SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,073
Acha mdau,kama hayo mambo yapoKitu pina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mdau,kama hayo mambo yapoKitu pina
Mmm jamanLive bila chenga
MamboMmm jaman
Unajisumbua. Iyo 10 umempa mwanaume mwenzio.![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Poa dud washaMambo
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahaUnajisumbua. Iyo 10 umempa mwanaume mwenzio.
Naomba kukuzoea siku za mvua tafadhariPoa dud washa
Sio bure. Lazma unampa na tigo. Naskia huwa wanavibamia na wanawake wa bongo wamezoea mitango. So ili kubalance wanakula nyuma.Koh koh koh koh ko ptyuuu
***************************
Mzungu wangu hana shidaaa
Hata simuombi yeye mwenyewe anajua majukumu yake as a man
Msimu wa sikukuu huu zamaaaani muamala ushasomaa
He's a responsible man ever seen before
cc: Smart911
[emoji15] [emoji15] [emoji15] khaNaomba kukuzoea siku za mvua tafadhari
Mkuuu ni vizuri kujua lakini wenyewe sijui wameshakupa majibuIyo [HASHTAG]#Badoo[/HASHTAG] Ni nyimbo au
[emoji23][emoji23][emoji23]poleeJapo umenikombea visenti lakini bado nakupenda tu.![]()
Nimeupenda bure huu uziBora hata ningekuwa nakuhonga weye[emoji31] [emoji31]
Usije kunileta jf ukaja kunidai hahaha staki kabisaa ,ntapotea hadi jf
[emoji23][emoji23][emoji23]![]()
Moja ya mitego tunayokumbana nayo badoo[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
[emoji2][emoji23][emoji23]