Mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli

sisi wanaume waongo ila mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli kwa hiyo wanaume tusiwatendee sana vbaya wanawake.
Ataniumizaje?,eti anicheat?, hapo atakuwa anajiumiza mwenyewe maana nikijua ananicheat nitaoa mke mdogo, then na yeye nimwambie afanye kama nilivyofanya
 
Mbona ghaflaa sana? Kwani imekuajeee?
amefeli kucheza na hisia zake!
sio kila mtu anauweza huo mchezo!,hapo ndipo wengi hufanya wasivyovipenda hapo ndio wanaoujua huo mchezo hucheza vizuri nakufanya wasioujua wapate maumivu!
 
sisi wanaume waongo ila mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli kwa hiyo wanaume tusiwatendee sana vbaya wanawake.
Jipige KIFUANI sema Mimi ni MWANAUME.
 
We piga panadol na maji mengi alafu kausha
 
amefeli kucheza na hisia zake!
sio kila mtu anauweza huo mchezo!,hapo ndipo wengi hufanya wasivyovipenda hapo ndio wanaoujua huo mchezo hucheza vizuri nakufanya wasioujua wapate maumivu!
Swadaktaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…