Mwanamke anahitaji kuwa na chupi ngapi na zibadilishwe baada ya muda gani

Mwanamke anahitaji kuwa na chupi ngapi na zibadilishwe baada ya muda gani

Dada uzi wako umenifurahisha ujue.

Mie najionea hakuna cha idadi ila zikiwa nyingi kuanzia hata 10 ndio vizuri na pale zinapoonyesha kuanza kuchoka ni vyema zikanunuliwa nyingine ili kuepusha kuvaa mpaka ziwe na matobo au mpaka hapo katikati pawe peusi tii.

Pia sio vyema pichu zote kuvaliwa kwa wakati mmoja sababu mtu asipokuwa makini zote zinachakaa kwa wakati mmoja na kwa upande wangu najionea ni vyema kuwepo pichu maalum za kubana kwa ajili ya zile siku tunazokuwa tumeruka kule angani.

Sio mtu ile siku ya kuruka basi unakuta pichu imelegea hiyo yaani hata hakuna kukaa kwa amani ila kama umevaa ya kubana inakuwa poa sana.
 
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.

Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.

Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.

Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Naomba kwanz jib wewe
 
Dada uzi wako umenifurahisha ujue.

Mie najionea hakuna cha idadi ila zikiwa nyingi kuanzia hata 10 ndio vizuri na pale zinapoonyesha kuanza kuchoka ni vyema zikanunuliwa nyingine ili kuepusha kuvaa mpaka ziwe na matobo au mpaka hapo katikati pawe peusi tii.

Pia sio vyema pichu zote kuvaliwa kwa wakati mmoja sababu mtu asipokuwa makini zote zinachakaa kwa wakati mmoja na kwa upande wangu najionea ni vyema kuwepo pichu maalum za kubana kwa ajili ya zile siku tunazokuwa tumeruka kule angani.

Sio mtu ile siku ya kuruka basi unakuta pichu imelegea hiyo yaani hata hakuna kukaa kwa amani ila kama umevaa ya kubana inakuwa poa sana.
Kwahyo una chupi ngapi swahiba
 
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.

Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.

Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.

Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Kuwa kama Miss Natafuta, yeye hana budget ya vinguo hivyo
 
Back
Top Bottom