Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Semeni yote ila nimesema siachi ng'o alisemwa Yesu sembuse Mimi
WADAU NITAMFARIJI TU MARRIANAH MSIMUHUKUMU SANA SABABU ANA STRESS ZA MAPENZI NDIYOMAANA ANAPAMBANA PEKEYAKE HAPA JF NA WANAUME WOTE(JESHI LA MTU MMOJA) [emoji851]
 
Dada yangu huna kaz za kufanya si eti!!??
 


Mkuu hakuna mwanamke hapa duniani asiyetaka ndoa.

Mwaka 2015 Nilikuwa Norway. Hakuna tofauti kubwa baina ya Wanawake wa Norway na Maeneo mengine Duniani.

Labda kama wewe hujatembea zaidi ya kuona kwenye luninga. Hakuna Nchi isiyo na uchawi sema uchawi unatofautiana Namna ya unavyofanywa.

Pia wanawake unaowasema wa nchi zilizoendelea pia wanambinu zao za kutafuta wanaume wakuwaoa. Pia wao hupigana kwa ajili ya ndoa.

Unaongea mambo usiyoyajua. Kama hujatembea hata kuingia mitandaoni au kusikiliza habari pia unashindwa.

Ati nchi zilizoendelea hakuna Wanawake wanaoenda kwa Waganga. Ni bora ungekaa kimya
 
Semeni yote ila nimesema siachi ng'o alisemwa Yesu sembuse Mimi


Kumbe Yesu naye alisemwa kwa kutolewa Bikra na kufanya Umalaya kama Mbwa. Sikuwa najua hii.

Unajifananisha na Yesu kwa Ukahaba. Kweli siku za mwisho ndizo hizi
 
Wewe ndiyo unakereka tena unateseka maana unatamani kweli mimi ningekuwa malaya ili hizo shutuma zako zipate validation kumbe umeshakubali kuwa hadi wanaume nao wanakosea na wanastahili kurekebishwa sasa mwanzo ulivyokuwa unawatetea je? Ukweli ndiyo huo mwanaume asiye bikira na mwanamke asiye bikira wote ni malaya

Maana maandiko yamekataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote na huo ndiyo ukweli hayo mengine unalazimisha tu yawepo na kama kweli ungekuwa una nia nzuri ungekuwakosoa tu hao wanawake kwa kuongea ukweli ila siyo kwa kuzusha hadi maneno mengine ya uongo lazima upingwe tu

Nnaonyesha una chuki sana na wanawake wasio mabikira kuna kitu walikufanya siyo bure na hauna namna nyingine ya kupooza machungu zaidi ya kuwaita tu malaya mara makahaba sasa si unaye huyo bikira wako hao wengine unawawazia wa nini?

Mwambie huyo bikira wako kipenzi akutulize na akupoze hayo machungu masikini usiwaze sana yote maisha tu eti unajifanya unawachukia wakati hata wewe unatembea nao ungekuwa unawachukia kweli si ungekuwa unawapitia mbali hata kuwasalimia hautaki? Uncultured Swine!
 
Jamaa yangu kachomoa beteri hapa!! Sijui itakuwaje?
 


Siwezi watetea Waovu hata siku moja.

Mimi siwachukii ila nachukia mambo yao ya Kimmbwa mbwa.

Alafu kingine ni kuwa Mimi nilikuwa nashambulia wenye tabia Za mbwa kutiwa tiwa na kila dume. Wewe ndio ukajitokeza kama mtetezi kwa kuwalinganisha na Wanaume.

Kama uliolewa bikra basi uitwe Mama mbarikiwa kama Bikra maria. Lakini kama hukukutwa na bikra au hujaolewa na huna bikra basi wewe na mbwa tofauti ni mkia na manyoya tuu. Wewe ni malaya ikiwa ni hivyo.
 
Hivi naanzaje kuongelea mambo ya nchi za watu kama sijatembea huko? Ofcourse nina exposure ya maisha na ya baadhi ya nchi za nje lakini sijawahi kukutana na mitazamo ya ajabu kama ya wabongo eti mwanamke kuachika ni aibu hata mwanaume wake amfanye nini

Kule wanawake wanaotafuta ndoa kwa hali na mali wanafanya hivyo kwa sababu zao binafsi na siyo kwa sababu misukumo ajabu ya jamii halafu usilolijua ni sawa na usiku wa giza eti hakuna mwanamke asiyetaka ndoa bongo hii hii tu kuna wanawake wako radhi kuzaa na waume za watu wabaki single mothers walee watoto wao tu kuliko kuingia kwenye ndoa sembuse huko nje?

Kitu unachotakiwa kujua ni kuwa hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani duniani kila tabia lazima iwe na kinyume chake kwa jinsia hiyo hiyo achilia mbali kwa jinsia nyingine kama ambavyo wapo wanaume wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa vile vile wapo wanawake wanaotaka ndoa na wasiotaka ndoa mimi ndiyo maana huwa ninawashangaa pia watu wanaosema eti wanaume wote marijali duniani wanachepuka huwa ninawasikiliza tu

Maana najua hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani yaani kama ambavyo wapo wanawake wanaochepuka na wasiochepika vivyo hivyo wapo wanaume wanaochepuka na wasiochepuka sijui kwanini watu wanapenda kulazimisha mitazamo yao ndiyo iwe ukweli kuna mambo kweli yanahitaji kutumia utashi tu wa mtu ila kuna mambo mengine hayahitaji kutumia utashi ni either unajua au haujui na ni lazima tukubaliane na ukweli uliopo ambao tumeukuta na tutauacha na hatutaweza kuubadilisha
 
Nikuulize wewe uliyenizaa na unayenijua kuwa mimi ni malaya na kahaba
Kumbe Yesu naye alisemwa kwa kutolewa Bikra na kufanya Umalaya kama Mbwa. Sikuwa najua hii.

Unajifananisha na Yesu kwa Ukahaba. Kweli siku za mwisho ndizo hizi
 
Mimi sijakataa wewe kuwasema hao wanawake na hakuna sehemu niliyowatetea wanawake malaya au makahaba ila unachofanya wewe ni kuzidisha hadi kuongea uongo eti ili mwanaume afanikiwe ni lazima aoe mwanamke bikira una uhakika gani wanaume wote waliofanikiwa dunia hii walioa mabikira au unajuaje kuwa wanaume wote waliooa mabikira dunia hii wamefanikiwa?

Yaani mambo mengine unayoyaongea kuhusu wanawake mabikira yanafanya tuone kama vile haulengi kuwarekebisha bali unalenga kuwatukana tu na una chuki nao binafsi na ndiyo maana nikakuuliza mbona sioni hata wanaume wenzio wengi wakikuunga mkono na siyo kwamba hao wanaume labda wanatutetea sana sisi wanawake hapana ni hawa hawa tunaobishana nao humu humu kila siku

Ila naona huwa hawako upande wako kwa sababu nao wanaona kama unazidisha sana chumvi kuhusu wanawake mabikira ungesema tu kuwa wanawake wajitunze wasikubali kuchezewa hovyo ila usilazimishe ionekana kwamba mwanamke akishatolewa bikira tu kabla ya ndoa basi ameshakuwa takataka na anakuwa na laana hafai kuitwa mtu wala kuwa na mwanaume wakati wengine ndiyo kwanza tunawaona wanabarikiwa kila siku

Na kuna wanawake wanajenga majumba na wananunua magari kwa kudanga tu halafu kwa taarifa yako siyo kila mwanamke anayetolewa bikira kabla ya ndoa basi ni lazima aje kupitia kwa wanaume wengi kabla hajaolewa tatizo lako wewe ni kukariri maisha tu siku ukiacha kukariri maisha kwanza utaacha kuumiza kichwa kuhusu hao wanawake ambao wao wenyewe tu hawaumizi kichwa kwa ajili ya tabia zao na bado pamoja na hizo hizo tabia zao kuna wanaume wenzenu wanawaoa wanawaweka ndani na ndoa zinadumu
 


Alafu mtu akikuambia akili yako haina bikra unasema umetukanwa.

Hivi kwa akili yako ndoa ni suala la mtu binafsi au suala la jamii nzima.

Hivi hujui ndoa ni sehemu ya utamaduni wa jamii zote duniani?

Huenda wewe hujui. Hivi unajua Nchi zilizoendelea ndizo wanathamini ndoa kuliko huku Afrika. Pengine hujui.

Hivi kwa akili yako ilivyondogo. Unadhani Nchi za ulaya hazijui thamani ya bikra unafikiri wanafanya umalaya kama huku Afrika.

Kama hujui heshima ya bikra. Nenda roma alafu waulize hivi kwa nini mnamheshimu Bikra Maria?

Huenda hujui nini maana ya bikra. Kamuulize Mchungaji wako kanisani maana na umuhimu wa bikra huenda wazazi wako wenyewe hawakujua maana yake.

Au muombe Mungu akufunulie umuhimu wa Bikra kwa mwanamke na ndoa kwa ujumla.

Sio utoe mifano kwa mizoga iliyokwisha oza ukidhani hapa kuna nzi.

Nzi ndio hula mizoga. Mimi sio nzi na kamwe siwezi kuwa nzi kula mizoga na uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…