Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
:love:Kijana binti kujijenga si kigezo cha yeye asiolewe! kama vijana wote wangalipata wazo kama hili basi mabinti wasingalifanya kazi kabisa na wakae tu kusubiri kuolewa la wapate mali na wasiolewe! kwa maoni yangu binti anapaswa ajijenge na kijana naye ajijenge pia! mali pesa majumba nk. ni vitu vya kupita na vinatafutika! lakini moyo wa upendo wa kweli kama haupo haijalishi hata kama binti ni millionea au ni masikini kupita, ndoa itakuwa NI mateso!
kitu muhimu ni upendo wa kweli na sio uzuri wala mali, japo na hivi pia vina mchango wake kwa sehemu!
:nod:upendo huvumilia,hufariji,hupongeza,hauhesabu mabaya, haubagui, nk! HAKUNA KITU MUHIMU KATIKA NDOA KAMA UPENDO WA KWELI! :help:na hakuna mwenye kipimo cha upendo wa kweli isipokuwa YEYE aliye na upendo wa kweli! NAYE NI MUNGU WETU WA MBINGUNI!:help:

Msome tena Asprin
 
[/COLOR]

hapo akitaka kufanyiwa hivyo atakuwa amejitakia, lakini wanaojua kusaka faranga kama yeye yapo na tuseme wanatafutana lakini ni kwamba hawajapatana tu sio kusema itakuwa ngumu kwake kupata au vipi kupata atapata tu....
We hiki kiburi cha kutoa garantii unakitoa wapi??? Yaani utadhani una kiwanda cha waume bana
 
hili lyfe halieleweki kabisa...mwanamke ukiwa huna utaambiwa msumbufu/una omba sana, ukijua kuzisaka napo shida, najua kama JS angekuwa yupo ndani tayari ndio akapata kazi ya maana kuliko mume watu wangesema mengine lakini kwasasa wanasema tofauti...bwana weee JS jiwekeze, jenga nyumba hata 50 kama uwezo unao, fanya yote yawezekanayo utapata tu wa level yako...
Mi nadhani ukiwasoma vizuri Gaijin na Asprin utagundua kwamba mnazungumza lugha moja. Jaribu tena....trust me on that one.
 
mkuu,
as for me NOT SATISFACTORY....!
kwanini....!kwasababu i have seen it happening to the people i live with!mdogo wangu(causin sister) ni very bright na pia she was in the TOP FIVE STUDENTS wa tz form six ya 2005.amesoma compyuter engineering kwa mukandara hapo...!she is married to jamaa ambae ni mwalimu tena wale wa CRUSH PROGRAMME!....three yrs now,two kids!!...THEY ARE REALLY HAPPY SO FAR!

hata hivyo mkuuu dc(i need a scientific derivation)
Hapa mzee unaniangusha kabisaaaa. Yaani gr8 thinker unatoa mfano wa ndoa ya aka 3.
 
Scientific proof mpaka kwenye ndoa? Dah! wahandisi bana!

Three years? You just give it time. Miaka mitatu mbado wanalala huku wamekumbatiana. Subiri watakapozoeana kisawa sawa na fedha kushika nafasi yake. Hapo pia nazungumzia uzoefu, sihitaji kuulizwea swali
Angalia hii kaka mkubwa.

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Da Womanizer (Today)
 
mambo ya hela sijui nini NI VERY IMMATERIAL when it comes to true love!

tatizo ni kwamba wanaume tuna ile notion ya DOMINANCE kwenye ndoa zetu ndo maana ''we would like to control kila kitu FINANCIALLY''.

mimi napingana na hizo ideas kwasababu hii ni dunia nyingine kabisa!

maanake sasa watoto wa wakubwa wangekuwa hawaolewi.....!kwamba mtoto wa clinton kaolewa na mtoto wa BILIGATES?ABRAMOVICH?AU KAOLEWA NA MTOTO WA SHEIKH MAKTHOOM WA DUBAI?
Exactly!!!!!!!
 
bwana mkubwa...!
mi bado naisimamia pointi yangu ya ''MAGAZETI YA SHOGONGO'' kwasababu za msingi kabisa kwamba wapo wanaoishi hivyo (mke kuzidi kipato),na maisha yanaenda.hizo theories nyingine ni THINKING ATTITUDE OF MEN'S MIND..!KWAMBA THEY LIKE TO DOMINATE...!

na kuna wanawake ambao wameshausoma huo udhaifu wanachokifanya ni kwamba kama wanataka kufanya malipo yoyote yale WATAMPA MWANAUME ZILE HELA ALIPE...!

wengine tunao hadi maeneo yetu ya kazi wamewapa waume zao hadhi ya kuwa ma-signatory JUST TO ERADICATE THAT INFIRIORITY COMPLEX YA WANAUME!..wanadefend ndoa zao

wengine tunao humu humu jf ''they have exhaused their cash just to defend marriage zao''

kinachosumbua wanaume wengi ni ile INFERIORITY COMPLEX...!

time for changes now!

i can't go for the journals wakati naona kinachoendelea na i can challange those journals of yours
Kumbe tatizo unalijua ila ubishi tu.............
 
Teamo leo siyo mzima. Amekuwa kama wale wahubiri wa barabarani pale mnazi mmoja. Anazunguka round about hadi anapata kizungu zungu. Hoja zimemwishia hadi anafanya kuandika andika tu. Baada ya kumwagiwa journals mshikaji ameanza kuchemka si kawaida.

Ananiuliza kama ninaamini journals wakati anajua kuwa hizo ndiyo msosi wangu wa kila siku. Lakini tumsamehe, angekuwa kwenye huo uwanja wa utafiti, angejua ni jinsi gani hizi journal zinaandaliwa.

Hata hivyo kama anakataa matokeo yaliyopatikana kwa wazungu anao uhuru wa kufanya study yake hapa bongo ili akishapata ugunduzi mpya wa ki-sociology aingie kwenye Guiness Book of Records au anaweza kuibika na Nobel prize.
 
JS wengi watakuogopa lkn atatokea tu 'jasiri' akupende Kama ulivyo na mali mali zako. Na atakuendesha na kuwa kichwa ya familia bila ya kuudhiwa na Mali zako

kaza buti mwaya..... Jijenge usisubiri kuolewa

Waswahili wanasema kwenye wabaya wako na mwema hakosi!

Inaweza ikakuchukua muda mrefu zaidi ya wengine kupata mwenza but no doubt utapata tu

Sasa chukulia mfano mtu tayari Ana pesa yake, akazi flush ****** ili apate mume au?!

Komaa nao dada, unaweza usiitafute pesa na ukakosa mume vile vile!

Asprin bwana! Mbona mnata kumnyanyapaa mwanamke!

Hivi asisome mpaka uwezo wake utakapomfikisha kwa kuhofia kukosa mume ?

Hivi hata Kama ana uwezo wa kutafuta pesa asiitafute kisa mume?

Tukubali ukweli kwamba wanaume wengi wana mtazamo kama alioutoa asprin lkn haimaanishi kuwa hawapo kabisa wanaopinga mtazamo huo.

Mke akiwa na pesa raha...... Hakusumbui sumbui kwa pesa za saloon au za kuwapa jamaa zake.....hamuoni hapo kuwa mshapunhuziwa mzigo?

Inabidi nimuunge mkono asprin kwa jambo moja though.........

Mwanamke ukiwa na pesa nyingi sana jaribu kutafuta mtu mwenye nazo pia manake akiwa hana kabisa nnaweza kukwazana.

Mwanamme kujisikia inferior kwa mkewe inaweza kutoa changamoto kwa ndoa.

Nafikiri suala utumiaji wa pesa na definition ya hii kitu inaweza pia kuweka doa

pata picha dada wewe kununua pea ya viatu kwa shilingi laki tatu ni kawaida wakati mwenzio ndo mshahara wake wa mwezi! Atashindwa kukuelewa

jamani hata wanaume huwa wananun! (off topic............nisije kupindisha mada husika)


kwa kukusaidia tu Teamo ..........ushahidi wa kisayansi upo

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Mate selection criteria : : A pilot study

ScienceDirect - Journal of Experimental Social Psychology : What do men and women want in a partner? Are educated partners always more desirable?

ScienceDirect - Ethology and Sociobiology : Gender differences in mate selection criteria: Sociobiological or socioeconomic explanation?*1

i hope uko katika position ya kuweza kufungua na kusoma hizo papers zilizochapishwa kwenye international journals

kama ushahidi wa journals za international huutaki, usingezungumzia suala la sayansi.....


ukweli utabaki vile vile kama ulivyothibitishwa na wazungu male prefer wanawake wenye Social and Economical Satus ya chini kuliko wao...........


nimeona bora tu nifanye summary kwa faida ya wote 😀
 
Hivi bado tunaendelea hapa JS...mwaya ukikosa mchumba tutafunga na kuomba mungu atakupa mme mwema .
 
rudi post 272 nimekufafanulia kwa faida yako vipi umekubaliana na journals zilizoainishwa hapa ( hii ni baada ya wewe kuomba ushahidi wa kisayansi) ...........

but i guess Asprin was right hukuzisoma alisema kwa sababu gani vile? hazina integresheni wala difrenshiesheni ....
The guy is playing with your mind G.
 
hii Mada bado inaendelea tu?

JS anything ulichopata so far?
 
hii Mada bado inaendelea tu?

JS anything ulichopata so far?

Thanks for asking that

Well, nimepata mengi sana ila i can say this: mimi kama kuzisaka naendelea kuzisaka kujiendeleza najiendeleza kwa kwenda mbele hakuna kurudi nyuma. kwa sababu naamini yupo mtu hata kama ni wa level gani nitampenda na atanipenda na tutakuwa kitu kimoja. si lazima nipate mtu aliye level sawa na mimi no way. ile kwamba kutakuwa na manyanyaso na madharau ni hulka tu ya mtu sasa kama sina dharau ndo nianze kudharau kwa sababu ya mali/pesa? huwezi jua leo zipo kesho hazipo and beleive me i have seen ladies who are quite well off than their partners and their lives are great na nimeishi nao.

Its high time hii notion waliyo nayo wanaume especially wa Kiafrika ibadilike ile sense ya kudominate everything imepitwa na wakati. na wale wanaotaka kuhit and run kama Fidel ukirejea posts zake kule mwanzoni they dont worth even a decimal point of a lady's time. watu kama hao wanajulikana kwa sababu anakuwa hayuko genuine in his feelings ziko elements tu zitamfanya ajulikane kuwa huyu hana lolote.

Kama kazi ya mwanaume inamlipa pesa ndogo that rich woman married to him should respect that. there is no question about that. na kama mke anarespect basi mume naye awe happy tu coz in the end what matters is what they share deeply inside their hearts kilichowafanya waoane.

kama mtu yuko ready kutangaza nia kwangu just go for it bila any doubts. muache kuwadiscourage wenzenu.

muwe na jioni njema sijui kiwanja cha wapi leo naenda kutia timu saa hizi kujipooza koo
 
Thanks for asking that

Well, nimepata mengi sana ila i can say this: mimi kama kuzisaka naendelea kuzisaka kujiendeleza najiendeleza kwa kwenda mbele hakuna kurudi nyuma. kwa sababu naamini yupo mtu hata kama ni wa level gani nitampenda na atanipenda na tutakuwa kitu kimoja. si lazima nipate mtu aliye level sawa na mimi no way. ile kwamba kutakuwa na manyanyaso na madharau ni hulka tu ya mtu sasa kama sina dharau ndo nianze kudharau kwa sababu ya mali/pesa? huwezi jua leo zipo kesho hazipo and beleive me i have seen ladies who are quite well off than their partners and their lives are great na nimeishi nao.

Its high time hii notion waliyo nayo wanaume especially wa Kiafrika ibadilike ile sense ya kudominate everything imepitwa na wakati. na wale wanaotaka kuhit and run kama Fidel ukirejea posts zake kule mwanzoni they dont worth even a decimal point of a lady's time. watu kama hao wanajulikana kwa sababu anakuwa hayuko genuine in his feelings ziko elements tu zitamfanya ajulikane kuwa huyu hana lolote.

Kama kazi ya mwanaume inamlipa pesa ndogo that rich woman married to him should respect that. there is no question about that. na kama mke anarespect basi mume naye awe happy tu coz in the end what matters is what they share deeply inside their hearts kilichowafanya waoane.

kama mtu yuko ready kutangaza nia kwangu just go for it bila any doubts. muache kuwadiscourage wenzenu.

muwe na jioni njema sijui kiwanja cha wapi leo naenda kutia timu saa hizi kujipooza koo

Swali kidogo la kizushi, unaweza kuelezea kidogo mpaka sasa unamiliki nini kama Mwanamke, maana tunaweza tukakuogopa kumbe ndio unayefaa
 
Swali kidogo la kizushi, unaweza kuelezea kidogo mpaka sasa unamiliki nini kama Mwanamke, maana tunaweza tukakuogopa kumbe ndio unayefaa

Similiki chochote extra-ordinary ila najitegemea mwenyewe tu kutokana na kazi nayofanya. siwezi lala njaa angalau au kukosa mavazi au kukosa sehemu ya kuulaza mgongo.
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu

Hongera sana kwa kujiweza/kufanya maandalizi ya kujiweza. Ktk dunia ya leo ukisikiliza sana maneno ya watu kwenye maswala ya maana kama hayo utashindwa kujikwamua kabisa. Ongeza juhudi kwa kweli achana na hao wanaume wasiopenda maendeleo ktk familia, utapata tu wanaopenda maendeleo na watakaokuheshimu.
Kwa mtazamo wangu wanaume wengi wasiopenda wadada wanaojiweza huwa hawana sifa nzuri (Samahani kwa hilo) mara nyingi huwa ni wanyanyasaji wakubwa kwa wake zao hasa kwa kuwa wanawake wanawategemea kwa kila kitu.
Ni kweli kwamba wanaume huwa ndo watafutaji wa kipato ktk familia, ila ikitokea baba wa familia amefariki kama mama hana uwezo kwa kwelii maisha ya watoto huwa hatarini sana na wengi huhamia kijijini ambako hawajawahi hata kuishi (siombei hilo jamani).
 
Wanaume tupo tofauti sana...
Mimi binafsi wanawake wenye pesa ndio ambao huwa
wanani turn on big time.....
Why?
Kwa sababu nikimpata nitajua kuwa hakuvutiwa
na pesa kwangu
pili nitajiona mwanaume hasa kwa kumpata
mwanamke mwenye pesa ambae probably atakuwa anaringa
na wanaume wengine wanamuogopa....

But baadgi ya wanawake wenye pesa wana matatizo ya kupenda
ku control wanaume....so thats why...

Kwa ujumla awe na pesa asiwe na pesa mimi huwa
sitishiki.....
 
Back
Top Bottom