Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujamtendea atakudharau Raha ya mapenzi mvurugane mbongo zenu alafu ikae sawasisi wanaume waongo ila mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli kwa hiyo wanaume tusiwatendee sana vbaya wanawake.
Ntajiskia furaha sana pale ntapomweka kwenye challenge na wenziekwel mwamba.
Inategemea a na busara zenu kuanzishw kwa magomvi sio kwamba hamueshimiani walaje wazee we2 wanavyo semaga mueshimu nae atakueshimu, vp imekaaje hiyo
Inategemea a na busara zenu kuanzishw kwa magomvi sio kwamba hamueshimiani wala
kweli wanawake wajengewe sanamu lao me ata siwatzamii kwa sana sasa ameen sito onyeshe mapenz ya zati kwao.Inategemea a na busara zenu kuanzishw kwa magomvi sio kwamba hamueshimiani wala
Ataniumizaje?,eti anicheat?, hapo atakuwa anajiumiza mwenyewe maana nikijua ananicheat nitaoa mke mdogo, then na yeye nimwambie afanye kama nilivyofanyasisi wanaume waongo ila mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli kwa hiyo wanaume tusiwatendee sana vbaya wanawake.
amefeli kucheza na hisia zake!Mbona ghaflaa sana? Kwani imekuajeee?
Jipige KIFUANI sema Mimi ni MWANAUME.sisi wanaume waongo ila mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli kwa hiyo wanaume tusiwatendee sana vbaya wanawake.
Hebu sema, [emoji23][emoji23][emoji23]acha tu.
Swadaktaaaaa!!!amefeli kucheza na hisia zake!
sio kila mtu anauweza huo mchezo!,hapo ndipo wengi hufanya wasivyovipenda hapo ndio wanaoujua huo mchezo hucheza vizuri nakufanya wasioujua wapate maumivu!
Unakitafuta jambokweli wanawake wajengewe sanamu lao me ata siwatzamii kwa sana sasa ameen sito onyeshe mapenz ya zati kwao.