Yeye kuzungumzia wanawake kwa asilimia kubwa wapo hivyo hajasema woteWewe kama demu wako anakupa mbunye kama zawadi ni wewe wengine tunanunuliwa vitu vikubwa notworth to mention be wise unapochagua mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kuzungumzia wanawake kwa asilimia kubwa wapo hivyo hajasema woteWewe kama demu wako anakupa mbunye kama zawadi ni wewe wengine tunanunuliwa vitu vikubwa notworth to mention be wise unapochagua mwanamke
Umesema vyemaYeye kuzungumzia wanawake kwa asilimia kubwa wapo hivyo hajasema wote
Inashangaza sanaAfu wana kuja kutaka 50/50 yani wana maanisha papuchi yao ndo ipandishwe thamani kufidia iyo 50%
Unashangaa wakati ndio wengi waliopo wa hivyo. Wewe una msaada gani kwa mumeo?Wanawake wa hivyo mnawaokotoga wapi??
Msaada anaotoa mama yako kwa baba yako na mimi hivyo hivyo mkuuUnashangaa wakati ndio wengi waliopo wa hivyo. Wewe una msaada gani kwa mumeo?
Sure man. Wanawake wema wapo kukutana nao sasa ndio kipengele...mabwege hawaamini kama kuna wanawake wa aina hii. Ila hawapatikani kirahisi
Wadada wengi mkiulizwa hili swali huwa hamna jibu la maana. Kweli nimeamini ukiondoa K mwanamke hana mchango mwingine wowoteMsaada anaotoa mama yako kwa baba yako na mimi hivyo hivyo mkuu
Jibu liko wazi wewe mama yako ana mchango gani kwa mzee wako?? Au mwenzetu mtoto robbot??Wadada wengi mkiulizwa hili swali huwa hamna jibu la maana. Kweli nimeamini ukiondoa K mwanamke hana mchango mwingine wowote
Hivi ndio tunakuwa kwenye forces of nature humo. Mwanamke kimsingi anatakiwa abebe mimba na kulea at her own premise. Hivi ndiyo ilivyo asili ya wanyama. Huwezi kuta simba dume anawinda wakati majike yapo.all 0lPote upo sahihi Ila hapo tu yaani nimpe mwanamke wangu mimba baadaye akawinde akiwa na mimba ama akiwa na kichanga ndipo aje ale apate maziwa mtt wangu anyonye. I feel proud nikawinde porini nimletee food ale. Labda kama wewe your inner instincts and gut feelings zinakuambia ivyo just do according to your inner voice
Ila swali lilikuhusu weweJibu liko wazi wewe mama yako ana mchango gani kwa mzee wako?? Au mwenzetu mtoto robbot??
Hapana ni la wanawake wote, ndiomana nikakauliza hivyoIla swali lilikuhusu wewe
Wengi wanaume wanaoana na wanawake ama wanaolewa. Ila Hawaoi. Kama umeoa corporate lady kubali consequences zake the same applied to mama wa nyumbani.Hivi ndio tunakuwa kwenye forces of nature humo. Mwanamke kimsingi anatakiwa abebe mimba na kulea at her own premise. Hivi ndiyo ilivyo asili ya wanyama. Huwezi kuta simba dume anawinda wakati majike yapo.
Ila tukifata utashi wa kibinadamu ndio tukaletewa kitu kinaitwa family. Hapa kunakuwa na baba na mama ambapo mama anazaaa watoto na baba anatunza mama na watoto wake. Hii ndio mantiki ya familia kiasili na mama anahusika na shughuli za kulea watoto nyumbani tu pamoja na kumcomfort baba tu.
Wengi wanaume wanaoana na wanawake ama wanaolewa. Ila Hawaoi. Kama umeoa corporate lady kubali consequences zake the same applied to mama wa nyumbani.
Mana corporate lady naye anakusadia kuwinda na kuleta mnyama nyumbani. Anaweza akatoka ghafula akiambiwa Kuna nyumbu wameonekana wamezagaa mahala chapu anatoka hata bila ya kukuaga akirudi na paja la nyumbu na wewe kubali kuwasha Moto ulikate uliweke jikoni. Do according to your own instincts,gut feelings or inner voice.
Mwingine anavimba anachukua part ya majukumu yako,Sasa utambabaisha niniUkiwa less of a man maanake hutaweza kumsimamia mkeo. Utakubali akuburuze. Mi bibie anaenda job ila akirudi lazma apike na kufanya mishe zote kama mke. Siwezi kukata nyanya au kukuna naxi yeye akiwepo na hilo analijua.😂
Tunazungumza mimi na wewe hapa kwa sasaHapana ni la wanawake wote, ndiomana nikakauliza hivyo
Sio wanyama wote au ndege wanahudumia majike. Jogoo kazi yake kusambaza mbegu , na simba vilevile. Nao wanatofautiana.It's easy weeds to germinate than wheat.
Hii ya kulalamika imetokea tu kwa binadamu ama hata swala dume ,jogoo analalamika pia kuwa majike hawamsaidii kitu. Hii Ni nature mwanamke ameumbwa kupokea ndio Mana hata umbile lake la uke linapokea uuuume ndani,sperms linaingia yai tunaumbika.
Tokea kuumbwa kwa dunia mwanamke alitoa sex na watoto Kama wanahitajika. Hii iweke kichwani mwako hata kwa kuichomelea na Moto wa umeme wa nyuklia.
Jogoo mabawa na kucha zake Ni kubwa mno kuliko mtetea.
Mwanaume mabega na kifua Ni kipana na mwanamke kiuno Ni kipana pia. Labda kama mnataka mbadlishe.
Kiasilia mwanamke anatakiwa alee watt cheki hata kuku anavyolea vifaranga.
Nimesema kiasilia ama nature Ila unaweza ukaenda against nature na utapata sababu za kukusapotii.
Peleka naseri watt waongee English na walelewe na hausegeli waanze kulishwa uchi wa hausegeli.
Mungu alituweka duniani akasema tuzaliane Sasa wewe pingana na nature labda unaweza ukaumba dunia yako.
Swala dume ana kambi ya majike 30 yeye anatafuta malisho wanakula huku yeye akigonga ke 30. Jogoo Kuna muda unaweza unadhani kuwa Hali ama hapati njaa ,Yuko bize kumlisha jike ili amkule.
Ila Naona hajawahi lalamika