Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano

Wa hivi mara nyingi mnakuwaga "Motivational speaker", kiuhalisia mwanamke hata akikununulia zawadi zawadi anategemea kitu baadae, ukitaka kuamini ufulie au ufukuzwe kazi ndo utashangaa hata zawadi zinafika mwisho. Wanaopewaga zawadi na mwanamke maisha yao yote ni watoto wa vigogo kama JK, Lowassa, etc ambao huwa hawaishiwi.., labda mwanaume azingue, huwezi sikia mke wa Ridhiwani au Freddy Lowassa kazingua kwasababu ana uhakika wa LIFETIME.
Uache ujuaji kijana, Wengine tunakula pepo na wanawake zetu na bado hatujafika level ya hao uliowataja.
 
Mkuu sema tu "mwanamke wangu hana mchango wowote kwenye mahusiano yetu".

Hasty generalization is a logical fallacy. Kwakuwa wakwako amekufanyia hivyo basi uki generalize kuwa wote ndio hufanya hivyo basi ujue unakosea sana.

Infact kuna wanaume ambao katika mahusiano wao wanachoweza ku offer ni sex tu. Hiyo ipo wazi, wenyewe wanajiita msingi kiuno, marioo.

Inategemea umekutana na mtu wa aina gani. Kuna wanaume vimeo na wanawake vichomi.

Lakini watu wazuri wapo pia. Stay calm usiwe na papara utamgundua mtu tu mapema.
Mkuu acha kuwatetea hawa supa women, ni kweli kuna wanawake wako vizuri sana binafsi sikatai ila majority wako hovyo....
 
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.

Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,

Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.

Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,

Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.

Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,

Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.

Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.

Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,

Mchango wake tena ni uleule uchi!!

Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."

Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Labda ni aina ya watu unaokutana nao au ni machaguzi yako.
Nakupa pole sana shemeji tena pole haswaaa.
 
Polee uliokutana nao ndo wamekupa huo uzoefu
 
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.

Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,

Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.

Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,

Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.

Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,

Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.

Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.

Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,

Mchango wake tena ni uleule uchi!!

Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."

Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Tukisema Tunaondoa Uke wa mwanamke, Je tunakubali na Kusadiki kile tunachosema hana mchango wowote ndani ya Mahusiano??

Tuondoe Ile Manhood kwa Mwanaume Je mwanaume atakuwa na cha Offer ktk jamii and Incoming Generation??
 
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.

Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,

Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.

Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,

Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.

Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,

Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.

Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.

Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,

Mchango wake tena ni uleule uchi!!

Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."

Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used [emoji28]
Kama hana mchango wowote unamtongoza wa nini si ukae na pesa zako, hicho akupacho ziambie pesa zikupe,

Mwanamke aliambiwa utazaa Kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho lake, tafuta pesa na walaji ndiyo hao hao wanawake, hata ukimpa dada yako naye ataenda kukapa kabwana kake huko weee zitafute tu Kwa bidii
 
kupitia kuchanua miguu ndo kulisababisha wewe kuwepo.

vipi kwa aliyekuzaa wewe tukisema na yeye ni Malaya pia, je itakuwa ni sawa?
Ndiyo katokea hapo hapo halafu anaona kitu cha hovyo, yeye hiyo sigara yake wakiiondoa atajiona mtu?
 
Back
Top Bottom