja na kwa upande wangu najionea ni vyema kuwepo pichu maalum za kubana kwa ajili ya zile siku tunazokuwa tumeruka kule angani.
Sio mtu ile siku ya kuruka basi unakuta pichu imelegea hiyo yaani hata hakuna kukaa kwa amani ila kama umevaa ya kubana inakuwa poa sana.
Kuwa kama Miss Natafuta, yeye hana budget ya vinguo hivyoZile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Mmh. Swahiba hata sijui. [emoji85] [emoji85]Kwahyo una chupi ngapi swahiba
Unanunuaga za sh ngap?!Hahaha
Ndo hivyo tena!!!
Kumi na mbili zinafika? Rangi ipi ndo unazo nyingi sana?Mmh. Swahiba hata sijui. [emoji85] [emoji85]
Ngoja nikazihesabu. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]