Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Semeni yote ila nimesema siachi ng'o alisemwa Yesu sembuse Mimi
WADAU NITAMFARIJI TU MARRIANAH MSIMUHUKUMU SANA SABABU ANA STRESS ZA MAPENZI NDIYOMAANA ANAPAMBANA PEKEYAKE HAPA JF NA WANAUME WOTE(JESHI LA MTU MMOJA) [emoji851]
 
Masikini ya Mungu hivi ningekuruhusu unijue mimi ni mtu aina gani si ungeaibika wewe? Nimegundua wanaume wengi humu huwa mnaongea kauli kama hizo ili kupunguza tu stress na mnazitumia kama defense mechanism ya kukwepa ukweli maana nikijiangalia nilivyo na mnavyoniita humu eti kwa sababu tu ya hoja zangu nawachukulia ni watu ambao hampendi tu kuambiwa ukweli
Maana haiwezekani wanawake tunaowaambia ukweli eti ndiyo malaya ila wanaowaunga mkono hadi kwenye hoja za kipumbavu ndiyo wife material ila nikwambie tu ndugu yangu hayo maneno yenu hayaniumi wala hayanikatishi tamaa kwa sababu siyo ya ukweli na hayabadilishi ukweli and by the way hata mwanaume mwenye wanawake wengi naye ni malaya vile vile hawana tofauti
Na hata mseme nini siachi kuwakosoa ng'oo niiteni majina yote ila hayanibadilishi jinsi nilivyo yaani eti unahusianisha bikira ya mwanamke na mafanikio ya mwanaume wakati wapo wanaume wengi tu waliooa wanawake wasio mabikira na wamefanikiwa na ndoa zao zimedumu
Nilikwambia nipe andiko linalothibitisha hayo unayosema unabaki unambwelambwela tu sasa kama hayo unayoandika siyo pumba ni nini? Ni wazi unaandika kwa sababu tu ya chuki zako dhidi ya wanawake wasio mabikira sijui walikufanya nini masikini ya Mungu pole! Siku nyingine uwe unaongeaga uhalisia uliopo dunia hii basi siyo unaongea kwa mihemko tu unaongea vitu ambavyo kwenye dunia hii havipo stop living in a fantasy world, nonsense.
Dada yangu huna kaz za kufanya si eti!!??
 
Vizuri sana umeshajiuliza ni wanawake wangapi wanahangaika kwa waganga? Umeshasikia wanawake wa mataifa mengine hasa yale makubwa yaliyoendelea wanahangaika kwa waganga kwa sababu ya kutaka wanaume kuwaoa? Kwanini wengi wao ni wanawake wa kiafrika tu tena hasa wa kibongo? Ni kwa sababu wanawake wengi wa kibongo wamekubali kudanganywa kuwa mwanamke kuolewa ni heshima na stara

Haijalishi ana ndoa ya aina gani na akiolewa hata mumewe amfanye6 nini hatakiwi kuachika maana jamii itamuona malaya na atapata aibu kubwa sana hivyo anatakiwa aolewe mapema kabla hajafika miaka 30 na asiachike kabisa hata apigwe ang'olewe meno yote au asalitiwe na aletewe watoto wanajaza uwanja wa mpira hatakiwi kuachika

Sasa kwa wanawake wapumbavu ambao wamekubali kusikiliza mitazamo ya kipumbavu ya jamii wanaodhani kuwa ndoa inapangwa na wanadamu wataacha kwenda kwa waganga kweli? Halafu naomba kwenye haya maswala yanayohusu dunia nzima usitolee mifano ya wanawake wa kiafrika tu

Maana wao hawawakilishi dunia nzima na mimi ndiyo maana nasema baadhi ya waafrika ni wapumbavu ndiyo maana mababu zetu na mabibi zetu walitawaliwa kwa sababu ya upumbavu wao na ninasema wazungu waendelee kutudharau tu na wakitaka kuja kututawala tena kama zamani waje tu wanakaribishwa yaani eti wanaume wa kiafrika na ninyi mnaongea?


Mkuu hakuna mwanamke hapa duniani asiyetaka ndoa.

Mwaka 2015 Nilikuwa Norway. Hakuna tofauti kubwa baina ya Wanawake wa Norway na Maeneo mengine Duniani.

Labda kama wewe hujatembea zaidi ya kuona kwenye luninga. Hakuna Nchi isiyo na uchawi sema uchawi unatofautiana Namna ya unavyofanywa.

Pia wanawake unaowasema wa nchi zilizoendelea pia wanambinu zao za kutafuta wanaume wakuwaoa. Pia wao hupigana kwa ajili ya ndoa.

Unaongea mambo usiyoyajua. Kama hujatembea hata kuingia mitandaoni au kusikiliza habari pia unashindwa.

Ati nchi zilizoendelea hakuna Wanawake wanaoenda kwa Waganga. Ni bora ungekaa kimya
 
Semeni yote ila nimesema siachi ng'o alisemwa Yesu sembuse Mimi


Kumbe Yesu naye alisemwa kwa kutolewa Bikra na kufanya Umalaya kama Mbwa. Sikuwa najua hii.

Unajifananisha na Yesu kwa Ukahaba. Kweli siku za mwisho ndizo hizi
 
Wewe ndiyo unakereka tena unateseka maana unatamani kweli mimi ningekuwa malaya ili hizo shutuma zako zipate validation kumbe umeshakubali kuwa hadi wanaume nao wanakosea na wanastahili kurekebishwa sasa mwanzo ulivyokuwa unawatetea je? Ukweli ndiyo huo mwanaume asiye bikira na mwanamke asiye bikira wote ni malaya

Maana maandiko yamekataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote na huo ndiyo ukweli hayo mengine unalazimisha tu yawepo na kama kweli ungekuwa una nia nzuri ungekuwakosoa tu hao wanawake kwa kuongea ukweli ila siyo kwa kuzusha hadi maneno mengine ya uongo lazima upingwe tu

Nnaonyesha una chuki sana na wanawake wasio mabikira kuna kitu walikufanya siyo bure na hauna namna nyingine ya kupooza machungu zaidi ya kuwaita tu malaya mara makahaba sasa si unaye huyo bikira wako hao wengine unawawazia wa nini?

Mwambie huyo bikira wako kipenzi akutulize na akupoze hayo machungu masikini usiwaze sana yote maisha tu eti unajifanya unawachukia wakati hata wewe unatembea nao ungekuwa unawachukia kweli si ungekuwa unawapitia mbali hata kuwasalimia hautaki? Uncultured Swine!
Nani akujue ili apate nini. Aliyekujua hutosheki naye unataka na sisi humu.

Nilikupa maandiko kuhusu aliyetolewa Bikra kabla ya ndoa ni kahaba. Ukakaa kimya.

Ulitaka nikupe kila utakapo. Nilivyokupa mara moja inatosha.

Ubaya ni ubaya hata aufanye mwanaume.

Mimi nimejikita kusema umalaya wa Wanawake.

Wewe jikite kusema ubaya wa Wanaume. Hakuna atakaye kukataza.

Ila hakuna atakayenizuia kuwatusi na kuwatolea maneno ya karaha Wanawake Malaya waliotolewa bikra kiholela.

Nikakupa andiko kuwa Biblia imeruhusu kijana kumuacha Mwanamke ambaye hana bikra naona ukawa kimya.

Mkuu, Usitegemee ufanye uhuni wako kama Mbwa alafu watu wote wakae kimya.

Tutasema na tutasema. Samahani najua unakereka.
 
Jamaa yangu kachomoa beteri hapa!! Sijui itakuwaje?
Kuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"

Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,

Ndo nikagundua haya[emoji116][emoji116]

[emoji117]Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.

[emoji117]Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.

[emoji117]Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.

[emoji117]Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.

[emoji117]Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.

[emoji117]Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.

Volume iko Sawa huko,,,,??
 
Wewe ndiyo unakereka tena unateseka maana unatamani kweli mimi ningekuwa malaya ili hizo shutuma zako zipate validation kumbe umeshakubali kuwa hadi wanaume nao wanakosea na wanastahili kurekebishwa sasa mwanzo ulivyokuwa unawatetea je? Ukweli ndiyo huo mwanaume asiye bikira na mwanamke asiye bikira wote ni malaya

Maana maandiko yamekataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote na huo ndiyo ukweli hayo mengine unalazimisha tu yawepo na kama kweli ungekuwa una nia nzuri ungekuwakosoa tu hao wanawake kwa kuongea ukweli ila siyo kwa kuzusha hadi maneno mengine ya uongo lazima upingwe tu

Nnaonyesha una chuki sana na wanawake wasio mabikira kuna kitu walikufanya siyo bure na hauna namna nyingine ya kupooza machungu zaidi ya kuwaita tu malaya mara makahaba sasa si unaye huyo bikira wako hao wengine unawawazia wa nini?

Mwambie huyo bikira wako kipenzi akutulize na akupoze hayo machungu masikini usiwaze sana yote maisha tu eti unajifanya unawachukia wakati hata wewe unatembea nao ungekuwa unawachukia kweli si ungekuwa unawapitia mbali hata kuwasalimia hautaki? Uncultured Swine!


Siwezi watetea Waovu hata siku moja.

Mimi siwachukii ila nachukia mambo yao ya Kimmbwa mbwa.

Alafu kingine ni kuwa Mimi nilikuwa nashambulia wenye tabia Za mbwa kutiwa tiwa na kila dume. Wewe ndio ukajitokeza kama mtetezi kwa kuwalinganisha na Wanaume.

Kama uliolewa bikra basi uitwe Mama mbarikiwa kama Bikra maria. Lakini kama hukukutwa na bikra au hujaolewa na huna bikra basi wewe na mbwa tofauti ni mkia na manyoya tuu. Wewe ni malaya ikiwa ni hivyo.
 
Mkuu hakuna mwanamke hapa duniani asiyetaka ndoa.

Mwaka 2015 Nilikuwa Norway. Hakuna tofauti kubwa baina ya Wanawake wa Norway na Maeneo mengine Duniani.

Labda kama wewe hujatembea zaidi ya kuona kwenye luninga. Hakuna Nchi isiyo na uchawi sema uchawi unatofautiana Namna ya unavyofanywa.

Pia wanawake unaowasema wa nchi zilizoendelea pia wanambinu zao za kutafuta wanaume wakuwaoa. Pia wao hupigana kwa ajili ya ndoa.

Unaongea mambo usiyoyajua. Kama hujatembea hata kuingia mitandaoni au kusikiliza habari pia unashindwa.

Ati nchi zilizoendelea hakuna Wanawake wanaoenda kwa Waganga. Ni bora ungekaa kimya
Hivi naanzaje kuongelea mambo ya nchi za watu kama sijatembea huko? Ofcourse nina exposure ya maisha na ya baadhi ya nchi za nje lakini sijawahi kukutana na mitazamo ya ajabu kama ya wabongo eti mwanamke kuachika ni aibu hata mwanaume wake amfanye nini

Kule wanawake wanaotafuta ndoa kwa hali na mali wanafanya hivyo kwa sababu zao binafsi na siyo kwa sababu misukumo ajabu ya jamii halafu usilolijua ni sawa na usiku wa giza eti hakuna mwanamke asiyetaka ndoa bongo hii hii tu kuna wanawake wako radhi kuzaa na waume za watu wabaki single mothers walee watoto wao tu kuliko kuingia kwenye ndoa sembuse huko nje?

Kitu unachotakiwa kujua ni kuwa hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani duniani kila tabia lazima iwe na kinyume chake kwa jinsia hiyo hiyo achilia mbali kwa jinsia nyingine kama ambavyo wapo wanaume wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa vile vile wapo wanawake wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa mimi ndiyo maana huwa ninawashangaa pia watu wanaosema eti wanaume wote marijali duniani wanachepuka huwa ninawasikiliza tu

Maana najua hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani yaani kama ambavyo wapo wanawake wanaochepuka na wasiochepika vivyo hivyo wapo wanaume wanaochepuka na wasiochepuka sijui kwanini watu wanapenda kulazimisha mitazamo yao ndiyo iwe ukweli kuna mambo kweli yanahitaji kutumia utashi tu wa mtu ila kuna mambo mengine hayahitaji kutumia utashi ni either unajua au haujui na ni lazima tukubaliane na ukweli uliopo ambao tumeukuta na tutauacha na hatutaweza kuubadilisha
 
Nikuulize wewe uliyenizaa na unayenijua kuwa mimi ni malaya na kahaba
Kumbe Yesu naye alisemwa kwa kutolewa Bikra na kufanya Umalaya kama Mbwa. Sikuwa najua hii.

Unajifananisha na Yesu kwa Ukahaba. Kweli siku za mwisho ndizo hizi
 
Mimi sijakataa wewe kuwasema hao wanawake na hakuna sehemu niliyowatetea wanawake malaya au makahaba ila unachofanya wewe ni kuzidisha hadi kuongea uongo eti ili mwanaume afanikiwe ni lazima aoe mwanamke bikira una uhakika gani wanaume wote waliofanikiwa dunia hii walioa mabikira au unajuaje kuwa wanaume wote waliooa mabikira dunia hii wamefanikiwa?

Yaani mambo mengine unayoyaongea kuhusu wanawake mabikira yanafanya tuone kama vile haulengi kuwarekebisha bali unalenga kuwatukana tu na una chuki nao binafsi na ndiyo maana nikakuuliza mbona sioni hata wanaume wenzio wengi wakikuunga mkono na siyo kwamba hao wanaume labda wanatutetea sana sisi wanawake hapana ni hawa hawa tunaobishana nao humu humu kila siku

Ila naona huwa hawako upande wako kwa sababu nao wanaona kama unazidisha sana chumvi kuhusu wanawake mabikira ungesema tu kuwa wanawake wajitunze wasikubali kuchezewa hovyo ila usilazimishe ionekana kwamba mwanamke akishatolewa bikira tu kabla ya ndoa basi ameshakuwa takataka na anakuwa na laana hafai kuitwa mtu wala kuwa na mwanaume wakati wengine ndiyo kwanza tunawaona wanabarikiwa kila siku

Na kuna wanawake wanajenga majumba na wananunua magari kwa kudanga tu halafu kwa taarifa yako siyo kila mwanamke anayetolewa bikira kabla ya ndoa basi ni lazima aje kupitia kwa wanaume wengi kabla hajaolewa tatizo lako wewe ni kukariri maisha tu siku ukiacha kukariri maisha kwanza utaacha kuumiza kichwa kuhusu hao wanawake ambao wao wenyewe tu hawaumizi kichwa kwa ajili ya tabia zao na bado pamoja na hizo hizo tabia zao kuna wanaume wenzenu wanawaoa wanawaweka ndani na ndoa zinadumu
Siwezi watetea Waovu hata siku moja.

Mimi siwachukii ila nachukia mambo yao ya Kimmbwa mbwa.

Alafu kingine ni kuwa Mimi nilikuwa nashambulia wenye tabia Za mbwa kutiwa tiwa na kila dume. Wewe ndio ukajitokeza kama mtetezi kwa kuwalinganisha na Wanaume.

Kama uliolewa bikra basi uitwe Mama mbarikiwa kama Bikra maria. Lakini kama hukukutwa na bikra au hujaolewa na huna bikra basi wewe na mbwa tofauti ni mkia na manyoya tuu. Wewe ni malaya ikiwa ni hivyo.
 
Hivi naanzaje kuongelea mambo ya nchi za watu kama sijatembea huko? Ofcourse nina exposure ya maisha na ya baadhi ya nchi za nje lakini sijawahi kukutana na mitazamo ya ajabu kama ya wabongo eti mwanamke kuachika ni aibu hata mwanaume wake amfanye nini

Kule wanawake wanaotafuta ndoa kwa hali na mali wanafanya hivyo kwa sababu zao binafsi na siyo kwa sababu misukumo ajabu ya jamii halafu usilolijua ni sawa na usiku wa giza eti hakuna mwanamke asiyetaka ndoa bongo hii hii tu kuna wanawake wako radhi kuzaa na waume za watu wabaki single mothers walee watoto wao tu kuliko kuingia kwenye ndoa sembuse huko nje?

Kitu unachotakiwa kujua ni kuwa hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani duniani kila tabia lazima iwe na kinyume chake kwa jinsia hiyo hiyo achilia mbali kwa jinsia nyingine kama ambavyo wapo wanaume wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa vile vile wapo wanawake wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa mimi ndiyo maana huwa ninawashangaa pia watu wanaosema eti wanaume wote marijali duniani wanachepuka huwa ninawasikiliza tu

Maana najua hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani yaani kama ambavyo wapo wanawake wanaochepuka na wasiochepika vivyo hivyo wapo wanaume wanaochepuka na wasiochepuka sijui kwanini watu wanapenda kulazimisha mitazamo yao ndiyo iwe ukweli kuna mambo kweli yanahitaji kutumia utashi tu wa mtu ila kuna mambo mengine hayahitaji kutumia utashi ni either unajua au haujui na ni lazima tukubaliane na ukweli uliopo ambao tumeukuta na tutauacha na hatutaweza kuubadilisha


Alafu mtu akikuambia akili yako haina bikra unasema umetukanwa.

Hivi kwa akili yako ndoa ni suala la mtu binafsi au suala la jamii nzima.

Hivi hujui ndoa ni sehemu ya utamaduni wa jamii zote duniani?

Huenda wewe hujui. Hivi unajua Nchi zilizoendelea ndizo wanathamini ndoa kuliko huku Afrika. Pengine hujui.

Hivi kwa akili yako ilivyondogo. Unadhani Nchi za ulaya hazijui thamani ya bikra unafikiri wanafanya umalaya kama huku Afrika.

Kama hujui heshima ya bikra. Nenda roma alafu waulize hivi kwa nini mnamheshimu Bikra Maria?

Huenda hujui nini maana ya bikra. Kamuulize Mchungaji wako kanisani maana na umuhimu wa bikra huenda wazazi wako wenyewe hawakujua maana yake.

Au muombe Mungu akufunulie umuhimu wa Bikra kwa mwanamke na ndoa kwa ujumla.

Sio utoe mifano kwa mizoga iliyokwisha oza ukidhani hapa kuna nzi.

Nzi ndio hula mizoga. Mimi sio nzi na kamwe siwezi kuwa nzi kula mizoga na uchafu.
 
Back
Top Bottom