Umeongea vyemaWewe kama demu wako anakupa mbunye kama zawadi ni wewe wengine tunanunuliwa vitu vikubwa notworth to mention be wise unapochagua mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea vyemaWewe kama demu wako anakupa mbunye kama zawadi ni wewe wengine tunanunuliwa vitu vikubwa notworth to mention be wise unapochagua mwanamke
Uache ujuaji kijana, Wengine tunakula pepo na wanawake zetu na bado hatujafika level ya hao uliowataja.Wa hivi mara nyingi mnakuwaga "Motivational speaker", kiuhalisia mwanamke hata akikununulia zawadi zawadi anategemea kitu baadae, ukitaka kuamini ufulie au ufukuzwe kazi ndo utashangaa hata zawadi zinafika mwisho. Wanaopewaga zawadi na mwanamke maisha yao yote ni watoto wa vigogo kama JK, Lowassa, etc ambao huwa hawaishiwi.., labda mwanaume azingue, huwezi sikia mke wa Ridhiwani au Freddy Lowassa kazingua kwasababu ana uhakika wa LIFETIME.
Mkuu acha kuwatetea hawa supa women, ni kweli kuna wanawake wako vizuri sana binafsi sikatai ila majority wako hovyo....Mkuu sema tu "mwanamke wangu hana mchango wowote kwenye mahusiano yetu".
Hasty generalization is a logical fallacy. Kwakuwa wakwako amekufanyia hivyo basi uki generalize kuwa wote ndio hufanya hivyo basi ujue unakosea sana.
Infact kuna wanaume ambao katika mahusiano wao wanachoweza ku offer ni sex tu. Hiyo ipo wazi, wenyewe wanajiita msingi kiuno, marioo.
Inategemea umekutana na mtu wa aina gani. Kuna wanaume vimeo na wanawake vichomi.
Lakini watu wazuri wapo pia. Stay calm usiwe na papara utamgundua mtu tu mapema.
Duh inapendeza sana mnawatoa wapi hao mazeeInategemea una date na mwanamke gani....
Ingawa wanawake wanazingua ila kuna walio wema sana na wenye malengo.
Nishakaa benchi mwaka na nusu nikapauka. Yule dada alinitunza muda wote anakupa kila kitu mpaka hela ya k vant.....
So inategemea.
Labda ni aina ya watu unaokutana nao au ni machaguzi yako.Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.
Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,
Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.
Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,
Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.
Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.
Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,
Mchango wake tena ni uleule uchi!!
Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."
Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Wapo tele ni vile wengi tunataka mafanikio ya haraka.... Wanawake wema wapo na wabaya wapo kama ilivyo kwa sisi wanaume...Duh inapendeza sana mnawatoa wapi hao mazee
Kwani mimi ni huyo mwanamke wako??Tunazungumza mimi na wewe hapa kwa sasa
Tatizo ndivyo wengi walivyoLabda ni aina ya watu unaokutana nao au ni machaguzi yako.
Nakupa pole sana shemeji tena pole haswaaa.
Hapana my dear uchaguzi wako ww ndio huo.Tatizo ndivyo wengi walivyo
Swali tu una mchango gani kwa mumeo limekufanya upanick hivi!!Kwani mimi ni huyo mwanamke wako??
Modern women wengi wamekuwa chuma ulete na ombaomba na hili ni janga la kitaifaHapana my dear uchaguzi wako ww ndio huo.
Tukisema Tunaondoa Uke wa mwanamke, Je tunakubali na Kusadiki kile tunachosema hana mchango wowote ndani ya Mahusiano??Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.
Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,
Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.
Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,
Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.
Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.
Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,
Mchango wake tena ni uleule uchi!!
Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."
Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used 😅
Kama hana mchango wowote unamtongoza wa nini si ukae na pesa zako, hicho akupacho ziambie pesa zikupe,Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja na kukupa uchi.
Siku ya sikukuu ulimnunulia nguo mpya, wig, hela ya salon na vizawadi vya hapa na pale,
Kama kawaida zawadi yake kwako ni kuchanua mapaja na kukupa K.
Siku ya wapendanao ulimpea pesa, maua na dinner moja matata,
Tena kama kawaida yake zawadi ni ileile kukupea tupu yake.
Atakuomba pesa ya matumizi, vocha, gesi, king'amuzi n.k yeye atakupea mbususu kama asante.
Umemuoa amekua mke wako bado hana mchango wowote kwenye familia na ndoa,
Mchango wake tena ni uleule uchi!!
Siku ukimpiga chini utamsikia "hivi yote niliyokufanyia leo ndio unanitenda hivi? Ipo siku utanikumbuka."
Hivi malaya kama huyu ana mchango gani mpaka awe na nguvu ya kusema hivyo yaani kunipa uchi ndio yote aliyonifanyia eti nimkumbuke kisa mbususu used [emoji28]
Kaa mwenyewe jitimizie kila kila kituWengi wao ndio hao kausha damu. Mimi ombaomba kwangu hajawahi kuwa na nafasi
Ndiyo katokea hapo hapo halafu anaona kitu cha hovyo, yeye hiyo sigara yake wakiiondoa atajiona mtu?kupitia kuchanua miguu ndo kulisababisha wewe kuwepo.
vipi kwa aliyekuzaa wewe tukisema na yeye ni Malaya pia, je itakuwa ni sawa?