Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Mtafute dada mkubwa soon...... sawa?yaan hapa ni kama unanisema mimi yaani acha tu
I think our love is on the last stage..............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute dada mkubwa soon...... sawa?yaan hapa ni kama unanisema mimi yaani acha tu
I think our love is on the last stage..............
Nimependa fact kwamba shem wangu Mtambuzi katumia sana neno INAWEZA, siyo guarantee.ngoja wenye ndoa changa waje kukubishia hapa lol
tabu ya ndoa changa ni kudhani unajua kila kitu na mumeo/mkeo ni malaika
na wengine wote vimeo lol
ngoja wenye ndoa changa waje kukubishia hapa lol
tabu ya ndoa changa ni kudhani unajua kila kitu na mumeo/mkeo ni malaika
na wengine wote vimeo lol
Usiombe mwanamke akuchoke, hapo ndiyo utaijua shubili ya mapenzi.
Usiombe mwanamke akayazoe maumivu kutokana na yale mabaya unayomtendea na kupelekea maumivu, kisha akamwaga chozi lake, pasipo kulithamini ukarudia tena makosa yale yale, utajuta kubarehe na kuingia katika dunia ya mapenzi.
Nimependa fact kwamba shem wangu Mtambuzi katumia sana neno INAWEZA, siyo guarantee.
Pamoja na kuwa na ndoa iliyokomaa, naweza bishana sana na shem wangu kwenye kipengele 2, na 3. hayo haya-apply kabisa kwangu. Namba 4 angeiandika kitofauti kidogo tu nayo ningekimbizana naye
Thank youUmeona eeh, sio guarantee hata kidogo.
Nimependa fact kwamba shem wangu Mtambuzi katumia sana neno INAWEZA, siyo guarantee.
Pamoja na kuwa na ndoa iliyokomaa, naweza bishana sana na shem wangu kwenye kipengele 2, na 3. hayo haya-apply kabisa kwangu. Namba 4 angeiandika kitofauti kidogo tu nayo ningekimbizana naye
Umeona eeh, sio guarantee hata kidogo.
Ikifika mwisho niambie ni replace faster
Ufafanuzi pliz. Uzoefu v/s Ubobevu...!
hahaha name miss chagga je
Usiombe mwanamke akuchoke, hapo ndiyo utaijua shubili ya mapenzi.
Usiombe mwanamke akayazoe maumivu kutokana na yale mabaya unayomtendea na kupelekea maumivu, kisha akamwaga chozi lake, pasipo kulithamini ukarudia tena makosa yale yale, utajuta kubarehe na kuingia katika dunia ya mapenzi.
Sidhan kama inawezekana.................
Naisubiri hiyo vacancy,likibuma tu ni-pm.
mtambuzi ni miss neddy pekee ndio anaweza kua muelewa.....
Umemuona huyo tu kwani sisi wengine sio waelewa
bestito wapata SMS zangu nijib please si unajua ile kitu kesho