Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Kwa kuwa wewe ni mwana FASIHI...ninaamini ujumbe wako unaenda mbele zaidi ya MKE.....Ninaamini unawatia moyo watanzania kupambana na ku-aim to be the best katika kila jambo unalolifanya...kama ni elimu, michezo,,,,,nk.

Ila kama ujumbe wako unalenga kuzungumzia MKE na wewe haujavuka miaka 70 .....basi nakusihi tema mate chini....maana umetukana kijiji. Swala la kuoa au kuolewa sio la akili za kibinadamu........Pia ndoa hazifanani...ndoa ya wazazi wako haiwezo fanana na ya kwako,,,,,,,Huo ni mtazamo wako wewe na wala sio wa WATIBELI........Mwache BUNTI yako awe huru. Pia kumbuka furaha ni subjective......kama wewe unafurahia kuwa na mke mmoja...wenzako wanafurahia kuwa na wake wengi
 
Wakati mwingine hao Namba Moja huwa wanakuwa wake wazuri sana...ila tatizo linakuja kwa MUME.....Mume anakuwa na vituko kiasi MKE Mkubwa anaamua kuachana naye na kwenda kutafuta KIBEN-TEN......Na huyo KIBEN Ten anakuwa na Mke...So MKE mkubwa above 35 anaenda kuolewa na Kiben-ten cha miaka 23 ambacho kinakuwa na MKe wa Miaka 22.......Jamaa yangu mambo ya ndoa yaache kama yalivyo.....na usije shangaa mke wako analiwa na mume wa mtu....
 

Mitazamo potofu inayoleta vurugu na migogoro ndàni ya jamii haiwezi kuheshimiwa.

Mitazamo inayoumiza Wengine na kuharibu Maisha ya Wengine haiwezi kuheshimiwa
 

Watibeli mitazamo yetu Inafanana Kwa sababu inazingatia HAKI, UPENDO, AKILI NA UKWELI.

Unaposema siô mtazamo wa Watibeli unamaanisha unawajua hao Watu?
 
Maisha yanaweza yaka suprise mtu akatoka kwenye misimao yake. Kwa hiyo huwa sishangai watu wakifanya maamuzi fulani. Watu wanabadilika .
 
Maisha yanaweza yaka suprise mtu akatoka kwenye misimao yake. Kwa hiyo huwa sishangai watu wakifanya maamuzi fulani. Watu wanabadilika .

Maisha yanaweza kuku-suprise ndîo lakini hiyo haimaanishi kuwa unaweza kuvunja misimamo Fulani.

Mfano Kwa wewe unaweza kuwa shoga?
Hata Maisha yabadilike vipi naamini Huwezi kuwa hivyo, si ndîo?
 
As long as hawavunji sheria , wana haki ya kufanya wanvyoona vinafaa.

Nakubaliana na wéwe Kabisa

Ila Kwa Watibeli tunajua athari mbaya za Ndoa za milala na kuwa na michepuko ndîo maana Kwa Binti zetu Kamwe hawawezi kufikiri kitu kama hicho achilia mbali kukifanya.
 
Nakubaliana na wéwe Kabisa

Ila Kwa Watibeli tunajua athari mbaya za Ndoa za milala na kuwa na michepuko ndîo maana Kwa Binti zetu Kamwe hawawezi kufikiri kitu kama hicho achilia mbali kukifanya.
Usitukane mamba kabla hujavuka mtu.......
 
Mwanamke anawezaje kuwa shoga?

Umesema Maisha yanaweza kuku-suprise Mpaka ukabadili maamuzi.
Ndîo nikakuuliza, wewe binafsi Kwa hoja hiyo, Maisha yanaweza kubadili maamuzi yako Siku Moja Ukawa Shoga?
Kama jibu ni hapana.

Elewa kuwa pia wàpo Wanawake ambao no matter what hawawezi kuolewa Mke WA pili Dunia ingalipo waô wakiwepo
 
Ndivyo mnavyojidanganya?

Mwanamke aliumbwa kwaajili ya Mwanaume. Umesema kweli lakini siô Mwanamke anayejitambua aumbwe akawe Nyumba ndogo au mke wa pili ilhali Wanaume Wengine wàpo. Huko ni kutojitambua
Kumbe ishu ni kuwa wa kwanza! Kwamba akiwa wa kwanza tu hakuna shida hata kama mwanaume akiendelea kuoa wanawake wengine!
 
Ni misimamo na mitazamo yao. Tatizo mnataka watu wawe na mitazamo sawa, hilo halitakaa liwezekane.
 
Ni misimamo na mitazamo yao. Tatizo mnataka watu wawe na mitazamo sawa, hilo halitakaa liwezekane.

Watibeli hatutaki mitazamo ya Watu íwe Sawa na yetu
Ila tunawatia Moyo wake weñye mitazamo Sawa na yetu kujiona wako Sahihi Kabisa.

NI Haki kîla Mtu kuwa na maonî na mtazamo wake
 
Watibeli hatutaki mitazamo ya Watu íwe Sawa na yetu
Ila tunawatia Moyo wake weñye mitazamo Sawa na yetu kujiona wako Sahihi Kabisa.

NI Haki kîla Mtu kuwa na maonî na mtazamo wake
Yes , wewe mtibeli baki na misimamo yako na wasio wabaki na yao.
 
Hii inawahusu waislamu pia? au ni kwa wakristo tu?
 
Yes , wewe mtibeli baki na misimamo yako na wasio wabaki na yao.

Ndivyo ilivyo.
Weñye misimamo Yao sijawahi waingilia ndîo maana NI ngumu kunikuta kwèñye Uzi WA Mtu Mwingine akiwa na mtazamo au Msimamo Fulani nikimlazimisha awe na mtazamo kama wàngu.

Labda kama ni kujadili
 
hakuna ulichonijibu mkuu. kuolewa mke wa pili sio laana wala kutokujitambua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…