Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Nani kakuambia mapenzi ni pesa

Complete set ya mapenzi kwa mwanamke ni hii

love(tupesa tutatumika) +care(pesa itatumika) +concern(pesa itatumika pia

Ukimpa pesa kama pesa yani makaratasi bila care bila concern bado ujaukamata moyo wa mwanamke

Ukimpa love+care +concern hii ni costant hivi vitu uwezi kuvifanikisha bila pesa
 
Lizarazu acha uongo mbona kuna wanawake wengi wanapenda wanaume masikini wasio na mbele wala nyuma hadi hao wanaume wenyewe tu wanajiuliza wamependewa nini achilia mbali watu wa pembeni nao kujiuliza huyo mwanamke kapenda nini pale?

Ni wengi sana na kama wewe haujawahi kukutana nao siyo sababu ya kutokuamini kama wapo siyo kila kitu ni hadi ukione ndiyo uamini vingine tunaamini kwa kuambiwa tu na ukisema wewe vitu vya kuambiwa hauviamini basi ina maana hata Mungu hauamini kama yupo maana haujawahi kumuona
Labda nikwambie kitu!

Mwanaume ni rahisi sana kumchukulia serious mwanamke bila kuwepo na condition yoyote ile. Lakini mwanamke ni nadra sana kumchukulia serious mwanaume ambaye hana chochote cha ku offer!

Mara nyingi mwanamke ana mpa muda wake na attention mwanaume ambaye ni beneficial kwake kwa maana ya kumpa vimisaada vya hapa na pale uhususani hela. Na siku misaada hyo ikikata unakuwa ndio mwisho wa kumchukulia serious mwanaume huyo.

Nafahamu sio wanawake wote wako hivyo, lakini sasa hao ambao hawako hivyo ni wangapi ukilinganisha na waliko hivyo?! kwa experience yangu mimi wengi wako hivyo.

Cha msingi ninachokifanya sasa hivi ni kujijali kwanza mimi, yaani na mtreat mtu kulingana na alivyoanza kunichukulia.
 
Kwani hao wasio na bikira nao walitolewa na kina nani? Kwanini kila mwanaume asingekuwa anaoa mwanamke aliyemtoa bikira? Halafu tangu umeanza kupigia promo habari za bikira ni wanaume wangapi wamekusikiliza wakafuata ushauri wako na wakafanikiwa?

Maana sijawahi kuona hata wanaume wenzio wakikuunga mkono japo kwenye comments zako tu achilia mbali kufuata ushauri wako nahisi hata wao watakuwa wanaona unaongea pumba haujui kutetea hoja zako yaani eti swala la mafanikio ya mwanaume unalihusisha na bikira ya mwanamke? Wasted Sperm
Kama nimekutoa Bikra nitakupa chochote kwa kadiri ya uwezo wangu.

Nitakuhonga pesa ndogo ndogo. Laki tano hazitacheza mbali na Pochi yako.

Wakuu kama kuna mwanamke ulimtoa bikra au uliwatoa bikra. Watafuteni muwape pesa.

Bikra ni chanzo cha kusafisha nyota Mkuu.
Lakini ukitaka kujitia Mikosi na majanga tafuta haya manunga embe.

Yaani litakufilisi mpaka ukome. Mambo mengi yatasimama.

Ukioa limwanamke lisilo na bikra unachafua nyota yako. Yaani hutaenda popote kimaisha.

Kama unamagari mawili basi ulipaswa uwe na magari kumi. Ila huyo Mwanamke ndiye amekuzibia nyota yako.

Matajiri wote wanajua hii habari ya bikra. Wengine wasiooa mabikra ndio huwalaghai mabinti na kutoa bikra zao ili kuendeleza utajiri wao.

Watakaonielewa ni Wachache.
 
Naiumiza kichwa jamii eti??
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!

Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
 
Hii comment itakuwa imeandikwa na mwanamke kutoka sayari ya Mars
Hivi wale wanawake tunaowaona wanaanza na wanaume kuanzia chini hadi wanakuja kufanikiwa wote wanapatikana sayari gani vile?
 
Your manipulation game is too old!

kwamba unasisitiza wanaume watafute kwanza hela wakishazipata ndio waanze kufikiria wanawake, wanawake hao hao ambao ukiwahonga Iphone X wanaitumia kutuma picha za uchi kwa vi-boyfriend vyao vya zamani vilivyowatoa bikra, wanawake hao hao ambao ukiwahonga IST wanaigeuza gest kwa kugongewa na visharobaro vyenye six packs, wanawake hao hoa ambao ukiwapangishia apartment wanaligeuza danguro na siku ukitaka kuja anakwambia umpe taarifa kwanza ili usije ukajionea maajabu.

Nyie watu hamna jema!! nawahurumia tu wanaume ambao bado wana waamini na kufuata ushauri wenu kama huu unaoutoa hapa! eti tafutenj hela..[emoji23][emoji23]
kwa mwanaume wa karne hii kuwa na pesa ni kila kitu na hata nguvu za kiume zinakuja maana hutakuwa na stress utakula vizuri na hata zikipungua utanunua dukani na unajitibu, pia pesa itakusaidia kuwaweka karibu yako ili uongeze ujuzi wa kuwagonga ili waendelee kuja ila usitegemee kupendwa...all we need is money and dick
 
Wanadai ndivyo walivyoumbwa, kwamba wanakinai, wanapoteza mvuto kwa mwanaume kirahisi, wanapenda vitu vizuri na vitamu kila wakati ambavyo kwa mwanaume wa kila siku hutaweza mfanikishia, lazima tu watatafuta sababu fulani inayowafanya wakose raha, au wanaoikosa au wewe huwezi kuwatumikia....Swala ndiyo upate asiyekuwa na hayo, ama sivyo imekula kwetu wanaume maisha...
Sasa hapo mbona umetaja sifa za wanaume? Hivi wanaume maovu yenu hamyaoni au?
 
wanateseka sanaaaa wenye pesa
ukiona mtu anapesa halafu anateswa na mapenzi ujue kaanzia mapenzi ukubwani huyo na hajapitia mikiki mikiki ya mapenzi...mwanaume akisha penda akapitia shuruba za hapa na pale basi amemaliza atakayekuja manamke yeyote yule hawezi kumkaa kichwano halafu ujumlishe na pesa ...huyo ni mpumbavu anakuwa kwama mwanamke ,maana mwanamke atatendwa leo kesho anakuwa na mwanaume mwingine na yeye anamwamini asilimia mia anatendwa tena anahamia kwa mwingine na anasahau kabisa...kuja kukituliza unakuta ana watoto wa 3 na mama mtu mzima anakuwa muhamasishaji wa haki za wanawake
 
Back
Top Bottom