Halafu kuna mwanamke anamuita mume? Mjinga huyo.Huyo ana kashfa nyingi sana za kubembeleza apelekewe moto na linabembeleza hilo dah likimkubali mtu halinaga aibu kuomba ukuni yaan dah halina hata stara kwa mkewe na watoto wake.
Nyemo ni brand ambassador na creative director wa GSM lakini pia ana vijana wake wanapiga issue za advertising na marketing. Na hata hizo safari ashasema kuwa kuna baadhi huwa anaenda kama influencerAllooo!!! mimi huwa sielewi Omar hana inshu ya maana anayofanya ila mara yupo Dubai, mara London, mara kaenda Manchester kumbe mwenzetu anafokolewa na Waarabu...!!!
Aiseeeeh!! Haya maisha ya mjini hapa acha nibaki Mbekenyera niendelee kulima ufuta tu.
Hapana aise. Sasa ni circle yote!?Sasa eng si wa kamwe, na cm alimuhonga IPHONE, uliputwa wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu anapenda vijana wadogo, ili awarubuni kwa pesa. WoiiihHuyo ana kashfa nyingi sana za kubembeleza apelekewe moto na linabembeleza hilo dah likimkubali mtu halinaga aibu kuomba ukuni yaan dah halina hata stara kwa mkewe na watoto wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ya Kabwili niligoma kuangalia mpaka kesho! Niliapa sitokaa niangalie za hivyo, hata askari wa zenji pia chipo kidali [emoji38] [emoji38]
Acha tujipe raha Mkuu, mwisho wa mwaka huu tunamshukuru Mungu kwa mengi.Motoni mtageuka 😁😁😁 ila nifah umelifufua hili jukwaa na wadau wengine walipotokea haifahamiki. Itabidi page za insta ziwe zinachukua humu ubuyu 😁
Muongooo, [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani yule mla ugali kwa sukari si alisema alipewa ili amtukane yeye na mama yake? Loh
Aisee haya mambo magumu sana kinachosikitisha sana kwa sasa wanaume wengi wapo kwenye ndoa/mahusiano na wanawake lakini pia ni michichaHalafu kuna mwanamke anamuita mume? Mjinga huyo.
Sipati picha familia wanavyomcheka kichinichini!
Hii ilikua 2020,
Tuwasitirii tyuuh.
Mmenifanya nisahau kulala 😁😁, hapa nijiandae tu hata kama kesho ni christmas lakini lazma nishtuke mapema sana..Acha tujipe raha Mkuu, mwisho wa mwaka huu tunamshukuru Mungu kwa mengi.
Acha tutulize akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la Bongo watu wamezoea kuwaona km kina delicious na aggrey ndo wanaamini, sasa hawa wavaa suti na muscular hawaamini.Ila jamaa hadi leo nikimuangalia kuna nafsi huwa inakataa. Hana hata dalili moja na ni mtu wa family sana
Hopefully hayatomuwinda siku moja [emoji1431]
Wew hayo unayosema kuhusu Yanga ni kweli au uzushi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la Bongo watu wamezoea kuwaona km kina delicious na aggrey ndo wanaamini, sasa hawa wavaa suti na muscular hawaamini.
Na hili ni tatizo kubwa sana naamin hizi issue ni kubwa kuliko watu wanavyowaza toka nisikie shekh anapumuliw na ba mo. na yule mamkiongoz ni blender mbovu nilisema aisee tuache kuhukumu watu kuna watu wanaonekana wasafii na wachaMungu kumbe ni wachafu kuliko tunavyowawazia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la Bongo watu wamezoea kuwaona km kina delicious na aggrey ndo wanaamini, sasa hawa wavaa suti na muscular hawaamini.
Inaweza kuwa si kweli ila ni kweli kabisaa kuwa tatizo ni kubwa sana tena sana mkuuWew hayo unayosema kuhusu Yanga ni kweli au uzushi?
Ina maana hili tatizo ni kubwa kiasi hicho?
Kamwe?
Ni rahisi kuamini James delicious na aggrey ila si kwa baadhi ya watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo la Bongo watu wamezoea kuwaona km kina delicious na aggrey ndo wanaamini, sasa hawa wavaa suti na muscular hawaamini.
Kwahiyo mwenetu ni kidume cha mbegu hapumuliwi?Nyemo ni brand ambassador na creative director wa GSM lakini pia ana vijana wake wanapiga issue za advertising na marketing. Na hata hizo safari ashasema kuwa kuna baadhi huwa anaenda kama influencer
Yawezekana Dimpoz akasemwa kwa mengi ila kwa kazi zake tu nilizozitaja bila muziki, bado ana uwezo wa kuishi fresh tu mkuu
Nimesoma.Natumai sasa umeelewa