Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
[emoji28][emoji38][emoji38]Nimeupenda bure huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji38][emoji38]Nimeupenda bure huu uzi
Uzi mzuri sana Malkia wetu wa Kiarabu[emoji28][emoji38][emoji38]
[emoji38]Mie nmeupenda sn mana kila nkisoma posts nacheka tuUzi mzuri sana Malkia wetu wa Kiarabu
Ongeza siku...[emoji38]Mie nmeupenda sn mana kila nkisoma posts nacheka tu
Ongeza siku...
Ila ndo hivyo tuomba maana walioko huko ni ndugu zetu/ wenza wetu/wachumba wetu
Lahaula![]()
Moja ya mitego tunayokumbana nayo badoo[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Mbona unaguna shem wakati kila kitu kipo wazi kabisa hajapindisha manenoMmm jaman
[emoji23] kulaaaaa wewe acha ushamba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unakula kisela tu
Tafadhali sana muheshimu huyoNaomba kukuzoea siku za mvua tafadhari
Nmeupenda Sana Huu uzi [imoji22] haswaaaTafadhali sana muheshimu huyo
Kwaiyo anaitwa zubeda?Huyo dada namfahamu vizuri sana anaitwa Zubeda alikuwa anaishi ilala kwa sasa amehamia mbagala nadhani, au kigamboni nimesahau, nataka kukwambia tu hapo umedanganywa kwa picha tu, huyu dada alikuwa anapenda kujaza mipicha yake mitandaoni, wenye kazi na picha wamechukua wamezifanyia kazi, ninayo mpaka namba yake na huwa naongea nae, mara nyingi sana napenda kuwaambia hawa dada zetu, kujaza mipicha yenu mitandaoni hamko salama, itakuja kutumika sivyo mtajuta
Umepitia wangapi kutoka badoo mkuu?Kumbe hata tuliowagonga ni wanaume eeeh, kiufupi ndipo Malaya walipoamia, sema picha nyingi ni fake wamechukua picha za watu fb ndio wameweka kuna mama ni MTU mzima yupo Moro nimekuta picha zake nikashtuka nikamchokoza nikizani ni yeye kumbe loo ni jitu linajiuza kupitia picha zake na Huyo mama ana watoto wakubwa ni washkaj nataman nikawaambie jinsi picha za mama yao zinavyotumika vibaya kujiuza, mbaya zaidi kila akipost picha mpya fb Malaya anacopy ana paste badoo so ukiwa mjinga unaweza zani ndie akija ni MTU mwingine kabisaa
Price zao zinafanana au wana regulatory authority.[emoji2] [emoji1] [emoji1]![]()
Hiyo 40 sijui wanaambiana [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wala quwwata ila billahil'adhiymLahaula
Mwarabu?Huyu mtoto anaitwa Zubeda a.k.a Zuu,kwao Temeke Mwembe Yanga,sasa hivi anaishi Ilala kuna jamaa kaelewa show kampangia upande.
Naguna na dunia shem ndo nafungua machoMbona unaguna shem wakati kila kitu kipo wazi kabisa hajapindisha maneno