Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Kwani demu wa Badoo ana tofauti gani na demu wa WhatsApp, facebook na insta? Tuanzie hapo kwanza
 
Kumbe huu uzi bado upo? [emoji44][emoji44][emoji44]
f058fcc58375c5a9ad10137b6312ccf0.jpeg
 
Mi niliishawai kupelekwa na demu mpaka mbagala ndani ndani huko na demu wa badoo alafu kufika huko kazima simu da nili maindi nikafuta na app yenyewe nimechoma mafuta yangu bure na mark x inavyokunywa wese
Kifinga wewe ni mwanaume?
 
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra
Mapenzi yanapatikana kokote mkuu we jiridhishe kwa vigezo vyako akifaa weka ndani
 
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra
test zali dingilai halafu uje kutupa report
 
Siwezi kuoa mwanamke toka dating site[emoji16][emoji16][emoji16] hata nikimkuta bikira
 
Back
Top Bottom