Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Kimaumbile mwanamke hawezi kuwa na waume wawili

Maumbile yapi?
Mwanamke anaweza kuwa na Wanaume hata Kumi na akawatimizia haja zào.

Ila Mwanaume Hana uwezo wa Kulala na Wanawake Watatu Kwa pàmoja akawaridhisha Bila Kutumia madawa.
. Unazungumzia maumbile gàni?
 
Thread zako sometimes zenyewe zinakosana

Itoshe kusema leo ulivyoamka akili imekuongoza hivyo

Tutarajie kesho utakuja na maono tofauti ila hatujui nini kinachokusukuma behind

All in all maono yako ni opinions tu sio fact hivyo hailazimishwi mtu aamini ulichokiwaza wewe
 
Kwahiyo wale Wanawake waliotakiwa kuolewa na Timu kataa Ndoa ya akina dronedrake unataka waolewe na nani kama sio kuwa Mke wa pili?😜

Sisi kule kwetu, unaweza Kuoa Wanawake hata 10(Kimila lakini) muhimu uweze kuwatunza na kuwahudumia

NI Kwa sababu Wanawake walinyimwa Miundombinu ya kujitafutia na kufanya kazi ndîo maana waliolewa kimafungu kama Nyanya. Lakini siô kwamba Walipenda au wanapenda Jambo Hilo.
Ndîo maana wakiolewa Wake Wenza vita Yao Humo ndàni NI kûbwa mno, kulogana, kuuana, na hata Wakati mwingine Mwanaume hûjikuta kwèñye hatari ya kupoteza Maisha.

Kina dronedrake na Liverpool VPN waô wanakataa Ndoa Kwa sababu ya utapeli Mkubwa uliopo humo siô kwamba hawajui umuhimu wa Ndoa.
 
You said well bro, but mifumo yetu ya kimaisha na kidini na kitamaduni ndio tatizo lilipo.
Baadhi ya tamaduni inamfunga mwanamke kuwa na chaguo…
Tukija kimaisha mwanamke anaangalia ugumu wa maisha na kimbilio pekee la unafuu ni kuwa sidechick.
 
Maumbile yapi?
Mwanamke anaweza kuwa na Wanaume hata Kumi na akawatimizia haja zào.

Ila Mwanaume Hana uwezo wa Kulala na Wanawake Watatu Kwa pàmoja akawaridhisha Bila Kutumia madawa.
. Unazungumzia maumbile gàni?
Unazungumzia mwanamke au mke!?..halafu unajiita taikun wa fasihi kutofautisha mambo huwezi!!..ushasikia kuhusu threesome, foursome!?
 
You said well bro, but mifumo yetu ya kimaisha na kidini na kitamaduni ndio tatizo lilipo.
Baadhi ya tamaduni inamfunga mwanamke kuwa na chaguo…
Tukija kimaisha mwanamke anaangalia ugumu wa maisha na kimbilio pekee la unafuu ni kuwa sidechick.

Ni kwèli. Semà Dunia Huko iendako inaenda mahala Sahihi kabisa wale waliozoea dhulma na unyanyasaji mfumo Ujao unawaweka pembeni
 
Unazungumzia mwanamke au mke!?..halafu unajiita taikun wa fasihi kutofautisha mambo huwezi!!..ushasikia kuhusu threesome, foursome!?

Mke NI Mwanamke pia.
Mwanamke anaweza kuwa Mke wa Wanaume wanne kama vile Wanaume tunavyokuwa Mume WA Wanawake wengi.

Kipi kinashindika kwèñye Ushenzi?
Kama Mwanaume anaweza kuwa na wake wengi? Kwa nini unafikiri Mwanamke Hawezi kuwa na waume wengi?
 
Hilo ni kweli 100% na ni tabia ya mtu

Point yangu na msimamo wangu vinabaki palepaleeeee

Kuwa mchepuko/ mke wa pili bora mnipige hadi mniue




Cc Smart911
Usiite kuolewa mke wa pili mkosi bali kuzurura na kubinuliwa na wanaume tofauti kila iitwayo leo ndiyo mkosi,waja kwako kujaribu style na dawa za nguvu za kiume kisha waenda oa wengine,we mashavu yanazidi kutepeta na kuota sugu tu,maana kila dhakari yako
 
Mke NI Mwanamke pia.
Mwanamke anaweza kuwa Mke wa Wanaume wanne kama vile Wanaume tunavyokuwa Mume WA Wanawake wengi.

Kipi kinashindika kwèñye Ushenzi?
Kama Mwanaume anaweza kuwa na wake wengi? Kwa nini unafikiri Mwanamke Hawezi kuwa na waume wengi?
Hiyo kkumma ndani ya mwezi igongwe na vidume vinne si itakua kama sufuria la pilau shughulini!?..halafu mwanaume yupi ataanza kutia kimba!?..mwanaume wa nne atapata mtoto wake wa kwanza baada ya miaka kumi,wa pili miaka 20,maana itambidi asubiri miaka 2.5 kwa kila mimba mpaka kujifungua na kunyonyesha
 
Usiite kuolewa mke wa pili mkosi bali kuzurura na kubinuliwa na wanaume tofauti kila iitwayo leo ndiyo mkosi,waja kwako kujaribu style na dawa za nguvu za kiume kisha waenda oa wengine,we mashavu yanazidi kutepeta na kuota sugu tu,maana kila dhakari yako

Mie nimemaliza sina la kuongeza

Cc Smart911
 
Hiyo kkumma ndani ya mwezi igongwe na vidume vinne si itakua kama sufuria la pilau shughulini!?..halafu mwanaume yupi ataanza kutia kimba!?..mwanaume wa nne atapata mtoto wake wa kwanza baada ya miaka kumi,wa pili miaka 20,maana itambidi asubiri miaka 2.5 kwa kila mimba mpaka kujifungua na kunyonyesha

Mbona Uume unaweza ingizwa kwenye mashimo Kumi Kwa Mwezi, huoni ni uchafu?

Uke NI Mpira mbona wakizaa Watoto Kumi hausemi kuwa mi sufuria?
 
Usiite kuolewa mke wa pili mkosi bali kuzurura na kubinuliwa na wanaume tofauti kila iitwayo leo ndiyo mkosi,waja kwako kujaribu style na dawa za nguvu za kiume kisha waenda oa wengine,we mashavu yanazidi kutepeta na kuota sugu tu,maana kila dhakari yako

Yeye NI Mke Mkubwa ashasema hawezi kuwa Mke mdogo au kuitwa Nyumba ndogo au kupewa Namba ñyiñgine

Hayo maelezo unayoyatoa Hapa mbona hayahusiani na Msimamo na chaguo lake?
Au unaelezea kile unachokipenda?
 
Back
Top Bottom