Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Nani kakuambia mapenzi ni pesa

Complete set ya mapenzi kwa mwanamke ni hii

love(tupesa tutatumika) +care(pesa itatumika) +concern(pesa itatumika pia

Ukimpa pesa kama pesa yani makaratasi bila care bila concern bado ujaukamata moyo wa mwanamke

Ukimpa love+care +concern hii ni costant hivi vitu uwezi kuvifanikisha bila pesa
 
Lizarazu acha uongo mbona kuna wanawake wengi wanapenda wanaume masikini wasio na mbele wala nyuma hadi hao wanaume wenyewe tu wanajiuliza wamependewa nini achilia mbali watu wa pembeni nao kujiuliza huyo mwanamke kapenda nini pale?

Ni wengi sana na kama wewe haujawahi kukutana nao siyo sababu ya kutokuamini kama wapo siyo kila kitu ni hadi ukione ndiyo uamini vingine tunaamini kwa kuambiwa tu na ukisema wewe vitu vya kuambiwa hauviamini basi ina maana hata Mungu hauamini kama yupo maana haujawahi kumuona
 
Kwani hao wasio na bikira nao walitolewa na kina nani? Kwanini kila mwanaume asingekuwa anaoa mwanamke aliyemtoa bikira? Halafu tangu umeanza kupigia promo habari za bikira ni wanaume wangapi wamekusikiliza wakafuata ushauri wako na wakafanikiwa?

Maana sijawahi kuona hata wanaume wenzio wakikuunga mkono japo kwenye comments zako tu achilia mbali kufuata ushauri wako nahisi hata wao watakuwa wanaona unaongea pumba haujui kutetea hoja zako yaani eti swala la mafanikio ya mwanaume unalihusisha na bikira ya mwanamke? Wasted Sperm
 
Naiumiza kichwa jamii eti??
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!

Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
 
Hii comment itakuwa imeandikwa na mwanamke kutoka sayari ya Mars
Hivi wale wanawake tunaowaona wanaanza na wanaume kuanzia chini hadi wanakuja kufanikiwa wote wanapatikana sayari gani vile?
 
kwa mwanaume wa karne hii kuwa na pesa ni kila kitu na hata nguvu za kiume zinakuja maana hutakuwa na stress utakula vizuri na hata zikipungua utanunua dukani na unajitibu, pia pesa itakusaidia kuwaweka karibu yako ili uongeze ujuzi wa kuwagonga ili waendelee kuja ila usitegemee kupendwa...all we need is money and dick
 
Sasa hapo mbona umetaja sifa za wanaume? Hivi wanaume maovu yenu hamyaoni au?
 
wanateseka sanaaaa wenye pesa
ukiona mtu anapesa halafu anateswa na mapenzi ujue kaanzia mapenzi ukubwani huyo na hajapitia mikiki mikiki ya mapenzi...mwanaume akisha penda akapitia shuruba za hapa na pale basi amemaliza atakayekuja manamke yeyote yule hawezi kumkaa kichwano halafu ujumlishe na pesa ...huyo ni mpumbavu anakuwa kwama mwanamke ,maana mwanamke atatendwa leo kesho anakuwa na mwanaume mwingine na yeye anamwamini asilimia mia anatendwa tena anahamia kwa mwingine na anasahau kabisa...kuja kukituliza unakuta ana watoto wa 3 na mama mtu mzima anakuwa muhamasishaji wa haki za wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…