Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Kuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"

Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,

Ndo nikagundua haya👇👇

👉Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.

👉Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.

👉Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.

👉Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.

👉Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.

👉Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.

Volume iko Sawa huko,,,,??
Kijana usitukatishe tamaa huo ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine wowote
 
Mleta mada agiza Heineken za bariidi naja kulipa poza koo kwa point ulizotoa
 
Mabaharia hao hawanaga mchezo kabisa. Yaan wanakula wake za watu wakutosha. Halaf ni wale wnwake ambao ukiwacheki wana hudumiwa vizur na waume zao.
Na jamaa wa toyo wanawanufaika Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"

Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,

Ndo nikagundua haya👇👇

👉Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.

👉Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.

👉Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.

👉Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.

👉Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.

👉Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.

Volume iko Sawa huko,,,,??
Wanadai ndivyo walivyoumbwa, kwamba wanakinai, wanapoteza mvuto kwa mwanaume kirahisi, wanapenda vitu vizuri na vitamu kila wakati ambavyo kwa mwanaume wa kila siku hutaweza mfanikishia, lazima tu watatafuta sababu fulani inayowafanya wakose raha, au wanaoikosa au wewe huwezi kuwatumikia....Swala ndiyo upate asiyekuwa na hayo, ama sivyo imekula kwetu wanaume maisha...
 
Mbona wanawake huwa mnawaambia hata waume zao wawakosee kiasi gani wasisitishe heshima na mahaba yao kwao ila ninyi wake zenu wakiwakosea kidogo tu mnasitisha mapenzi na huduma zenu kwao inaingia akilini kweli hiyo?
Kuna mwanamke mwengine ataasipokuomba hela unajikuta wewe mwenyewe ndo unampa Sasa wewe unataka nigharamie kwa mwanamke mwenye akili fupi ili iweje?
 
Uwezo wa mje ya mtu kivipi? Kwani hamjui kuwa mwanaume ndiye aliyeambiwa atakula kwa jasho lake lakini mwanamke hakuambiwa hivyo? Ni jukumu la mwanaume kumhudumia mwanamke wake kiuchumi ila sema wanawake wa siku hizi tunawasaidia tu basi ndiyo mmeshaona dezo mteremko

Mmejisahau kwamba ni jukumu lenu na mmetusukumizia sisi mbona hadi leo jukumu la kufanya kazi za ndani linaoneokana ni la mwanamke peke yake ila jukumu la kutafuta pesa eti limeshaonekana ni la wote na wanaume mnadai kabisa na sisi tuanze kuwapa pesa ila sisi tukiwaambia na ninyi muanze kufanya kazi za ndani mnasema tuna dharau
Hapo umezungumzia swala lililo nje ya uwezo wa mtu kwa maana maumbile ni zaidi ya uwezo wa mtu lakini swala la kua na pesa hilo lipo ndani ya uwezo wa mtu either kuamua kuzitafuta au kutozitafuta hivyo swala la shepu?matiti mazuri lipo nje ya uwezo wa mtu...
 
Khe oneni ajabu hii yaani ukiwa malaya ndiyo haupati ukimwi ila ukiwa na mmoja ndiyo unapata? Hivi wanaume mmetuona wanawake mapoyoyo sana kwamba tunaweza tukaamini kila sababu mnazotoa kutetea umalaya wenu?

Kuweni kama wanawake wanaofanya kimya kimya huku wakijua kabisa kuwa ni kosa kuliko ninyi wanaume mnaojua kabisa mnafanya kosa halafu mnapata na ujasiri wa kujitetea kubalini tu kwamba ni kosa msitafute sababu za kujitetea ambazo hata mtoto mdogo anaona kabisa ni za kijinga
Wee kwani ukigegeda ndio lazima ubadilishe damu....tena bora ugegede malaya chances za kubadilisha damu ni ndogo kuliko jkitulia na mmoja
 
Kwahiyo wewe ulitakaje? Ulitaka wanawake wote duniani wawe decent?
Hapana sio wote wako hivyo! wapo wanawake decent wengi tu ambao hawako hivyo!

nilichoandika mimi ni kutokana na personal experience.
 
Tunachotaka ni muache kutupa lawama kwa wanawake tu wakati mnajua kabisa kuwa hata wanaume nao wana maovu yao
Kwa mujibu wa hiyo comment niliyoijibu wanawake wengi niliokutana nao hawajielewi! sasa kama na wewe umekutana na wanaume wasiojielewa basi sikubishii.
 
Back
Top Bottom