Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Kumekuchaaaaaaa!!!!
 
Kumekuchaaaaaa!!!!!
 
Bado yupo?

Nijuavyo huduma zake anakuja kukufanyia acupuncture nyumbani kwako.
Bibi kama upo Canada....February mm mgeni wako...
Najua una vibinti huko....nataka kuongeza mke wa tatu
Kkooo siku hizi kumepooza hakuna harakati...
Bibi wewe utakua umekua na mzee wangu Slay Shagy!!!!
Kule chini fire station..
 
Bibi kama upo Canada....February mm mgeni wako...
Najua una vibinti huko....nataka kuongeza mke wa tatu
Kkooo siku hizi kumepooza hakuna harakati...
Bibi wewe utakua umekua na mzee wangu Slay Shagy!!!!
Kule chini fire station..
Chogi sly ndiyo mzee wako?

Mbona huna adabu?

Namfahamu yeye na wakuja mwenzake Marehemu Eddy Sally, walikuwa marafiki hao.
 
Sio brother wetu Chogy slay mm nazungumzia Slay Shagy bishoo kariakoo nzima miaka ya 60,s na 70,s !!!Wewe ulikua chekechea kipindi hiko
Huyo simjuwi, alikuwa anakaa mtaa gani, labda Kariakoo aliitwa jina lingine. Jina lake halisi nani, Wazee wake kina nani? Miaka hiyo nisimjuwe Kariakoo? Hapana.
 
Huyo simjuwi, alikuwa anakaa mtaa gani, labda Kariakoo aliitwa jina lingine. Jina lake halisi nani, Wazee wake kina nani? Miaka hiyo nisimjuwe Kariakoo? Hapana.
Mzee wangu Slay Shaggy,,,jina lake kamili ni Abdulkareem Al Majid,,,,,,chotara wa kiarabu na rafiki wa karibu sana wa uncle Zahir zorro!!
Mzee wake Majid alikua mwarabu wa kutokea Sana'a Yemen...na mama yake alikua manyema wa tabora..
Mzee majid alikua hakai kkoo,,mda mwingi Sanaa Yemen ila familia yake ndio ilikua inakaa,,kule nyuma ya lile jengo ambalo baadae likikuja kua fire station mpaka leo,,,,,pale opposite na iliyokua baadae jangwani sec school.
Slay Shaggy na uncle Zahir zorro moja wa mabishoo wavaa nguo nzuri nzuri miaka hiyo ya 1960,s na 1974,s alipoondoka Tanzania na kwenda Sana'a kutafuta maisha zaidi!!
Nadhani miaka hiyo ya 1962 mpaka 1974 ulikua bado mdogo sana ww,,upo chekechea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…