TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,298
Mkuu
Kuna mtoto nmemwambia nakupenda huko badoo na leo leo ananiomba pesa. Kwenye kudanga is real.
Kama huyuView attachment Inst-video-5.mp4Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
Nilimwambia atume picha ya muda ambao tunachati akaishia kujiuma uma. Kanitumia picha za mwaka jana.Anakupeleka chaka huyo sio wakuja, ukimtumia atakwambia amepanda gari mwisho wasiku anakwambia kaishiwa hela ya kula njian umuongezee wahivyo nikuwapotezea
Ungesema bidhaa gani huenda na hapa wadau wapo1.Pengine alijiunga kabla ya kuolewa nawe!
2.Sio kila aliyepo badoo ni muasherati kuna watu wanafanya zao biashara halali
3. Wengine wanachat zao tu na kutafuta marafiki.
Kwangu binafsi, ule ni mtandao ambao umenipatia wateja wa bidhaa zangu mbalimbali na marafiki wengi wa maana kuliko mtandao mwingine wowote.
Mbona hata humu watu wanakuwa tuSikuwahi kujua kama huu mtandao ni wa hivi, nilikuwa nikijua ni kama fb tu maana nako haya yapo. Nadhani mtoa mada hana uelewa wa kutosha, maana hata mitandao mingine watu wanaliwa tu kama ni malaya.
HiBasi uyo ni mpenzi wa wengine
Hadi mida hii kitufe kinasoma kijana mkuuhongera mkuu, kwahy umekuta marinda yapo kamili ?
Niambie
Mida ya wanga hiiBasi uyo ni mpenzi wa wengine
Nimeona kitufe cha kijani hapo niakjua bado kwko ni mchanaNiambie
Amna kawaida tu mpaka kucheMida ya wanga hii
Naona hata Kwako pia mida bado so?Nimeona kitufe cha kijani hapo niakjua bado kwko ni mchana
Duh.. mimi kuna kazi maalumu ndio nimemaliza mda huuAmna kawaida tu mpaka kuche
Nambie mkuuNilimwambia atume picha ya muda ambao tunachati akaishia kujiuma uma. Kanitumia picha za mwaka jana.
Yaani baada ya kumwambia nampenda muda huo huo nimeanzwa kuitwa baby.
Duh! Kazi ya kuvamia au .....😅😅Duh.. mimi kuna kazi maalumu ndio nimemaliza mda huu
Nilishagaliwa 10000, kupitia ule mtandao wa pep..... kumbe nimetumia shoga sikuamini mzeeAnakuliza huyo wale wakweli hawana swaga hizo nahawatumi picha za uchi ukiona anakupigia mala kajibinua mala anakupigia video call akiwa uchi anajinyonya na kujirambaramba kama kenge ujue huyo sio
Hapana si unajua mambo yanapokuwa sio lazima itafute mda wa kuongea na mfalme wa wafalme.... ndio nimetoka ofisini kwake niko chumbani kwanguNaona hata Kwako pia mida bado so?
Aisee Hongera mzee kwa kumukabizi mwokozi maisha yakoHapana si unajua mambo yanapokuwa sio lazima itafute mda wa kuongea na mfalme wa wafalme.... ndio nimetoka ofisini kwake niko chumbani kwangu