Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Ndio wajua leo watu tuna premium membership tunapewa mpaka offer za coin [emoji6][emoji6][emoji6] kila mdada unaye muona huko anajiuza kama wabisha, jaribu na jifanye upo siriaz kuna mashoga kibao, wasagaji, ukiomba no.tu unatumiwa ni dau lako....
 
IG kuna uchafu kibao watu wanajiuzaa...

kuna makaka poa kibao!!
tena wako waziwazi yaani ht haya hawana
ndio kua mtu anaitwa james delicious ni bonge la basha hapa mjini halafu nahis atakua na ngoma maana kuna thread nilipata hizi habar
 
Mimi natumia badoo ila sijafanikiwa kuona hayo yanayosemwa na mkuu hapa ndani kwani ni makubwa mno ila nakuhakikishia insta ni moto wa kuotea mbali.
ig kuna kaka anajiita kaka poa loohh
hayo anayoyaandikaa!!majanga matupu!
 
mashoga ni wengi sana mkuu, we pitia magroup ya facebook, nenda badoo, nenda instagram nenda mitandao mbalimbali ya kutafuta marafiki kama peperonity blogs kibao na vimitandao vya ajabu utayashighudia haya mambo
Kabisa mkuu yale yalikuwa siku za Lutu sasa yamejidhihirisha. Wazazi wenye watoto wa kiume sijui nyuzi zenu mtazificha wapi?
 
Back
Top Bottom