Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
- #161
OkNo new Bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkNo new Bro.
Na utaimba kweli mithili ya mtu aliyerukwa na akili.ni kweli kabisa!!! aseee mwanamke akianza kuchepuka utaimba yesu nibebee!!
Mkuu hakuwa Malaya hata kidogo na si Malaya Hadi Sasa. Narudia alikuwa ananipa Siri nyingi za ndani mwao. Zilizohusu mipango Yao wanataka kufanya nini,udhaifu na ubora wa mmewe,ki ufupi hoja za huu Uzi ziko na 98% za ukweli.Duuuh mpaka ukawa unamkataza? Siri nyingi kuhusu udhaifu wa mume wake au? Huyo alikuwa malaya tu kama wengine.
[emoji28][emoji38]Officer usalama huyoooo
Anakua hana hisia na ww bali hisia zake zipo kwa mchepuko. Ni rahisi kukuletea kiburi, jeuri na dharau ambazo utapata stress na kukusepesha chap.Mlango wa kifo kivipi?
Bado ubaya unabaki kwa mwanamke.Unaona Wanawake mlivyo Wabaya??Hata mwanaume kuchepuka ni hatari pia, maana anachepuka na mwanamke ambaye atatamani akumiliki kwa njia yoyote ile...! Iwe kwa ndumba au kwa kukolezwa
Naam ndivyo ilivyo.Anakua hana hisia na ww bali hisia zake zipo kwa mchepuko. Ni rahisi kukuletea kiburi, jeuri na dharau ambazo utapata stress na kukusepesha chap.
Na pia anaweza hata fanya njama udanje fasta aenjoy na mchepuko kwa uhuru.
Udhaifu kama upi? Wa kwenye sex au? Halafu hata akikupa siri zote ni kazi bure tu coz u hav nothing to do, huna cha kufanya.Mkuu hakuwa Malaya hata kidogo na si Malaya Hadi Sasa. Narudia alikuwa ananipa Siri nyingi za ndani mwao. Zilizohusu mipango Yao wanataka kufanya nini,udhaifu na ubora wa mmewe,ki ufupi hoja za huu Uzi ziko na 98% za ukweli.
Njama kama zipi?Anakua hana hisia na ww bali hisia zake zipo kwa mchepuko. Ni rahisi kukuletea kiburi, jeuri na dharau ambazo utapata stress na kukusepesha chap.
Na pia anaweza hata fanya njama udanje fasta aenjoy na mchepuko kwa uhuru.
Kukua kwa sumu.Njama kama zipi?
Wanaooa malaya ndio huuawa kwa sumu na malimbwata.Kukua kwa sumu.
Kwahiyo malaya ndio wauwaji??Wanaooa malaya ndio huuawa kwa sumu na malimbwata.
Sidhani km upo sahihi.Mwanamke anayeweza kukuua ni yule ambaye wewe ulianza naye maisha Kiufupi wewe ndie ulimzindua lkn baadaye anaingia ktk penzi na mtu mwingine na kuona kuwa kwako alichelewa sana kuonja Utamu wa Dunia hii,huyu ndiye hatari sana kupita maelezo maana chochote atakachoelekezwa na Mshikaji wake hawezi kukataa.Lkn Malaya ameshakula maisha vyakutosha,Dushe za kila aina amezizoea, hivyo km ameamua kuingia ktk mahusiano na wewe hawezi kubadilika kiasi cha kutaka kukuua.I stand to be corrected.Wanaooa malaya ndio huuawa kwa sumu na malimbwata.
Ujue malaya ana roho ngumu?! Ni rahisi kukuua ukimuoa kuliko asiye malayaSidhani km upo sahihi.Mwanamke anayeweza kukuua ni yule ambaye wewe ulianza naye maisha Kiufupi wewe ndie ulimzindua lkn baadaye anaingia ktk penzi na mtu mwingine na kuona kuwa kwako alichelewa sana kuonja Utamu wa Dunia hii,huyu ndiye hatari sana kupita maelezo maana chochote atakachoelekezwa na Mshikaji wake hawezi kukataa.Lkn Malaya ameshakula maisha vyakutosha,Dushe za kila aina amezizoea, hivyo km ameamua kuingia ktk mahusiano na wewe hawezi kubadilika kiasi cha kutaka kukuua.I stand to be corrected.
Cha kufanya kipo mfano hapewi mkunyenge,Mimi ninampa hadi anapumua mithili ya mtu mwenye asma na ananishukuru.Udhaifu kama upi? Wa kwenye sex au? Halafu hata akikupa siri zote ni kazi bure tu coz u hav nothing to do, huna cha kufanya.
ExactlySidhani km upo sahihi.Mwanamke anayeweza kukuua ni yule ambaye wewe ulianza naye maisha Kiufupi wewe ndie ulimzindua lkn baadaye anaingia ktk penzi na mtu mwingine na kuona kuwa kwako alichelewa sana kuonja Utamu wa Dunia hii,huyu ndiye hatari sana kupita maelezo maana chochote atakachoelekezwa na Mshikaji wake hawezi kukataa.Lkn Malaya ameshakula maisha vyakutosha,Dushe za kila aina amezizoea, hivyo km ameamua kuingia ktk mahusiano na wewe hawezi kubadilika kiasi cha kutaka kukuua.I stand to be corrected.
Kumbe mume wake hampi mkuyenge? Amemkinai thats why hampi show kila muda, anakuja kwako ila anarudi kwa mumewe. Bado humfaidi vizuri mbona.[emoji5][emoji23][emoji23]Cha kufanya kipo mfano hapewi mkunyenge,Mimi ninampa hadi anapumua mithili ya mtu mwenye asma na ananishukuru.
Ki uchumi wako vizuri,akinunua chochote Cha mme wake jamaa anakuja juu eti anaharibu pesa badala yake ananinunulia Mimi. Bado sijafanya kitu hapo?
Malaya mpaka ameamua kuolewa na wewe inamaana ameshapitia starehe za kila aina, ameshakula matango ya kutosha, bamia kama zote, bilinganya na karoti ndo usiseme, hadi mirinda nyeusi zenye baridi na zenye joto zote azijua, so hakuna jipya la kumdanganya, na wapo ambao wamebahatika kuwaoa malaya na wakatulia kwenye ndoa na kuwa mama bora kuliko hata wale ambao walikuwa wanaonekana ni wachamungu (sijasema wote).Ujue malaya ana roho ngumu?! Ni rahisi kukuua ukimuoa kuliko asiye malaya