Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda alipitiliza mkuu alikua anaelekea Moro.[emoji23][emoji23]
 
Mwingine huyo...
1482907286198.png
 
Badoo nimesha piga sana mzigo kuanzia kwa majimama mpaka kwa vibinti, nishatapeliwa sana pia kuanzia hela ya nauli mpaka ya kusuka, nafurahi kukutana na "Wanabadoo" wenzangu katika kubadilishana ujuzi.
 
Hivi hawa TISIHARAHEI hawakuuona hii mtandao
 
ha ha haaaaa, ngoja nikamuonyeshe mwafulani, afu wanapenda kwenda saloon haoooo, utadhani wanalala kwenye karakana. Kuna jamaa yangu alinisumbua nimkope 50 elfu aongezee kumleta mwanadada kutoka Mwanza kuja Dar, zilimtoka 250,000/=

Mwisho wa hadithi simu ikawa haipatikani aliporudi kwenye mtandao picha zimebadilishwa na sura nyingine. Alibaki hoi.
OOOhhhh! nitumie 50 elfu niingie saloon, kesho naanza safari, nitumie 70 elfu za nauli, kuna mafuta yangu huwa natumia sehemu za joto nitumie 25 elfu kudadadeki. kuja kushtuka 250,000/=.
 
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Domo zege nini mkuu.. mademu wako wengi mtaani ukimbilia kwenye badoo
 
Huu mtandao mbona waliojiunga wengi no watu wenye shida kimaisha. Wasio na ajira,wasio na elimu, wenye kazi duni, mademu wengi wanafanya kazi saloon, bar hata zile za kishua lakini njaa ndio imetawala sana bin mizinga type hizo, akina mama was nyumbani wasio na shughuli, Kwa utafiti wangu in mademu choka mbaya hakuna mboga saba huko. Ni kwanini wadau
 
Back
Top Bottom