Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Mwache aende nasiyo vinginevyo ila akirudi usimpokeeWakuu habari..
Kichwa kinjieleweza, nilipo sijalala Jana kwa hii kadhia, naombeni ushauri nimwache aende au tusuluhishe.,,[emoji24][emoji24][emoji24]
Mwanamke akisha cheat, piga chini. Hawezi kurejea akatuliaWakuu habari..
Kichwa kinjieleweza, nilipo sijalala Jana kwa hii kadhia, naombeni ushauri nimwache aende au tusuluhishe.,,[emoji24][emoji24][emoji24]
AiseeHawapendi hao siku hizi, umezidiwa kibunda mwanetu. Achana naye
Mtoto wa simba hafundishwi kuumaWakuu habari..
Kichwa kinjieleweza, nilipo sijalala Jana kwa hii kadhia, naombeni ushauri nimwache aende au tusuluhishe.,,πππ
Mh!!!!.....
Japo hujaelezea kwa nini jana hukulala, ni ulikuwa unawazia kichwa cha uzi hapo juu au kuna jambo limekutokea na kwa jinsi ganiWakuu habari..
Kichwa kinjieleweza, nilipo sijalala Jana kwa hii kadhia, naombeni ushauri nimwache aende au tusuluhishe.,,πππ
Ukiwa na kibunda hakuna mwanamke wa miaka hii mwenye ubavu wa kusema hivyo mbele yakoAisee
AsantePole sana mkuu