Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
hapo ndio kwenye shidahatari hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ndio kwenye shidahatari hapo
Niku pm? Au nikupe hapahapa?[emoji6] [emoji6]nipe jina lako niku follow
acha tuuhapo ndio kwenye shida
ni pm kwa usalama zaid. ila natumai wewe ni mwanamkeNiku pm? Au nikupe hapahapa?[emoji6] [emoji6]
Apigwe bani. Huyo mapemaNaona na wengine wameanza kupanua biashara yao, wameanza kuhamia jf.mmoja sijui anaitwaga ray...nan vile sijui.
Nikikumbuka jina lake ntakwambia.usishangae
hiyo badoo binamu usiniambie na huko upoNiko jf,whasap,IG na IMO tena ht miezi miwli sina!
IG kuna uchafu kibao watu wanajiuzaa...badi instagram nako.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] naona mpendwa ananikwepa sijui kwaniniMbona mnakwepana [emoji3]
Kajifunze tu kichina....kiswahili huwez tena!Sijaelewa unamaanisha nn mleta uzi
[emoji12] [emoji12] [emoji12]ni pm kwa usalama zaid. ila natumai wewe ni mwanamke
ndio kua mtu anaitwa james delicious ni bonge la basha hapa mjini halafu nahis atakua na ngoma maana kuna thread nilipata hizi habarIG kuna uchafu kibao watu wanajiuzaa...
kuna makaka poa kibao!!
tena wako waziwazi yaani ht haya hawana
ig kuna kaka anajiita kaka poa loohhMimi natumia badoo ila sijafanikiwa kuona hayo yanayosemwa na mkuu hapa ndani kwani ni makubwa mno ila nakuhakikishia insta ni moto wa kuotea mbali.
Mungu awarehemu maana ni shida sanaig kuna kaka anajiita kaka poa loohh
hayo anayoyaandikaa!!majanga matupu!
Shoga liliokubuhu lile tena la waziwazi!!!ndio kua mtu anaitwa james delicious ni bonge la basha hapa mjini halafu nahis atakua na ngoma maana kuna thread nilipata hizi habar
Kumbe unaongea unachokisikia kwa watu sicho kile unachokijua!kwani kujua kitu mpk uingie mm ata kuinstall app yake sijawai story zake kila siku zinaletwa humu
Kabisa mkuu yale yalikuwa siku za Lutu sasa yamejidhihirisha. Wazazi wenye watoto wa kiume sijui nyuzi zenu mtazificha wapi?mashoga ni wengi sana mkuu, we pitia magroup ya facebook, nenda badoo, nenda instagram nenda mitandao mbalimbali ya kutafuta marafiki kama peperonity blogs kibao na vimitandao vya ajabu utayashighudia haya mambo
Niko jf,whasap,IG na IMO tena ht miezi miwli sina!
daah!nkiwatazama wale nakosa hamu ya kuzaa dume!Mungu awarehemu maana ni shida sana