kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
True kwa kweli. Kwa kuwa na Account huko BADOO ni ushahidi tosha kuwa hafaiMke mtarajiwa ana account BADOO? KEKUNDU KEKUNDU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True kwa kweli. Kwa kuwa na Account huko BADOO ni ushahidi tosha kuwa hafaiMke mtarajiwa ana account BADOO? KEKUNDU KEKUNDU.
Ulipompata huyo mwanamke ndiyo nawe ulipo kuna shida gani...huwa nashangaa sana mwanaume kumlalamikia mke wake anachelewa kurudi nyumbani ni mtu wa club saaa wewe umempata mwanamke club unategemea siku za usoni asiende club mkiwa kwenye ndoa? Ndege wenye rangi moja huruka pamojaWakuu
Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.
Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.
Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.
Waumin wa picha vuteni subra
Duh kwa vipimo hivi watu wataoa kweli?True kwa kweli. Kwa kuwa na Account huko BADOO ni ushahidi tosha kuwa hafai
Kikubwa mapenzi ya dhati mkuu haijalishi umekutana na mtu wapi.Eti eeh!!?..kwaiyo nisonge mbele mzee baba?
Mkuu sasa nan atawaowa kama kila mmoja atawakwepa?
MKE ANATOKA POPOTEWakuu
Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.
Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.
Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.
Waumin wa picha vuteni subra
CRDBUnataka awe na account wapi?
Hata yeye kakutoa mtandaoni> Je wewe unafaa kwa matumizi endelevu>?Wakuu
Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.
Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.
Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.
Waumin wa picha vuteni subra
KAZEZE KAZEZE!!!!!!!Mke mtarajiwa ana account BADOO? KEKUNDU KEKUNDU.
Una UFUKARA wa FIKRA kwa kiasi kikubwa mno! Mungu akusaidieUnaoa malaya????
Na sio kila mwanamke anafaa kuwa mkeMKE ANATOKA POPOTE
Hapana mkuu,huko profile zake zipo vizuri ila demu akijiunga Badoo yaani wewe weka 100% anauza.Mkuu unatuhakikishia huku kuna malaika au?
Hafai hata KIDOGO.True kwa kweli. Kwa kuwa na Account huko BADOO ni ushahidi tosha kuwa hafai
Huko KAZEZE za KUTOSHA maana ni FULL TIME JOB KULA VICHWA.KAZEZE KAZEZE!!!!!!!
KABISA MKUUNa sio kila mwanamke anafaa kuwa mke
Hahahahaaaaa 😂😂Mke mtarajiwa ana account BADOO? KEKUNDU KEKUNDU.
Hahahaaa😂CRDB