Mwanamke ananitaka kimapenzi

Hhhh et atalea yeye mzee kama ulikuwa upajui kwa afisa ustawi wa jamii utapajua maana KE wakizaa wanaona kama wame invest ni akili mtu wangu
 
Uliona wapi ukimpa mimba mwanamke analea mwenyewe....... RUN
 
Dah! Ukiwa mtoto raha sana! 😁😁 Yaani muda wote unawaza mambo ya raha raha tu. Ila ukikua sasa kama sisi baba zako, ndipo chamoto utakiona.

Huku ada, huku hela ya matumizi! Huku umetapeliwa! Huku unakoromewa na mkuu wako kazini! Huku kuna wagonjwa! Mara sijui mtoto wa shangazi anahitaji msaada! Hujakaa sawa Mwigulu kaongeza tozo!
 
Cop Man down man down
We need a back up
 
yaani mtu amekusalimu tu anakwambia umzalie mtoto, nawe unakosa ujasiri wa kumkatalia uso kwa uso....watotowa kiume wa miaka hii mna matatizo gani? Homons zenu ziko sawa?
 
Huyo mwanamke anawezaje ku take risk ya kuzaa na mwanaume hasiyejitambua ?
Bila shaka naye ni hamnazo.
 
Ushasema ni Muiraq... Hiyo sauti inayoishi ndani yako kwamba ANAKUPENDA uikemee haraka sana, na uishinde.... Sahau na endelea na maisha yako ndg yangu,.. 22yrs ni mapema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…