Hii comment itakuwa imeandikwa na mwanamke kutoka sayari ya MarsUpendo Ni Zaidi ya pesa.
Mwanamke anahitaji upendo, sijui kwanini mnashindwa kuelewa hili... sometimes hatuji kwenu kufwata pesa zenu.
Ni duniani hapahapaHii comment itakuwa imeandikwa na mwanamke kutoka sayari ya Mars
Labda kama roho mtakatifu alishiriki kuandika.Ni duniani hapahapa
Kijana usitukatishe tamaa huo ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine wowoteKuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"
Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,
Ndo nikagundua haya👇👇
👉Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.
👉Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.
👉Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.
👉Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.
👉Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.
👉Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.
Volume iko Sawa huko,,,,??
Roho mtakatifu yupo ndani ya kila mtu anayemhitaji na aliye safiLabda kama roho mtakatifu alishiriki kuandika.
Na jamaa wa toyo wanawanufaika Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kop na ww kama ni rahisKukopi na kupesti!
Kweli kbs mkuuWanawake wanataka uwe na U-hitler hapo ataenda tu
Wanadai ndivyo walivyoumbwa, kwamba wanakinai, wanapoteza mvuto kwa mwanaume kirahisi, wanapenda vitu vizuri na vitamu kila wakati ambavyo kwa mwanaume wa kila siku hutaweza mfanikishia, lazima tu watatafuta sababu fulani inayowafanya wakose raha, au wanaoikosa au wewe huwezi kuwatumikia....Swala ndiyo upate asiyekuwa na hayo, ama sivyo imekula kwetu wanaume maisha...Kuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"
Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,
Ndo nikagundua haya👇👇
👉Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.
👉Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.
👉Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.
👉Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.
👉Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.
👉Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.
Volume iko Sawa huko,,,,??
Kuna mwanamke mwengine ataasipokuomba hela unajikuta wewe mwenyewe ndo unampa Sasa wewe unataka nigharamie kwa mwanamke mwenye akili fupi ili iweje?
Hapo umezungumzia swala lililo nje ya uwezo wa mtu kwa maana maumbile ni zaidi ya uwezo wa mtu lakini swala la kua na pesa hilo lipo ndani ya uwezo wa mtu either kuamua kuzitafuta au kutozitafuta hivyo swala la shepu?matiti mazuri lipo nje ya uwezo wa mtu...
Wee kwani ukigegeda ndio lazima ubadilishe damu....tena bora ugegede malaya chances za kubadilisha damu ni ndogo kuliko jkitulia na mmoja
Hapana sio wote wako hivyo! wapo wanawake decent wengi tu ambao hawako hivyo!
nilichoandika mimi ni kutokana na personal experience.
Kwa mujibu wa hiyo comment niliyoijibu wanawake wengi niliokutana nao hawajielewi! sasa kama na wewe umekutana na wanaume wasiojielewa basi sikubishii.
you hit the ball mkuuEdelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]