Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
😂😂Yule girlfriend wake ni mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Yule girlfriend wake ni mwanamke
Seen .Katika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.
Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.
Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.
Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?
Ndio anagongwaAkiwa kazima simu anakuwa wapi? usikute anagongwa huko!!
NakaziaNdugu Wakigombana Shika Jembe Ukalime, Wakipatana Chukua Kikapu Ukavune Haraka
this is cap😂Kama anazima simu sababu ya madeni?![emoji23][emoji23]msijump into conclusion mapema mabroski.
😃😁😅😅😄😄😄Nakazia
Muda anazima Simu anakua anagongwa hataki mambo ya kuulizwa "Upo wapi!?"Katika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.
Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.
Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.
Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?
Vipi lakini unaendeleaje. Kuna mpya gani huko?😃😁😅😅😄😄😄
Salama Maisha BurdaniVipi lakini unaendeleaje. Kuna mpya gani huko?
Kazi nzuri 🤝Salama Maisha Burdani
Hakuna mwanamke hapo ni MALAYAYule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae
DuhAmka ndugu yangu hupendwi!
Hata asipo zima simu akiamua kugongwa anagongwa tuu,,,tuache kuendekeza mapenzi kimitandao na pia tuache kulazimisha mapenzi tuwe fleksibo na maisha tuache kukompliketi,,Maisha na wewe Kwanza hao wengine na hayo mengine ni ya ziada tuuAkiwa kazima simu anakuwa wapi? usikute anagongwa huko!!
Tafuta helaKatika harakati za maisha imekuwa na ukaribu na mwanasheria mmoja smart sana kijana. Bahati nzuri ana girl friend wake Tupo office Moja.
Yule girlfriend wake ni mwanamke anataka pesa. Ukiwa na pesa tu unaondoka nae. Huyu wanasheria mdogo wangu alikuwa analalamika Tabia za kushangaza za mpenzi wake. Sikumoja akamzimia simu Jamaa Tupo wote siku ya pili tena. Nikamwambia hapo huna mchumba hebu mtikise uone.
Jamaa akapunguza conversation sana. Sasa mwamanke hatulii anambembeleza sana Jamaa.
Anasema hataki kumpoteza.
Wadau hivi kama mtu hataki kukupoteza ndio anakufanyia haya ya kuzima simu hadi masaa 6 siku nyingine masaa matatu mimi nikiwepo. Bila sababu za msingi?