Wakudadisi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 626
- 528
Mbona yuko sawa tu mwandishi yawezekana uzi bora kwa wiki huu. Kuoa itatengemea na sababu ili uoe wa pili sio kuoa ao tu kwa tamaa tu??Sometimes huwa unaandika pumba sana ...kuwa mke WA pili sio laana..
Hebu imagine umeoa mwanamke halafu ghafla amepata ugonjwa wa kutokupona ambapo hawezi kukuhudumia tendo...je hutooa mke wa pili...? Au utaishi hivyo hivyo TU?
Bro think big sio Kila kinachokuijia kichwan unakimbilia kuandika
Unatumia takwimu zipi mkuuUsisahau kuwa idadi ya wanawake kwa sasa inazidi idadi ya wanaume!
Pili Vijana wengi ambao ndiyo wanapaswa kuoa wanaogopa maisha hivyo hawaoi.
Kwa sababu hiyo na sababu nyinginezo wanawake wanalazimika kujipeleka kwa wanaume walio na wake tayari.
Nimeipenda hiiSometimes huwa unaandika pumba sana ...kuwa mke WA pili sio laana..
Hebu imagine umeoa mwanamke halafu ghafla amepata ugonjwa wa kutokupona ambapo hawezi kukuhudumia tendo...je hutooa mke wa pili...? Au utaishi hivyo hivyo TU?
Bro think big sio Kila kinachokuijia kichwan unakimbilia kuandika
Ndo ukweli kabisa huu!Wanawake wasiojitambua ndîo huambiwa maneno hayo ili kuwatisha na kuwapumbaza Kisha Wanaume hutumia propaganda hiyo kuwatumia Wanawake dhaifu wasiojiamini.
Ndîo maana nikasema, Kwa Binti za Tibeli hiyi desturi ya kuwa mchepuko au kuolewa Mke WA pili wawaachie Wengine No matter what.
Gap la idadi ya Watu Baina ya Wanawake na Wanaume siô la kutisha kiasi kwamba mwanamke anayejitambua aolewe Mke WA pili au awe mchepuko.
Hiyo ni mitazamo na falsafa za Watibeli Mkûu siô Kwa Watu wote
Ukijua nani huwa anaoa usingeandika huu ujinga.
Toa hoja yenye mashiko.
Wewe unaweza ruhusu Mkeo aongeze Mume wa pili?
Au wewe unaweza kukubali kuongezwa Mume wa pili?
Jibu lako litaonyesha Wapi nimepuyanga
Hakunaga such a thing known as nyotaHuko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.
Huna adabu mkwe!!Mkwe hakuna kitu kinaitwa mke wa kwanza au wa pili au wa tatu...
Bali kuna kitu kinaitwa mke wa fulani kwa umoja wao na wake za fulani kwa wingi wao pasipo kujali nyakati zao za kuolewa...
2 Samweli 12
7 Basi Nathani akamwambia Daudi, Wewe ndiwe mtu huyo. Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nalikutia mafuta, uwe mfalme juu ya Israeli, nikakuokoa na mkono wa Sauli;
8 nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo kadha wa kadha.
Kwa hiyo maza etu hajitambui?MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.
Ole wako!!Umeamua kunipa tusi, ila nalipokea tu🤣
Huna adabu mkwe!!
Yaani hadi vifungu vya baibo unakwoti 🙆🙆🙆
Ole wako! Nitabeba binti yangu.😆
Sasa niquote wapi ili uelewe...?
Usisahau kuwa idadi ya wanawake kwa sasa inazidi idadi ya wanaume!
Pili Vijana wengi ambao ndiyo wanapaswa kuoa wanaogopa maisha hivyo hawaoi.
Kwa sababu hiyo na sababu nyinginezo wanawake wanalazimika kujipeleka kwa wanaume walio na wake tayari.
Ole wa nini mama, sitaki kufa mapema. Unanipa stress sana🤣Ole wako!!
Ole wako! Nitabeba binti yangu.
Hii ni sawa na siasa, je watawalazimisha waoaji kama hawataki?
kwa kutumia hesabu rahisi tu kwa mujibu wa data zako hapo juu
Umri wa wanawake kuolewa tuseme ni 25 to 29 ambapo kwa chart yako tofauti ya wanawake na wanaume ni 0.3%
Hiyo ni sawa na kusema, kama wanaume wote Duniani wenye umri huo wataoa
Wanawake 24,600,000 hawataolewa.
Kwa hiyo kwa kichwa chako kinakushawishi kuwa hiyo idadi ya wanawake zaidi ya milioni 24 itaishi maisha yao yote bila kuolewa na hapo nimesema; kama wanaume wote wataoa
KAMA BAADHI YA WANAUME HAWATAOA WAKE WAWILI, MIAKA IJAYO SINGLE MOTHER ITAKUWA NDIO HABARI YA MJINI
Kaka ni kweli. Lakini kuna miche/michi haitwangi, mengine inatamani kuwa kinu itwangwe. Hiyo siyo miche/michi kaka. Mchi unagongwa na mchi mwingine mpaka unaharibika.View attachment 3070674
Embu angalia hiyo chart alafu nambie jinsia gàni kwèñye Umri WA Kuoa na kuolewa wàpo wengi?