Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Kusaidiana majukumu yepi?

Kubeba mishikaki ni kwa jinsia zote au?
Mapenzi matamu ni yale ya kusaidianaaaa majukumu.....


Kubeba mishkaki Kwa bodaboda haiepukiki..........[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
acha uboya mkuu utachunwa mwisho wa siku unakumbuka shuka wakati kuna kucha
Boya ni wewe unaelialia njaa kwenye matumizi madogo madogo kama hayo, kaa pembeni watafutaji tufanye yetu
 

Dada yangu hiyo data nilipewa na researcher wa center for aids research in africa pale university of pretoria. Alisema ni kwamba tuu society na governments haziwaruhusu kusema huo ukweli but reality ni kwamba u have greater chance ya kupat hiv kuyoma kwa spouse wako kuliko malaya.

Wanandoa wakicheat hawagumii kinga wewe ila mzeya nikienda kwa malaya condom must sasa wee jidanganye kuwa mumewe akichoropoka anayumia kinga ndio utakuja kulia kwa choo.
 
Sasa inawezekanaje? Kama Mungu aliyetuumba karuhusu iwe hivi wewe binadamu ni nani unayepinga iwe tofauti?
kumbe Mungu ndio yuko responsible kwa namna dunia ilivyo hivi sasa!! nielimishe zaidi
Halafu na kwanini unataka wanawake tu ndiyo wawe decent? Kwani na wanaume wakiwa decent dunia haitakuwa sehemu salama kuishi?
Na hiki nini ulichokiandika? kuna mahali nimesema kuwa wanawake pekee ndio wanapaswa kuwa decent!? hebu wacha kunilisha maneno wewe mwana mama tatizo unanisoma halafu una interpret unavyojua wewe ipo tabu hapo
 
Haya
 
Hatuwalazimishi muongelee ya wanaume ila tunachosema ni kwamba mmeshajua kuwa na wanaume mna maovu sasa kwanini mnayaongelea ya wanawake? Kama mmeamua kuyakalia kimya maovu basi yakalieni kimya kwa jinsia zote
Hayo ya wanaume Yaongelee wewe!! umezuiliwa? na kwanini lazima tuyaongelee sisi?
 
Ndiyo, Mungu alipomruhusu shetani kuja duniani alijua kabisa yote yatakayokuja kutokea maana yeye ndiyo anaujua mwanzo na anaujua mwisho na alikuwa na au ana uwezo wa kuzuia yote haya ila aliruhusu yote yatokee kwa sababu alitaka kuthibitisha ni kina nani wanampenda kweli kutoka moyoni ni maelezo marefu kukuelewesha hadi uelewe ila nimeona nikuelezee kwa kifupi tu.

Ndiyo nilichogundua ni kwamba wanaume wengi mnataka dunia ambayo wanawake wote watakuwa wapole na wanaume wote mtakuwa wahuni yaani huwa mnajisikia raha na fahari fulani hivi pale mnapowakosea wanawake halafu wanawasamehe tu bila kuwafanya chochote eti mnafikia hatua ya kulazimisha na kudanganya kabisa kwamba mwanamke aliumbwa kuwa mpole na mwanaume aliumbwa kuwa mhuni
 
Usitupangie matumizi ya pesa zetu sisi wenye nazo, kama ni umasikini ni wa kwako na familia yako, acha tutumbue hela zetu , ohoo ngoja nipokee sim ya shemeji yako nilimuagiza gari, ntarudi baadae
Ha ha ha ha ha ha ha...(nacheka kigiriki)
 
ndio nini? kumlazi nieleweshe kuhusu hili neno
Tomaso (Thomas) aka Tomaso Mwenye Mashaka (The Doubting Thomas) alikuwa ni mmoja kati ya wale mitume 12 wa Yesu biblia inamuelezea kama mtu ambaye ni mgumu kuamini kitu cha kuambiwa tu hadi akishuhudie mwenyewe

Alipoambiwa Yesu kafufuka hakuamini hadi alipomuona kwa macho yake na kuona makovu ya vidonda alivyopata wakati anateswa ndipo akaamini wakati Yesu alishawaambia mitume wake wote kuwa atateswa atakufa atazikwa na siku ya tatu atafufuka na wenzie wote waliamini ila yeye hakuamini hadi alipomuona kafufuka na alipoona makovu yake sasa wewe ndiyo kama huyo
 
Marrianah = Jeshi la Mtu mmoja, naona unakusanya kijiji kizima pekeyako eeeh...[emoji119] [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…