Mwanamke anakuzimia simu mara tatu bado anakwambia hataki kukupoteza

Mwanamke anakuzimia simu mara tatu bado anakwambia hataki kukupoteza

Katika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.

Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.

Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.

Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?
Seen .
 
Mwanamke ukimpigia simu mara tatu mida tofauti ndani ya saa 24 hajapokea au hajakurudia baada ya kuona missed calls, mwanamke ukimpigia simu kila wakati anakata anakuambia kun amtu anapiga subiri, mwanamke akikuzimia simu au akikublock .

Unapaswa ujue kwamba hakuhitaji na haijalishi atakubembeleza kiasi gani unatakiwa ujue anakuchezea akili ili usimuone mbaya
 
Katika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.

Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.

Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.

Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?
Muda anazima Simu anakua anagongwa hataki mambo ya kuulizwa "Upo wapi!?"
 
Akiwa kazima simu anakuwa wapi? usikute anagongwa huko!!
Hata asipo zima simu akiamua kugongwa anagongwa tuu,,,tuache kuendekeza mapenzi kimitandao na pia tuache kulazimisha mapenzi tuwe fleksibo na maisha tuache kukompliketi,,Maisha na wewe Kwanza hao wengine na hayo mengine ni ya ziada tuu
 
Katika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.

Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.

Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.

Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?
Tafuta hela
 
Back
Top Bottom