Wamejaa hapa wanawake wenye hela zao, lakini wanaogopa kuchangia hii mada!!
Baba askofu hebu tupe uzoefu wako katika hili.
Users Browsing this Topic
There are currently 38 users browsing this thread. (19 members and 19 guests)
:love:Kijana binti kujijenga si kigezo cha yeye asiolewe! kama vijana wote wangalipata wazo kama hili basi mabinti wasingalifanya kazi kabisa na wakae tu kusubiri kuolewa la wapate mali na wasiolewe! kwa maoni yangu binti anapaswa ajijenge na kijana naye ajijenge pia! mali pesa majumba nk. ni vitu vya kupita na vinatafutika! lakini moyo wa upendo wa kweli kama haupo haijalishi hata kama binti ni millionea au ni masikini kupita, ndoa itakuwa NI mateso!
kitu muhimu ni upendo wa kweli na sio uzuri wala mali, japo na hivi pia vina mchango wake kwa sehemu!
:nod:upendo huvumilia,hufariji,hupongeza,hauhesabu mabaya, haubagui, nk! HAKUNA KITU MUHIMU KATIKA NDOA KAMA UPENDO WA KWELI! :help:na hakuna mwenye kipimo cha upendo wa kweli isipokuwa YEYE aliye na upendo wa kweli! NAYE NI MUNGU WETU WA MBINGUNI!:help:
wamewakilishwa vyema sana na gaijin!.....Hapo kwa akina dada wamekosekana akina WoS, MJ1, First lady na NYAMA YAO
We hiki kiburi cha kutoa garantii unakitoa wapi??? Yaani utadhani una kiwanda cha waume bana[/COLOR]
hapo akitaka kufanyiwa hivyo atakuwa amejitakia, lakini wanaojua kusaka faranga kama yeye yapo na tuseme wanatafutana lakini ni kwamba hawajapatana tu sio kusema itakuwa ngumu kwake kupata au vipi kupata atapata tu....
Mi nadhani ukiwasoma vizuri Gaijin na Asprin utagundua kwamba mnazungumza lugha moja. Jaribu tena....trust me on that one.hili lyfe halieleweki kabisa...mwanamke ukiwa huna utaambiwa msumbufu/una omba sana, ukijua kuzisaka napo shida, najua kama JS angekuwa yupo ndani tayari ndio akapata kazi ya maana kuliko mume watu wangesema mengine lakini kwasasa wanasema tofauti...bwana weee JS jiwekeze, jenga nyumba hata 50 kama uwezo unao, fanya yote yawezekanayo utapata tu wa level yako...
Hapa mzee unaniangusha kabisaaaa. Yaani gr8 thinker unatoa mfano wa ndoa ya aka 3.mkuu,
as for me NOT SATISFACTORY....!
kwanini....!kwasababu i have seen it happening to the people i live with!mdogo wangu(causin sister) ni very bright na pia she was in the TOP FIVE STUDENTS wa tz form six ya 2005.amesoma compyuter engineering kwa mukandara hapo...!she is married to jamaa ambae ni mwalimu tena wale wa CRUSH PROGRAMME!....three yrs now,two kids!!...THEY ARE REALLY HAPPY SO FAR!
hata hivyo mkuuu dc(i need a scientific derivation)
Angalia hii kaka mkubwa.Scientific proof mpaka kwenye ndoa? Dah! wahandisi bana!
Three years? You just give it time. Miaka mitatu mbado wanalala huku wamekumbatiana. Subiri watakapozoeana kisawa sawa na fedha kushika nafasi yake. Hapo pia nazungumzia uzoefu, sihitaji kuulizwea swali
Da Womanizer MemberHapa mzee unaniangusha kabisaaaa. Yaani gr8 thinker unatoa mfano wa ndoa ya aka 3.
Exactly!!!!!!!mambo ya hela sijui nini NI VERY IMMATERIAL when it comes to true love!
tatizo ni kwamba wanaume tuna ile notion ya DOMINANCE kwenye ndoa zetu ndo maana ''we would like to control kila kitu FINANCIALLY''.
mimi napingana na hizo ideas kwasababu hii ni dunia nyingine kabisa!
maanake sasa watoto wa wakubwa wangekuwa hawaolewi.....!kwamba mtoto wa clinton kaolewa na mtoto wa BILIGATES?ABRAMOVICH?AU KAOLEWA NA MTOTO WA SHEIKH MAKTHOOM WA DUBAI?
Kumbe tatizo unalijua ila ubishi tu.............bwana mkubwa...!
mi bado naisimamia pointi yangu ya ''MAGAZETI YA SHOGONGO'' kwasababu za msingi kabisa kwamba wapo wanaoishi hivyo (mke kuzidi kipato),na maisha yanaenda.hizo theories nyingine ni THINKING ATTITUDE OF MEN'S MIND..!KWAMBA THEY LIKE TO DOMINATE...!
na kuna wanawake ambao wameshausoma huo udhaifu wanachokifanya ni kwamba kama wanataka kufanya malipo yoyote yale WATAMPA MWANAUME ZILE HELA ALIPE...!
wengine tunao hadi maeneo yetu ya kazi wamewapa waume zao hadhi ya kuwa ma-signatory JUST TO ERADICATE THAT INFIRIORITY COMPLEX YA WANAUME!..wanadefend ndoa zao
wengine tunao humu humu jf ''they have exhaused their cash just to defend marriage zao''
kinachosumbua wanaume wengi ni ile INFERIORITY COMPLEX...!
time for changes now!
i can't go for the journals wakati naona kinachoendelea na i can challange those journals of yours
JS wengi watakuogopa lkn atatokea tu 'jasiri' akupende Kama ulivyo na mali mali zako. Na atakuendesha na kuwa kichwa ya familia bila ya kuudhiwa na Mali zako
kaza buti mwaya..... Jijenge usisubiri kuolewa
Waswahili wanasema kwenye wabaya wako na mwema hakosi!
Inaweza ikakuchukua muda mrefu zaidi ya wengine kupata mwenza but no doubt utapata tu
Sasa chukulia mfano mtu tayari Ana pesa yake, akazi flush ****** ili apate mume au?!
Komaa nao dada, unaweza usiitafute pesa na ukakosa mume vile vile!
Asprin bwana! Mbona mnata kumnyanyapaa mwanamke!
Hivi asisome mpaka uwezo wake utakapomfikisha kwa kuhofia kukosa mume ?
Hivi hata Kama ana uwezo wa kutafuta pesa asiitafute kisa mume?
Tukubali ukweli kwamba wanaume wengi wana mtazamo kama alioutoa asprin lkn haimaanishi kuwa hawapo kabisa wanaopinga mtazamo huo.
Mke akiwa na pesa raha...... Hakusumbui sumbui kwa pesa za saloon au za kuwapa jamaa zake.....hamuoni hapo kuwa mshapunhuziwa mzigo?
Inabidi nimuunge mkono asprin kwa jambo moja though.........
Mwanamke ukiwa na pesa nyingi sana jaribu kutafuta mtu mwenye nazo pia manake akiwa hana kabisa nnaweza kukwazana.
Mwanamme kujisikia inferior kwa mkewe inaweza kutoa changamoto kwa ndoa.
Nafikiri suala utumiaji wa pesa na definition ya hii kitu inaweza pia kuweka doa
pata picha dada wewe kununua pea ya viatu kwa shilingi laki tatu ni kawaida wakati mwenzio ndo mshahara wake wa mwezi! Atashindwa kukuelewa
jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)
kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo
ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study
ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?
ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1
i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals
kama ushahidi wa journals za international huutaki, usingezungumzia suala la sayansi.....
ukweli utabaki vile vile kama ulivyothibitishwa na wazungu male prefer wanawake wenye Social and Economical Satus ya chini kuliko wao...........
The guy is playing with your mind G.rudi post 272 nimekufafanulia kwa faida yako vipi umekubaliana na journals zilizoainishwa hapa ( hii ni baada ya wewe kuomba ushahidi wa kisayansi) ...........
but i guess Asprin was right hukuzisoma alisema kwa sababu gani vile? hazina integresheni wala difrenshiesheni ....
hii Mada bado inaendelea tu?
JS anything ulichopata so far?
Thanks for asking that
Well, nimepata mengi sana ila i can say this: mimi kama kuzisaka naendelea kuzisaka kujiendeleza najiendeleza kwa kwenda mbele hakuna kurudi nyuma. kwa sababu naamini yupo mtu hata kama ni wa level gani nitampenda na atanipenda na tutakuwa kitu kimoja. si lazima nipate mtu aliye level sawa na mimi no way. ile kwamba kutakuwa na manyanyaso na madharau ni hulka tu ya mtu sasa kama sina dharau ndo nianze kudharau kwa sababu ya mali/pesa? huwezi jua leo zipo kesho hazipo and beleive me i have seen ladies who are quite well off than their partners and their lives are great na nimeishi nao.
Its high time hii notion waliyo nayo wanaume especially wa Kiafrika ibadilike ile sense ya kudominate everything imepitwa na wakati. na wale wanaotaka kuhit and run kama Fidel ukirejea posts zake kule mwanzoni they dont worth even a decimal point of a lady's time. watu kama hao wanajulikana kwa sababu anakuwa hayuko genuine in his feelings ziko elements tu zitamfanya ajulikane kuwa huyu hana lolote.
Kama kazi ya mwanaume inamlipa pesa ndogo that rich woman married to him should respect that. there is no question about that. na kama mke anarespect basi mume naye awe happy tu coz in the end what matters is what they share deeply inside their hearts kilichowafanya waoane.
kama mtu yuko ready kutangaza nia kwangu just go for it bila any doubts. muache kuwadiscourage wenzenu.
muwe na jioni njema sijui kiwanja cha wapi leo naenda kutia timu saa hizi kujipooza koo
Swali kidogo la kizushi, unaweza kuelezea kidogo mpaka sasa unamiliki nini kama Mwanamke, maana tunaweza tukakuogopa kumbe ndio unayefaa
Wandugu za leo,
Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu