Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Second option kivipi,wakati mke wa kwanza nilioa iringa 1999 wa pili dar 2005!?..kule iringa ningemuonaje huyu wa pili aliyekua dar Ili asiwe 'second option'!?
Kwani second option mpaka uione?
Unaweza Ukawa na wazo hili Leo lakinimiaka mitatu ijayo ukapata wzo jingine mbadala àmbalo haukuwa nalo kipindi ukifanya wazo la Kwanza.

Mke WA pili NI second option àmbaye husababishwa na mambo yafuatayo;
1. Tamaa na kutojizuia Kwa Sisi Wanaume.
2. Mke kuwa na madhaifu na kero Ambazo zinamkatisha tama Mwanaume

3. Uchaguzi mbaya au ushamba, ya ulimbukeni wa mapenzi.
Wakati Mtu anafanya uchaguzi WA Kwanza labda alikuwa na wenge, au Maskini au kapuku hivyo hakuchagua mwanamke WA Ndoto yake baàda ya kujanjaruka na kupata kipato akaona Mke WA Kwanza hakuwa Sahihi.

4.Mila potofu Kwa Kwamba Kuoa Wake wengi NI ufahari.
 
Kumbe michepuko ni mahututi hawajitambui wako hoi 😂😂
 
Kea muktadha wa mke sharti wawepo wote sehemu moja wakati mmoja na umchague mmoja kisha mwingine afuatie,ndipo awa second option,kwa mpira vilevile ukimuanzisha Aziz ki ukamtoa na kumuingiza chama,hapo chama ni second option
 
Kea muktadha wa mke sharti wawepo wote sehemu moja wakati mmoja na umchague mmoja kisha mwingine afuatie,ndipo awa second option,kwa mpira vilevile ukimuanzisha Aziz ki ukamtoa na kumuingiza chama,hapo chama ni second option

Wewe Mkeo akitaka úwe Mume WA pili utakubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…