Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Badala utoe hoja ñàona umejiunga na weñye uwezo Mdogo.
Embu jitutumue basi angalau wale wanaotumia Akili wakisoma waone umeandika kitu,

Wewe utakubali úwe Mume WA pili yaani Wanaume wawili muoe Mke mmoja?
Kama sivyo, Kwa nini hutokubali?
Kipi kinakufanya usikubali?

Karibu
Chief ni nani anae oa je kuoa ni nini?
 
Wanawake wasiojitambua ndîo huambiwa maneno hayo ili kuwatisha na kuwapumbaza Kisha Wanaume hutumia propaganda hiyo kuwatumia Wanawake dhaifu wasiojiamini.

Ndîo maana nikasema, Kwa Binti za Tibeli hiyi desturi ya kuwa mchepuko au kuolewa Mke WA pili wawaachie Wengine No matter what.

Gap la idadi ya Watu Baina ya Wanawake na Wanaume siô la kutisha kiasi kwamba mwanamke anayejitambua aolewe Mke WA pili au awe mchepuko.

Hiyo ni mitazamo na falsafa za Watibeli Mkûu siô Kwa Watu wote
Lakutisha linakuaje na sio la kutisha lainakuaje,hakika leo umeandika pumba.
 
Unatusagia kunguni tulio na chance ya kugombea majimbo manne

Siô Kosa Mwanaume Kuoa Wanawake kadiri awezavyo. Na itaendelea kuwa hivyo Mpaka mwisho wa Dunia

Kwa Sababu Wanawake wasiojitambua hawatakwisha, Wanawake wavivu hawataisha Duniani.

Alafu post hii inadhihirisha JINSI Watu Wengi walivyo wanafiki na wabinafsi.
Hapa wanaibisha na Kúpiga kelele wakiulizwa utakubali Binti yako akawa Mke WA pili au au mchepuko wa Mtu ndîo haohao wanakuwa wakwanza kukataa.

Ndîo shida ya Watu Wabinafsi
 
Mwanaume anao Mwanamke anaolewa.
Kuoa NI kitendo cha Mwanaume kuchukua Mwanamke na kumfanya Mkewe
Kuolewa na kitendo cha Mwanamke kumchukua Mwanaume na kumfanya kuwa Mumewe.

Wewe unatafsiri Ipi ya Kuoa?
Mwanaume kumchukua mwanamke kumuoa na sio mwanamke kumchukua mwanaume bali mwanamke huchukuliwa na mwaume na kua mke anae oa ndie anae chukuliwa sio anae olewa .

Kuoa ni kukubali pia majukumu yote ya mke kua chini ya mume kama kiongozi hivyo hata mwanaume akaoa mke zaid ya mmoja huyo anatambua majukumu yake kwa wake zake na akayafanyia kazi pasi na kujalisha mke ana mali au elimu ya kiasi gani.
 
Isaya 4 : 1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
 
Hii nakupinga mkuu. Kuwa mke wa pili sio laana wala kutokujitambua labda kwako tu hili ndo kutokujitambua!!

Kwa Mwanamke anayejitambua hawezi kuolewa Mke wa pili hata iweje. Pia Mwanamke anayejitambua Kisha anajitegemea ndîo haiwezeniki Kabisa kuwa mke wa pili au mchepuko.


Jamii za kifugaji ni kawaida sana na ni Baraka kabisa na mahali hutolewa sawasawa na Wa kwanza.

NI umaskini wa Wanawake ndîo unawafanya wakubali kishingo upande kuolewa wake wengi Huko kwèñye jamii za kifugaji.
Pili umeingilia dini za watu wenye Imani ya kuoa Hadi wake4 na nikawaida kabisaa.

Hizô Dini Wanawake Asilimia tisini na tisa hawakubali hicho kipengele. Alafu hicho kipengele kipô Kwa Matamanio ya Wanaume na waanzilishi wa hizô Dini.


Uzungu umekuingia sana usijione uko sawa Kila Wakati muda mwingine unapuyanga vibaya.

Hata wazungu wàpo weye mtazamo wa kuoa Wake wengi.

Ninachopinga NI Mila Potofu
 
Unakuwa unajitahidi sana kuandika kifalsafa ila huwezi na bado una safari ndefu mno kuweza kuandika ipasavyo ukakubalika. Fanya vitu vingine tu jamaa
Aliyekuambia nataka kukubalika NI Nani?
Au wewe unafanya vitu ili ukubalike?

Yàani niandike ili wewe unikubali ili Mimi nipate nini? Wewe kunikubali au kunikataa inaniongezea kitu gàni?
 
MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hakuna kujitambua kwa mwanamke mbele ya mwanaume mwenye akili timamu, ni jambo la asili, ni mwanamke kwa ajili ya mwanaume na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke.
 
Eeee, hata namba moja hujui kama ni mke wa 2. Jisemee mwenyewe, wako wasomi na wanaruhusu kabisa waume wao waongeze mke. Kila mtu ana maamuzi yake na afanye anachopenda.
Ndoa zenyewe nyingi zimejifia ,watu wanaishi kama roommate huku kila mmoja akiwa na mtu mwingine. Watu wanaishi kiunafiki na maneno yao usiyaamini. Hata mleta mada si qjabu anachangamsha jukwaa tu.

Aliolewa akiwa Namba Moja?
Mwambie Sasa hivi kama atakubali.

NI Sawa na Christina Shusho unaweza ukamuoa Mwanamke akiwa hajajitambua au Kwa sababu ya umaskini wake Akakubali kuwa hata Mke WA Saba Huko lakini Siku akijitambua au kujipata Hawezi kukubali tenà huo ujinga
 
Aliyekuambia nataka kukubalika NI Nani?
Au wewe unafanya vitu ili ukubalike?

Yàani niandike ili wewe unikubali ili Mimi nipate nini? Wewe kunikubali au kunikataa inaniongezea kitu gàni?
Soma tena ulichokiandika na nilichoandika ulinganishe
 
Hakuna kujitambua kwa mwanamke mbele ya mwanaume mwenye akili timamu, ni jambo la asili, ni mwanamke kwa ajili ya mwanaume na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke.

Ndivyo mnavyojidanganya?

Mwanamke aliumbwa kwaajili ya Mwanaume. Umesema kweli lakini siô Mwanamke anayejitambua aumbwe akawe Nyumba ndogo au mke wa pili ilhali Wanaume Wengine wàpo. Huko ni kutojitambua
 
Bible ina kila kitu, sijasema mm

Kwa sababu Siku za mwisho Upendo utapoa na wasiojitambua wataongezeka maradufu.
Na dhulma itakuwa Ipo juu.

Sasa wanawake saba wajitongozeshe Kwa Mwanaume mmoja huoni Hapo kuna tatizo.

Biblia inajua vyema matatizo ya jamii.

Siku za mwisho Upendo WA wengi utapoa lakini haijasema Upendo wa wôte au wfulani utapoa.

Vivyohivyo, Wanawake sababu watakaojidhalilisha ili kuondoa ya Kukosa Mume haitawahusu Binti za Tibeli
 
Aliolewa akiwa Namba Moja?
Mwambie Sasa hivi kama atakubali.

NI Sawa na Christina Shusho unaweza ukamuoa Mwanamke akiwa hajajitambua au Kwa sababu ya umaskini wake Akakubali kuwa hata Mke WA Saba Huko lakini Siku akijitambua au kujipata Hawezi kukubali tenà huo ujinga
Mbona namba moja anaendelea na ndoa yake? Si atoke huko kama amejitambua. Watu wasipangiane maisha, kama wewe hupendi kitu it is fine , na wao pia . Kila mtu achague au afanye anachoona kinafaa.

Hapa duniani kila mtu ana ujinga wake. Kwa mfano, kwa wazungu , mitala hairuhusiwi lakini ushoga au ndoa za jinsi moja ni halali na zinalindwa na sheria .
 
Mbona namba moja anaendelea na ndoa yake? Si atoke huko kama amejitambua. Watu wasipangiane maisha, kama wewe hupendi kitu it is fine , na wao pia . Kila mtu achague au afanye anachoona kinafaa.

Hapa hamna aliyechaguliwa.
Kutojitambua nako NI uchaguzi Mkûu.
Kuhusu Namba Moja nimeshakuambia kuwa hata yeye ukimuuliza Sasa hivi hawezi kukubali.


Hapa duniani kila mtu ana ujinga wake. Kwa mfano, kwa wazungu , mitala hairuhusiwi lakini ushoga au ndoa za jinsi moja ni halali na zinalindwa na sheria .

Wazungu wanatoka Wapi?
Hata wazungu wàpo weñye mitazamo ya Ndoa za mitala.

Hapa Afrika zîpo familia nyingi Ambazo hawataki Ndoa za mitala

Huko arabuni zîpo familia pia Ambazo hazitaki Ndoa za mitala

Ushoga ni Dhambi
Kuoa wake wengi au kuolewa wake wengi Siô dhambi Ila NI kutojitambua.
 
Hapa hamna aliyechaguliwa.
Kutojitambua nako NI uchaguzi Mkûu.
Kuhusu Namba Moja nimeshakuambia kuwa hata yeye ukimuuliza Sasa hivi hawezi kukubali.




Wazungu wanatoka Wapi?
Hata wazungu wàpo weñye mitazamo ya Ndoa za mitala.

Hapa Afrika zîpo familia nyingi Ambazo hawataki Ndoa za mitala

Huko arabuni zîpo familia pia Ambazo hazitaki Ndoa za mitala

Ushoga ni Dhambi
Kuoa wake wengi au kuolewa wake wengi Siô dhambi Ila NI kutojitambua.
Nimesema ulaya hawaruhusu mitala na haipo kisheria, sijakataa kama hakuna wazungu wanapenda mitala. Tunarudi pale pale, kila binadamu ana mtazamo wake kuhusu jambo fulani. Mitazamo ya watu na iheshimiwe. Hatuwezi kuwa na mitazamo inayofanana hata siku moja.
 
Back
Top Bottom